Kufunga ni kama mchezo wa kuigiza

Kufunga ni kama mchezo wa kuigiza

Kufunga inatakiwa mtu ale mara moja tu. Yaani ndani ya masaa 24 kula wakati wa kufungua jua linapokuwa linazama basi. Haya mambo ya kula usiku kucha wakati wa mfungo ni dalili za uoga wa njaa. Mtu mwenye imani hawezi kuogopa njaa mbele za mungu wakati wa toba.
Kuna muda saa mbovu linasema ukweli kumbe 😹😹
 
Nomeukumbuka ule Uzi wako wa isidingo Numbisa, marehemu mama yangu alikuwa akikosa kuiangalia LAZMA avae miwani yake aingie JF kukusoma...marehem alikuwa anaipenda sana JF. Sema alituambia akifa tusimtaje kabisa hakutaka ID hiyo wamjue ni nani na tuliheshimu
Siijui ID ya mama yako ila nimejikuta namkumbuka Dena Amsi. Mungu azilaze roho zao mahala pema peponi.
 
Nyie acheni masimango kwanza dini imesema tule vizuri tu.
Ndo mana wakat wa Ramadhani vyakula vinapanda bei mana wanajua makobaz hawafungi bali wanabadili ratiba ya kula, angalia makobaz wengi kipindi cha Ramadhani ndo wananunua sana chakula.
 
Huo ubinadamu mnaouzungumzia mi sina, Kufunga usiku mchana nashindilia vitu
 
Ndo mana wakat wa Ramadhani vyakula vinapanda bei mana wanajua makobaz hawafungi bali wanabadili ratiba ya kula, angalia makobaz wengi kipindi cha Ramadhani ndo wananunua sana chakula.
Makafiri mnashambulia kila kona. Loh
 
Mbona uko kasi sana leo nini tatizo
 

Attachments

  • IMG_20260222_214845.jpg
    IMG_20260222_214845.jpg
    133.2 KB · Views: 14
In reality waislam wengi hawafungi.

Kama ni mtu wa vijiwe na kuongea na watu tofaut utajua kua miaka ya hivi karibuni mfungo wa ramadhan sio kama wa siku za nyuma.

Kati ya dini nilizokua naamin ziko strictly na mafundisho yake ni Islam ila saivi nao tayari washajaa kwenye mfumo, wengi wako shallow kama wakristo tu(hasa catholics).
 
In reality waislam wengi hawafungi.

Kama ni mtu wa vijiwe na kuongea na watu tofaut utajua kua miaka ya hivi karibuni mfungo wa ramadhan sio kama wa siku za nyuma.

Kati ya dini nilizokua naamin ziko strictly na mafundisho yake ni Islam ila saivi nao tayari washajaa kwenye mfumo, wengi wako shallow kama wakristo tu(hasa catholics).
Tusitake uislamu wa bongo uwe kama wa Afghanistan au Pakistan.
 
Hii ndo maana halisi ya Imani, huwezi kuwa muhuni na mshenzy ukaelewa mambo ya rohoni, fool
 
Kuna kobaz amenipita hapa amebeba mifuko miwili ya matunda, Kivumbi leo 😂 kabla ya saa 12 asubuhi yatabaki maganda tuu
Dah. Wenzio wananunua jumla wanakula kidogo kidogo. Kafiri acha usumbufu.
 
Back
Top Bottom