Kufunguliwa kwa vyuo na shule zote

Kufunguliwa kwa vyuo na shule zote

Makanisani, masokoni, mitaani, misikitini awakusanyiki mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana kwa nchi zenye uwezo wameweka lockdown,sisi kwa kuwa hatuwezi kufanya hivyo tunachukuwa tahadhari kwa kadri ya uwezo wetu.

Au wewe unanona ni bora tuachie tu kila kitu hata kwa yale yaliyo ndani ya uwezo wetu liwalo na liwe?
 
Ndo mana nikasema wanafunzi waingie Kwa shift ata tatu ili mradi wapate elimu atuwez kusimamisha mambo yote kisa kitu ambacho ujui kitaisha lini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu

Ipangwe mikakati, naamin hakuna kisichowezekana

Tena may ni mbali mnoo, mikakati ikipangwa tutafanikiwa kurudi shule km kawaida

LKN kuendelea kufunga, ni kutesa tabaka fulani, huku wengine wakiachiwa wachape kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, poleni na mapambano ya corona virus. Aisee nimefikiria Sana matatizo yanayoletwa na ugonjwa wa Covid 19 ikiwamo mtikisiko wa kiuchumi na kusimama Kwa shughuli mbalimbali za kijamii.

Ushauri wangu kwa serikali ni ufungue shule na vyuo ifikapo may 1. Kwa sababu zifuatazo.

1. Je ugonjwa usipo isha Kwa miaka 100 itakuaje.
2.shughuli zingine zinaendelea kwa hiyo na shughuli za elimu ziendelee
3. Mikusanyiko ya watoto mitaani ni kama shule

MIKAKATI YA KUCHUKUA
1. Kutoa elimu Kwa wanafunzi Jinsi ya kujikinga
2. Kuhakikisha kila mwanafunzi anavaa balakoa
3. Kuhakikisha wanafunzi awajazani madarasani
4. Kwa wanachuo ata online study itakua vzr


Tukumbuke taifa Lina maadui watatu
1. Ujinga
2. Maradhi
3. Umaskini

Tukikomalia kimoja mengine yatatushinda,
Ayo ni maoni yangu mwana jamii forum una maoni gani. Juu ya hiliView attachment 1429305

Sent using Jamii Forums mobile app
Mhuni umechoka kukaa home kizembe
 
Ttzo mnapenda muendelee kukaa home kwa kuwa mshahara unaingia km kawaida

Ngoja mkatiwe mwezi mmoja tuh, muone mtalavyonyooka

Sent using Jamii Forums mobile app
ona sasa kukurupuka huko,,
wapi nimeseme mimi ni mwalimu?
huo ni wivu na rohombaya inakusumbua tu,watu kama nyie ndio mnasababisha afrika tunaitwa shithole
 
"Balakoa"
Habari wakuu, poleni na mapambano ya corona virus. Aisee nimefikiria Sana matatizo yanayoletwa na ugonjwa wa Covid 19 ikiwamo mtikisiko wa kiuchumi na kusimama Kwa shughuli mbalimbali za kijamii.

Ushauri wangu kwa serikali ni ufungue shule na vyuo ifikapo may 1. Kwa sababu zifuatazo.

1. Je ugonjwa usipo isha Kwa miaka 100 itakuaje.
2.shughuli zingine zinaendelea kwa hiyo na shughuli za elimu ziendelee
3. Mikusanyiko ya watoto mitaani ni kama shule

MIKAKATI YA KUCHUKUA
1. Kutoa elimu Kwa wanafunzi Jinsi ya kujikinga
2. Kuhakikisha kila mwanafunzi anavaa balakoa
3. Kuhakikisha wanafunzi awajazani madarasani
4. Kwa wanachuo ata online study itakua vzr


Tukumbuke taifa Lina maadui watatu
1. Ujinga
2. Maradhi
3. Umaskini

Tukikomalia kimoja mengine yatatushinda,
Ayo ni maoni yangu mwana jamii forum una maoni gani. Juu ya hiliView attachment 1429305

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka Wewe ni First Year unawazia Boom..

Ivi unafikiri iyo elimu itaeleweka kwa wote? yani wali watoto wa vidudu uwaambie wasikaribiane ili kuepuka kugusana hapo utakua unajidanganya kabisa
 
Unaongelea shule gan labda izi za kata ambazo wanafunzi wapo 200 darasa moja au izo za intaneshino zenye wanafunzi 35 darasan???
 
