Kufunga ni kama mchezo wa kuigiza

Kufunga ni kama mchezo wa kuigiza

Wapo waislam wengi tu wasioamka kabisa usiku kwaajili ya kula daku. Wengine huamka tu na kusukutua na kuswali
 
Hivi saa 9 ya usiku, kesho yake inakuwa ni asubuhi baada ya kukucha au baada ya kufika saa 6 usiku?

Imekuwa kawaida sana unakuta mtu mmetoka banda umiza kucheki game iliyoisha saa 7 usiku then mnaagana unamsikia akisema "kesho"
Huwa tunakosea ila wengi huwa tunamaanisha siku hiyo hiyo
 
Yani mtu unakula usiku kucha kama mchwa, kula masaa mengi kukaa na njaa masaa machache.

Mtu unakandamiza nguna alfajiri, unashiba ngaaa! Unalala unaamka bado umeshiba, jioni tena unashindilia.

Yani wakati wa Ramadhani mtu anakula sana zaidi ya mara 3 ya siku za kawaida sasa ndio nini hiyo?

Kama kweli nyie mabingwa wa kushinda na njaa mkishakula sa1 usiku msile tena mpaka kesho yake sa1 tena.

Ila kuna watu kama machizi, eti ukimwambia unanjaa??! Anasema hapana hii sio njaa ni SWAUMU! eti ukisema njaa ni dhambi.
Makafiri mna shida sana na Uislamu na yote inasababishwa na kua nyninyi ni waovu , kama sio muovu huwezi kuuchukia uislamu.

Lazima ufahamu hayo yanayofanywa na baadhi ya waislamu sio lengo wao wanajidanganya wenyewe, msingi wa swaumu sio kushiba usiku au kukaa na njaa mchana, lengo la kufunga ni ibada , na msingi mkuu wa afya ni kula kwa kiasi tu, mfano daku inaweza kua ni glass ya maji au tende tu.
 
Back
Top Bottom