š¹š¹Hapana jmnuUnanichomesha sioš«£
Kwaresma tunafungua jioni hii tutakula Tena kesho jioni kama hii. Hakunaga dakuYani mtu unakula usiku kucha kama mchwa, kula masaa mengi kukaa na njaa masaa machache.
Mtu unakandamiza nguna alfajiri, unashiba ngaaa! Unalala unaamka bado umeshiba, jioni tena unashindilia.
Yani wakati wa Ramadhani mtu anakula sana zaidi ya mara 3 ya siku za kawaida sasa ndio nini hiyo?
Kama kweli nyie mabingwa wa kushinda na njaa mkishakula sa1 usiku msile tena mpaka kesho yake sa1 tena.
Ila kuna watu kama machizi, eti ukimwambia unanjaa??! Anasema hapana hii sio njaa ni SWAUMU! eti ukisema njaa ni dhambi.
Nomeukumbuka ule Uzi wako wa isidingo Numbisa, marehemu mama yangu alikuwa akikosa kuiangalia LAZMA avae miwani yake aingie JF kukusoma...marehem alikuwa anaipenda sana JF. Sema alituambia akifa tusimtaje kabisa hakutaka ID hiyo wamjue ni nani na tuliheshimuAiseeeee
Ndio maana chakula kinapandaYani mtu unakula usiku kucha kama mchwa, kula masaa mengi kukaa na njaa masaa machache.
Mtu unakandamiza nguna alfajiri, unashiba ngaaa! Unalala unaamka bado umeshiba, jioni tena unashindilia.
Yani wakati wa Ramadhani mtu anakula sana zaidi ya mara 3 ya siku za kawaida sasa ndio nini hiyo?
Kama kweli nyie mabingwa wa kushinda na njaa mkishakula sa1 usiku msile tena mpaka kesho yake sa1 tena.
Ila kuna watu kama machizi, eti ukimwambia unanjaa??! Anasema hapana hii sio njaa ni SWAUMU! eti ukisema njaa ni dhambi.
Yani mtu unakula usiku kucha kama mchwa, kula masaa mengi kukaa na njaa masaa machache.
Mtu unakandamiza nguna alfajiri, unashiba ngaaa! Unalala unaamka bado umeshiba, jioni tena unashindilia.
Yani wakati wa Ramadhani mtu anakula sana zaidi ya mara 3 ya siku za kawaida sasa ndio nini hiyo?
Kama kweli nyie mabingwa wa kushinda na njaa mkishakula sa1 usiku msile tena mpaka kesho yake sa1 tena.
Ila kuna watu kama machizi, eti ukimwambia unanjaa??! Anasema hapana hii sio njaa ni SWAUMU! eti ukisema njaa ni dhambi.
Yani mtu unakula usiku kucha kama mchwa, kula masaa mengi kukaa na njaa masaa machache.
Mtu unakandamiza nguna alfajiri, unashiba ngaaa! Unalala unaamka bado umeshiba, jioni tena unashindilia.
Yani wakati wa Ramadhani mtu anakula sana zaidi ya mara 3 ya siku za kawaida sasa ndio nini hiyo?
Kama kweli nyie mabingwa wa kushinda na njaa mkishakula sa1 usiku msile tena mpaka kesho yake sa1 tena.
Ila kuna watu kama machizi, eti ukimwambia unanjaa??! Anasema hapana hii sio njaa ni SWAUMU! eti ukisema njaa ni dhambi.
HewaaaaaaaHahahaaha sasa wawaache. Bifu litaendelea baada ya mfungo sio. ššš
š¤£š¤£š¤£š¤£
NilishaachaMwenetu kashaanza kulewa mapema sana!
labda hayo mambo mengine lakini kwenye msosi hapo mmetupiga!Tatizo lenu wala sio kuuliza ili mjue, bali mnakebehi, msidhihaki wengine kwan hata nyiny mna mapunguf mengi ambayo msingependa kudhihakiwa.
Kwenye suala la Kufunga, Kiimani ya kiisalm vzr ungejifunza Kufunga ni nn kwa mujib wa iman ya kiislam, na utakua unakosea ukijarb kufananisha funga ya imani yako na ya imani nyingine. Hapo utakua unachanganya mafail.
Dunia saiz ni pana, elimu imetapakaa, hata google unapata majib mazur t kwa mujib wa wasomi wa kiislam, em ulza huko bas utajibiw vzr tu. Lkn kwa ufupi tu.
Swaum ni kujizuia kula kunywa, na baadh ya mamb mengine (yatafute) kuanzia alfajir ya mwisho mpk kuzama kwa jua.
Nadhan utakua umepata jibu. Jiyo ndio swaum ya kiislam.
Mada swaum ni topic ndefu ila kqa ufup ni hivo.
Nomeukumbuka ule Uzi wako wa isidingo Numbisa, marehemu mama yangu alikuwa akikosa kuiangalia LAZMA avae miwani yake aingie JF kukusoma...marehem alikuwa anaipenda sana JF. Sema alituambia akifa tusimtaje kabisa hakutaka ID hiyo wamjue ni nani na tuliheshimu