comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,449
- 11,505
Yani mtu unakula usiku kucha kama mchwa, kula masaa mengi kukaa na njaa masaa machache.
Mtu unakandamiza nguna alfajiri, unashiba ngaaa! Unalala unaamka bado umeshiba, jioni tena unashindilia.
Yani wakati wa Ramadhani mtu anakula sana zaidi ya mara 3 ya siku za kawaida sasa ndio nini hiyo?
Kama kweli nyie mabingwa wa kushinda na njaa mkishakula sa1 usiku msile tena mpaka kesho yake sa1 tena.
Ila kuna watu kama machizi, eti ukimwambia unanjaa??! Anasema hapana hii sio njaa ni SWAUMU! eti ukisema njaa ni dhambi.
Mtu unakandamiza nguna alfajiri, unashiba ngaaa! Unalala unaamka bado umeshiba, jioni tena unashindilia.
Yani wakati wa Ramadhani mtu anakula sana zaidi ya mara 3 ya siku za kawaida sasa ndio nini hiyo?
Kama kweli nyie mabingwa wa kushinda na njaa mkishakula sa1 usiku msile tena mpaka kesho yake sa1 tena.
Ila kuna watu kama machizi, eti ukimwambia unanjaa??! Anasema hapana hii sio njaa ni SWAUMU! eti ukisema njaa ni dhambi.