Sir Kite 2
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 552
- 314
Nidhamu inatakiwa ianzie juu.Katiba yetu inasemaje kuhusu Mikutano ya vyama vya siasa??Ukilijibu hili basi yule Mathew wa Lindi hakutakiwa hata kufunga siku moja.
pole uwe chizi kuliko kuwa Mwanachama wa CCM
Na bora uwe chizi kuliko Ukawa maana akili zao zimeshikwa na mtu mmoja.
Ndio maana leo mkisema ndio kesho mtasema hapana,mngekuwa timamu yale maneno mliyokuwa mnamsema Lowasa sidhani kama mngediriki kumuomba aje Ukawa tena kwa kupiga magoti.