MBWA WA MANZESE
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,621
- 614
Is this a post from katibu muenezi of the ruling party of this country or im just a victim of a poor joke? a very poorly written post of the day.
Mbona Nape anashindwa kujibu hoja.Mimi nasikitishwa na kauli za Nape lazima ziwe na kejeri, kwa sisi wasomi mtu hata kama humpendi vipi lazima uheshimu elimu yaka.Kama ni Dr utamuita Dr kama ni professor Utamuita ivyo.Kwa kauli kama hizo za Nape mimi napata mashaka na vyeo mnavyopewa.Nikiangalia naona ni siasa za chuki tu.
SIASA ZA MAJITAKA ZA CDM NA KUTAFUTA CHEAP POPURALITY ZITAWAMALIZA.
Kwenye hili hauitaji kuwa na degree kugundua ushakunaku wa cdm na mafuasi wake makanjanja.
Hivi inakuaje katibu mkuu wa ccm anatoa udhuru na kumtuma muakilishi wake na halafu mnadai kamkimbia.
Hivi mwenye akili nzima anaitaji kuelezewa jinsi hawa watu wawili wasivyolingana kiuelewa?
Dr mtu asiejiweze hata kujenga hoja inakuaje unataka kumuweka na Kanari na katibu mkuu wa ccm?
Huu ni upuuzi ambao atauamini mjinga na sio mtu anaeweza kuchambua mambo.
Poor cdm.
hivi kuna mtu anasomaga Tanzania Daima kweli??
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Hahahhaha Tumpe jina....Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Hapo kwenye ' mpiga Gitaa ' umenikumbusha LOKASSA YA MBONGO !
Kwa hiyo KINANA hajamkwepa BABU Slaa?Unamaanisha watakutana?Kama ndivyo poa maanawewe si size ya BABAU Slaa kwa sababu pamoja na mambo mengine, hujasoma tu PHILOSOPHY!.....inayodai eti Kinana kamkimbia kiaina Babu Dr.Slaa!!!! Raafiki yangu mmoja asub alipoona gazeti la CHADEMA limeandika vile akanitania akasema nilitegemea UHURU waandike "KINANA AMPUUZA BABU DR. SLAA" nikamwambia UHURU linafanya kazi ya nchi si ya Chama pekeake ndo maana limekuwepo hata kabla ya CCM kuwepo!!
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Naunga mkono hoja mia kwa mia hapo kwenye red hata shigela eti ni kijana wa uvi.masisiem,teh teheeeejamani msimlaumu sana bwana mdogo Nape. kwa mtazamo wa magambaz 'umri' ni kitu kinachopewa umuhimu mkubwa sana na kwao ujana ni hadi miaka 60. Si mnakumbuka wakati wanatuletea hili bomu linalotuhangaisha leo hii walilinadi kuwa ni 'kijana'. Kwao 'ubabu' vs 'ujana' ni mtaji mkubwa wa propoganda, na huyu ndiye msimamizi wa kitengo cha propogamda.
keep up bwana mdogo Nape.
Nape huyu huyu ?....🙄🙄🙄.....??tangia nione f yako ya civics sijawai kukuelewa tena.
Nape au nanitangia nione f yako ya civics sijawai kukuelewa tena.