Kufungia simu Serikali itapoteza zaidi ya 30% ya kodi toka makampuni ya simu

Hili zoezi kuwatupia NIDA lawama ni kuwaonea wao ndo wakusanye taarifa wao ndo waprint id hawawezi kwa wakati ilitakiwa kazi ya kukusanya taarifa waachiwe uhamiaji na polisi angalau hawa wametapakaa nchi nzima kila centa lzm kuna kituo cha polisi, uhamiaji ni kuwapeleka tu kwenye vituo hivo.

kama ofisi zao ziko mbali pia hapa chance ya kumpata asiyeraia kupata id labda awe na ujasiri Wa kigaidi tofauti na sasa ambayo chance ya asiyeraia kupata id ni 30%.Kazi ya nida iwe ni kuprint tu id kwa kuletewa taarifa toka polisi na uhamiaji.

Changamoto ni kubwa Sana mtu atoke kijijini apande bodaboda kisha basi kwenda kujiandikisha hali hata kula yake ni tabu atoe nauli na gharama ya guest akajiandikishe hii uleta changamoto kidogo.
 
bibinnaa,
Mbona usajili wa kitambulisho cha mpiga kura wanatubembeleza na kutufata kwenye makazi yetu kitambulisho cha mpiga kura dakika tu umeisha pewa kwani wasichukue taarifa kwenye tume ya uchaguzi ili kupungunza usumbufu
 
Hivi nyie watu kwani hao UK hawawezi kujifunza kwetu? Mbona tunajifanya wanyonge hivi? UK UK UK US US US. Yaani ni kama wewe Umeoa, halafu kila kitu unataka ufanye kwa kuiga jirani mwenzako aliyeoa. Au wewe Tabutupu ndio unatutumia hizi msg za kutuma pesa?
 
Hivi nyie watu kwani hao UK hawawezi kujifunza kwetu? Mbona tunajifanya wanyonge hivi? UK UK UK US US US. Yaani ni kama wewe Umeoa, halafu kila kitu unataka ufanye kwa kuiga jirani mwenzako aliyeoa. Au wewe Tabutupu ndio unatutumia hizi msg za kutuma pesa?
Unaongea pumba hatari US UK wakajifunze nini hapa kwetu kwa akili zako unaona kuna cha kujifunza huu ulozi wakufungiana simu na kusabashina usumbufu?
 
Acha upunguani UK, kwanza line unainunua kwa kutumia bank card na bank card huwezi ipata bila kutoa id iwe driving licence, passport etc , hivyo kwa kutumia vitu hivyo tayari wameisha dukua taarifa zako. Tatu wanakuuliza post code yako na he no.hapo wanapata physical address ukifanya uhalifu unanyakuliwa kama drone imekufuata

Kama ishu ni kuzuia uhalifu, bado cheating itakuwepo tu, kama kuna watu wanalipishwa kuvuka daraja la Manzese basi hata kwenye simu kuna watu watajikuta kadi zao zimesajili kwa mtu mwingine
 
Tabutupu,
Hawa week kufungia line hata kidogo ni maneno tu, and also huko uk and USA wana control ngumu zaidi ya hizi usikurupuke
 
Kama ishu ni kuzuia uhalifu, bado cheating itakuwepo tu, kama kuna watu wanalipishwa kuvuka daraja la Manzese basi hata kwenye simu kuna watu watajikuta kadi zao zimesajili kwa mtu mwingine
Una ushaidi wa data zako kutumika kusajili simu ya mtu mwingine au mawazo yako ya kupinga pinga tu, hakuna jema dunia hii ila unalofikiria wewe?

Unajua in built controls zilizoko kwenye hiyo system ya usajili au wewe unaona tu hapo kwa huyo anayekusajili
 
Bana likasi,
Hawa jamaa ni wasumbufu sana walianza kufungia passport wanakupa passport imeandwikwa mwisho wa matumizi 2025 hata mwaka bado utasikia tamko maruku kutumia Passport za zamani utafikiri mpya wanakupa bure twishazoe usumbufu wazime hata leo
 
Una ushaidi wa data zako kutumika kusajili simu ya mtu mwingine au mawazo yako ya kupinga pinga tu, hakuna jema dunia hii ila unalofikiria wewe?
Unajua in built controls zilizoko kwenye hiyo system ya usajili au wewe unaona tu hapo kwa huyo anayekusajili