Habari wakuu, poleni na mapambano ya corona virus. Aisee nimefikiria Sana matatizo yanayoletwa na ugonjwa wa Covid 19 ikiwamo mtikisiko wa kiuchumi na kusimama Kwa shughuli mbalimbali za kijamii.

Ushauri wangu kwa serikali ni ufungue shule na vyuo ifikapo may 1. Kwa sababu zifuatazo.

1. Je ugonjwa usipo isha Kwa miaka 100 itakuaje.
2.shughuli zingine zinaendelea kwa hiyo na shughuli za elimu ziendelee
3. Mikusanyiko ya watoto mitaani ni kama shule

MIKAKATI YA KUCHUKUA
1. Kutoa elimu Kwa wanafunzi Jinsi ya kujikinga
2. Kuhakikisha kila mwanafunzi anavaa balakoa
3. Kuhakikisha wanafunzi awajazani madarasani
4. Kwa wanachuo ata online study itakua vzr


Tukumbuke taifa Lina maadui watatu
1. Ujinga
2. Maradhi
3. Umaskini

Tukikomalia kimoja mengine yatatushinda,
Ayo ni maoni yangu mwana jamii forum una maoni gani. Juu ya hiliView attachment 1429305

Sent using Jamii Forums mobile app
kaaa chini,mbuzi wewe
 
Mkuu naheshimu maoni yako.
Lakini ngoja nikuulize haraka yote hiyo ya nini?

Unafikiri huko kwenye nyumba za ibada wanakaa pamoja muda mrefu tena watu wengi kwenye chumba kidogo kama darasa?
Unafikiri watoto wana umakini katika kujizuia wasiguse usoni au wasiweke vitu ovyo mdomoni?
Unafikiri watoto wanaweza kunawa mara kwa mara kwa maji na sabuni?
Unafikiri tutapata wapi pesa ya kuongeza madarasa ili wanafunzi wachache wakae chumba kimoja kwa umbali sahihi kati ya mwanafunzi mmoja na mwingine?

Wewe kama mwalimu au mwalimu wa tuition au mfanyakazi wa shule au chuo vumilia au pendekeza namna ya kuwawezesha kipindi hiki kigumu, babu wa babu zako hawakusoma shule au chuo na waliishi.

Uhai kwanza na mengine yatakuja baadae hali ikiruhusu bila kuathiri uhai wa watu.
 
Mkuu naheshimu maoni yako.
Lakini ngoja nikuulize haraka yote hiyo ya nini?

Unafikiri huko kwenye nyumba za ibada wanakaa pamoja muda mrefu tena watu wengi kwenye chumba kidogo kama darasa?
Unafikiri watoto wana umakini katika kujizuia wasiguse usoni au wasiweke vitu ovyo mdomoni?
Unafikiri watoto wanaweza kunawa mara kwa mara kwa maji na sabuni?
Unafikiri tutapata wapi pesa ya kuongeza madarasa ili wanafunzi wachache wakae chumba kimoja kwa umbali sahihi kati ya mwanafunzi mmoja na mwingine?

Wewe kama mwalimu au mwalimu wa tuition au mfanyakazi wa shule au chuo vumilia au pendekeza namna ya kuwawezesha kipindi hiki kigumu, babu wa babu zako hawakusoma shule au chuo na waliishi.

Uhai kwanza na mengine yatakuja baadae hali ikiruhusu bila kuathiri uhai wa watu.
CC: Joanah
 
Kwanini umeni CC?

Aliyeleta mada anaitwa jikafhplgmb
Kama nitakuwa nimekukwaza kwa namna yeyote naomba unisamehe.
Nilikunukuu sababu niliona kuna sehemu umeweka maoni yako katika namna ambayo niliona umekubaliana na huyu mleta mada (kitu ambacho siyo kosa) lakni mimi nilikuwa na mawazo tofauti nikataka uyaone na wewe.

Natumaini umenielewa mkuu, hakuna grudges kati yetu kuhusu hili. Nothing personal at all mkuu wangu.
 
Kama nitakuwa nimekukwaza kwa namna yeyote naomba unisamehe.
Nilikunukuu sababu niliona kuna sehemu umeweka maoni yako katika namna ambayo niliona umekubaliana na huyu mleta mada (kitu ambacho siyo kosa) lakni mimi nilikuwa na mawazo tofauti nikataka uyaone na wewe.

Natumaini umenielewa mkuu, hakuna grudges kati yetu kuhusu hili. Nothing personal at all mkuu wangu.

Kwanini umehisi umenikwaza?kuuliza kwanini umeni CC?tatizo hilo

Comment yangu haikuegemea upande wowote,nilim-quote alichoandika niliyem-quote
 
Back
Top Bottom