Mlifanya kabla ya ndoa??Ngoja nikomae naye. Ni ukweli...kila kitu anapata!! Job namupitisha kila tuendapo job. Jioni namptia kama sijatingwa.....anavaa vizur,saloon anaenda. Kwa ujumla ni msalaba....mke mzuri lakini ndo hivyo nataabika...
maelezo ya upande mmoja hayana uhalisia.Ngoja nikomae naye. Ni ukweli...kila kitu anapata!! Job namupitisha kila tuendapo job. Jioni namptia kama sijatingwa.....anavaa vizur,saloon anaenda. Kwa ujumla ni msalaba....mke mzuri lakini ndo hivyo nataabika...
Naomba msaada wa kiafya. Kuna tatizo endapo unafanya mapenzi na mke wako mara nne tu kwa mwaka. Hili tatizo ninalo mimi ni msalaba nilionao kwa mke wangu ni mgumu wa kutoa penzi. Kila siku amechoka kila siku akilala hataki aguswe. Mpaka nimekata tamaa sana sana kwa mwaka nampata mara nne au tatu. Namshawishi kila namna kwa kila maneno lakini ni balaa tupu. Mpaka huwa nawaza kwa nini nilioa na kufunga naye ndoa. Kuna kipindi nakata tamaa naendelea kumuomba mungu anisaidie.
Msaada wenu!!
Hahahaha ni heri punyeto kuliko kutafuta mchepuko, maana nyumba ndogo ndo huwa wanaharibu kabisa na ndo atazidi kumchanga ndugu yetu, atumie tu nyeto kwa hii transitional period mpaka mambo yatakapo tulia, ndoa ni ya kuilinda sio ya kuikimbia maana kila ndoa ina mzimu wake.teh...
umewaza nini mkuu..!?
mmmh...Hahahaha ni heri punyeto kuliko kutafuta mchepuko, maana nyumba ndogo ndo huwa wanaharibu kabisa na ndo atazidi kumchanga ndugu yetu, atumie tu nyeto kwa hii transitional period mpaka mambo yatakapo tulia, ndoa ni ya kuilinda sio ya kuikimbia maana kila ndoa ina mzimu wake.
Ahahahah...unaweza kuta ana mtu anampa TAMU,
Teh teh ndo achukue tahadhari mkuuAhahahah...
bradha majibu yako yatapelekea huyu KIUMBE ajitundike...
ooh..!!!