Ndio maana lowasa alisema Elim Elim Elim unashindwa kuelewa sentence ndogo kama hiyo, what I mean ww ukienda kijijin kwenu ukampa mtu elf 50 akusajilie line because huna nida do u think atakataa? Na hata leo hii ukiwaona wale jamaa wanaotembea na sim cad mtaan wambie huna nida na unataka kujisajiri kwa vidole ni elf kumi tu ishu inakamilika
 
Hawa week kufungia line hata kidogo ni maneno tu, and also huko uk and USA wana control ngumu zaidi ya hizi usikurupuke

Ndugu do you think, kama ningekuwa naenda nida na karatasi zangu, nasajiri napata kadi au namba in 24hrs au 48hrs unadhan kungekuwa na shida?

Kupata namba ni 21days tena uende kwenye office zao ukae 12hrs kwenye folen,

Kupata chance ya kupiga Picha tu ni ishu hapo uhamiaji napo ni ishu folen hiko ndio watu wanaona usumbufu
 
Mkuu maduka mengi madogo madogo wanauza line za simu bila kitambulisho mfano ni line za Lyca. You dont have to register Lyca mobile na zingine nyingi. Maneno yako sio sahihi mkuu na unanunua sim card kwa cash.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na handset yenye imei number nayo uliinunua bila kusajiliwa na kuulizwa id na post code?
Unajua ktk suala hili la usajili unatakiwa uangalie kwa mapana yake na utofauti wa nchi. Mfano Tanzaniaz handset unanua bila kusajiliwa lakini line ndio inayosajiliwa, ni kutokana na mazingira yetu, kwa wenzetu wanakupata kwa kununua handset na line kwenye maduka yanayo julikana ambapo data zako huchukuliwa, na hata mtu akikuuzia kupitia e bay nk bado mtu anachukua data zako kwa payment system utakayo tumia.
 
Ndio maana lowasa alisema Elim Elim Elim unashindwa kuelewa sentence ndogo kama hiyo, what I mean ww ukienda kijijin kwenu ukampa mtu elf 50 akusajilie line because huna nida do u think atakataa? Na hata leo hii ukiwaona wale jamaa wanaotembea na sim cad mtaan wambie huna nida na unataka kujisajiri kwa vidole ni elf kumi tu ishu inakamilika
Narudia kule kule je unajua inbuilt controls za hiyo system ya usajili??
Kama hujui mwenye tatizo la kuelewa sentence ndogo ni wewe, pili elimu yako ndio inaonyesha ni tatizo. Maana neno inbuilt controls hujui linamaanisha nini, wewe unaona sura tu ya yule anayekusajili ningekuelewesha lakini nakuacha na upunguani wako. Labda hiyo itasaidia kufikiria nje ya box
 
Narudia kule kule je unajua inbuilt controls za hiyo system ya usajili??
Kama hujui mwenye tatizo la kuelewa sentence ndogo ni wewe, pili elimu yako ndio inaonyesha ni tatizo. Maana neno inbuilt controls hujui linamaanisha nini, wewe unaona sura tu ya yule anayekusajili ningekuelewesha lakini nakuacha na upunguani wako. Labda hiyo itasaidia kufikiria nje ya box

Hapa cheating itakuwepo tu kwa wale jamaa wenye kazi zao, no matter how secure hiyo inbuilt control, inbuilt ya kadi za bank ikoje? Na mbona watu wanapigwa atm kila siku
 
Kwenye hili naona si sawa kulinganisha bongo na Uk.

Uk mifumo yao ya makazi na mawasiliano iko rasmi tofauti na huku bongo mifumo yetu ya makazi ipo kienyeji sana, kiasi kwamba namna ya kumtrace mtu kwa kutegemea makazi kwa mfano inakuwa ngumu sana.

Afadhali mngesema muda ni mdogo uongezwe lakini kujaribu kuonesha kwa hili jambo si zuri naona si sawa.

Tuungeni mkono juhudi jamani!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazi kupitia mitandao ya simu wako mashakani sasa,

Juzi ndugu yangu kaibiwa shilingi laki 2 pale mlimani city .

Wiki ule mfanyakazi wa airtel pale mlimani city atakuwa ameshiriki kwa ushahidi wa mazingira jinsi ulivyo.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimejipanga kutumia whatspp watu wangu wate nimeisha waambia wanifatute kwenye whatspp bahati mzuri mtaani kwetu kuna free wifi za kutosha buku buku za mawasiliano ya simu nazipangia matumizi mengine
 
Back
Top Bottom