NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,398
hahahaha Mtoto wa Ki Tanga Umenipa jeuri leo Tanga OYEEEEEEEEEEEEEEE LOL..mke wa dizaini hyo dizaini hyo dawa yake ni kumuolea mke wa pili tu.tena mtoto wa kitanga mbichiiiiii.Kikawaida gemu inatakiwa angalau kwa wiki mara mbili na hyo ni minimum.kama kuna ukweli kwenye hii hadithi yako bas pole sana.kwanza inawezekanaje kuwa na mwanamke mwenye jeuri kiasi hicho cha kugoma kukupa huduma yako ya kikatiba?.hebu kaza msuli mtoto wakiume mweke chini akueleze tatizo ni nini.akizingua mpe likizo kwanza arudi kwao