Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,463
- 21,240
Tusitegemee mafuta kushuka, bunge la bajeti ni bunge la kuongeza kodi, Tutegemee kuongezeka kwa kodi , huku bei za mafuta kupanda, sasa mwezi huu wa saba, na mwakani mwezi wa saba mafuta yatafika 7000.
Stay tune.
Stay tune.