bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,651
We nesi piga kazi acha kulialia shule zitafunguliwa muda wake ukifika ila sio kwa kufuata ushauri wa watu km ww msiozijua changamoto zinazozikabili shule zetu lakini aina ya watoto wetu tulionao ktl shule zetu.Siku zote ata chizi huwa anajiona mzima,
Sawa Kwa upeo wa akili yako umeishia apo ila Nakuahidi hali hii Ikiendelea baada ya miezi miwili utaona impact zake.
Sio kila anayeongea anaongeo fact, zingine ni kelele kama za radio, najua ni mtu mzima Sana nisamehe kwa kukwambia ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app