Ahsante Mkuu, Ila Mimi nimeongelea awamu ya Kwanza, ya Mwalimu tulitangaza watatu, hatufungwi kuongeza.
kumbe na ww umeona, watu wabishi Sana Umu.Shule zifunguliwe tuu kwa kweli,mbona shughuli nyingine zinaendelea.
Sawa Mkuulabda elimu ya juu ,ila hawa wa shule za msingi,bado sana asee..
hapana mkuu shukurani kwa mchango wakoUlipaswa kuelewa, nimeuliza swali Mkuu. maana hayo maneno Yana maana tofauti, na wewe ndiye mwandishi, upo kwenye advantage ya kujua na kuchagua neno unalolitaka kutumia. Mimi nisingeanza kufikiri kuwa ulilenga neno fulani. Ndiyo maana nikaona nikuulize. Hapo ungeweza kunijibu bila hata kunitukana, hapa Jamvini Ni kawaida kuulizana vitu Kama hivyo ili kupata ujembe uliokusudiwa.
Wewe jamaa kila hoja unayoijibu Lazima utukane.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
jambo zuri sidhani kama ni possible.Kwa kipindi hichi shule zisifundishe hayo masomo yake wanafunzi wafundishwe kilimo, ujasiriamali,stad za kazi pamoja na computer mpk mwakani ili tuanze mwaka mpya wa masomo
sawa mkuuIv mfano tu Kama that day March 17 wazir mkuu asingetangaza kuzifunga shule na vyuo Leo hii maambukizi yangekuwaje?
Wazo lako ni zur Sana,Ila it's too earlier kufanya hivyo tusubir at least miez miwili hivi Tena tuone Hali itakavyokuwa ,coz ndo kwanza wagonjwa wanaongezeka na hata serikali yenyewe haionyeshi idadi ya waliopimwa till now ,so inawezekana tukawa na wagonjwa wengi pia huku mtaani,[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
wazo zuri mkuu Ila nchi yetu ina miundo mbinu ya kutosha.SIUNGI MKONO HOJA
Yaani Corona imepamba moto hapa nchini halafu ukawasweke wanafunzi wanne kwenye dawati moja?
Unajua wanafunzi wanavyoketi katika shule za vijijini?
SULUHISHO: Elimu itolewe kwa njia ya digitali wezeshi kwasababu utaratibu huo ulishaanza hata kabla ya Corona kuja.
Waalimu waliosomea masomo ya IT na Computer science kila wilaya wapatiwe semina fupi utakayowezesha Teaching & Learning process kwa wanafunzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
umeona mkuu wamepanic vbyWalimu watakupiga mawe!
Wanapenda mshahara wa bure bila kufanya kazi!
Raha iliyoje, umekaa kwenye sofa mshahara unaingia tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiwa vyuoni huwa wanatusumbua sana tuwatumie chochote. Sasa hivi wanakula na kulala bure hela za nn?? Ukimtuma nyama kg moja anakuja na robo tatu. Yaani wee acha tu.Si useme umechoka kukaa nyumban na umekuwa kero kwa wazazi au hela huna mpk utegee utumwe dukan kale kachenji ndo ununue vocha
😂😂😂 Iyo nouma anajiongeza, mkuu siku moja moja unampa ata ya Bando.Wakiwa vyuoni huwa wanatusumbua sana tuwatumie chochote. Sasa hivi wanakula na kulala bure hela za nn?? Ukimtuma nyama kg moja anakuja na robo tatu. Yaani wee acha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mwalimu wa shule gani? Hivi upo sawa kweli? Unaandika kama mtoto wa lakwanza? Nukta kwenye habari yako hamna unachojua ni mikato tuu. Nifunze kuandika kwa kuzingatia vituo.Wewe ni mwalimu wa kujitolea naona vyuma vimekaza,nikuambie serikali ina wasomi wengi kabla ya kufikia hatua ya kupinga shule ilishayapitia yote,kwa sasa tunapigana na vitu vuwili tu kifo na uzima,kama wewe kwako elimu ni bora kuliko uzima pole sana
Kumbuka umetoa hoja ya watoto kuvaa barakoa hivi wewe umewahi hata kulea watoto wa shemeji yako uone walivyo wasumbufu,mtoto wa miaka tano hawezi kamwe kukubali kuvaa barakoa anaona kama ni kero ,lakini kumbuka pia corona haenezwi kwa hewa tu kusema kuwa ukivaa barakoa basi umemthibiti,kuna hatua zingine zinahitaji kufuatwa
Kiufupi imekula kwako kuwa mvumilivu,elimu Haita linganishwa kamwe na uhai,even if ugonjwa utadumu kwa miaka kumi ukiwa na kasi hii amini shule zitaendelea kufungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mwalimu wa shule gani? Hivi upo sawa kweli? Unaandika kama mtoto wa lakwanza? Nukta kwenye habari yako hamna unachojua ni mikato tuu. Nifunze kuandika kwa kuzingatia vituo.