Kufanya mapenzi kwa mwaka mara nne

Kufanya mapenzi kwa mwaka mara nne

Yani kirahisi na wewe unakubali hilo jibu lake amechoka halafu akupe game mara 4 kwa mwaka basi we umekubali kuchapiwa mke wako coz kama mwamaum wa kweli huo ujinga huwezi kuukubali
 
Nliwah angalia movie ina stori ka hii! Manzi ana ratba ya sex kwa siku maalum na muda ni dk15 tu jamaa akatoka na secretary wake yalokuja kutokea ni zaid ya majanga
 
Mke??? How comes? Basi hamu zote anazimalizia kwa kelvini. Wewe ulivyobwege, tena kwa kujitapa unasema nampenda mke wangu ahaaaaaaaaaa kwan wewe ni wa kwanza kufanya? Chepuka kwani sh ngap? Si vihela vya mboga kama laki mbili!!? Au wewe bahili? Shauri yako utakufa mapema na stress bi zeya weitingiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Tia neno basi mamy...mwenzetu anapata maswahibu
Daddy this one , mmhhmm is too much , duuh thats why my words cant come out , daddy haaahhaaaa..... What I can say is ammchukue mkewe waende huduma ya Kiroho( isije ikawa ana Pepo dear linammsumbua, if they are Christian but at this point even if they are Muslim they can go too ni Faith inahitajika) , she needs prayers , its abnormal thing to satisfied her husband only 4 times a year.. Kwa kweli this is my first time to hear this.. Akae chini na mkewe amueleze kinachooendelea na athari zake . Na pia what to do to save their marriage.. There are some people are sick katika hii hali kama ya mkewe .. Ila ya kwake is too much.. I have seen it before . Some women who has this condition hupata hisia to do once in a month or twice in three months but not 4× a year .. Huyu mume ana uvumilivu sana if He didnt cheat on her .. Dear do you know that katika ulimwengu wa Roho kuna mapepo ya kila aina hurushwa just to destroy us .. By saying this simmkatazi asiende kumuona Specialist Doctor, no.. Akamuone Doctor but also afikirie pia kwenda kupata huduma ya Kiroho maana huwezi jua ndani ya huyo mmke asije akawa anahudumiwa na mapepo bila kujijua andthen when it comes to her husband , she does not want it at all ( yapo pia Demons na majini ya kuwafanya wanandoa wawe hivi ).... Thanks..
 
itisha kikao cha wazazi wapande zote mbili waje wamuulize huenda akawa na tatizo kubwa, usichukulie mzaha hilo swala.
Hapana...asiwashirikishe kwanza wazazi mapema bali kuna viongozi wa kiimani aanze nao then asipobadilika alifikishe kwa wazazi huenda akaona aibu akajirekebisha..
 
Pia atakuwa anagongwa nje ndo maana anakosa hamu ndani...usikute ni vijana wapuuzi kabisa wanajisevia mzigo...
 
mke wa dizaini hyo dizaini hyo dawa yake ni kumuolea mke wa pili tu.tena mtoto wa kitanga mbichiiiiii.Kikawaida gemu inatakiwa angalau kwa wiki mara mbili na hyo ni minimum.kama kuna ukweli kwenye hii hadithi yako bas pole sana.kwanza inawezekanaje kuwa na mwanamke mwenye jeuri kiasi hicho cha kugoma kukupa huduma yako ya kikatiba?.hebu kaza msuli mtoto wakiume mweke chini akueleze tatizo ni nini.akizingua mpe likizo kwanza arudi kwao
Mkuu kumrudisha mwanamke kwao eti kwa nia ya kumrekebisha unajidanganya.huko atatombe.sha kwa kila mwanaume anayejitokeza ili akukomoe.
 
Mulika Mwizi....Sikia Kengele...tupo wangapi?!
 
mke wa dizaini hyo dizaini hyo dawa yake ni kumuolea mke wa pili tu.tena mtoto wa kitanga mbichiiiiii.Kikawaida gemu inatakiwa angalau kwa wiki mara mbili na hyo ni minimum.kama kuna ukweli kwenye hii hadithi yako bas pole sana.kwanza inawezekanaje kuwa na mwanamke mwenye jeuri kiasi hicho cha kugoma kukupa huduma yako ya kikatiba?.hebu kaza msuli mtoto wakiume mweke chini akueleze tatizo ni nini.akizingua mpe likizo kwanza arudi kwao

Huyo unamuolea mtoto wa kitanga halafu nyumba iwe haina ceiling board. Anausikilizia mziki wore, mwenyewe atatoa.
 
Daddy this one , mmhhmm is too much , duuh thats why my words cant come out , daddy haaahhaaaa..... What I can say is ammchukue mkewe waende huduma ya Kiroho( isije ikawa ana Pepo dear linammsumbua, if they are Christian but at this point even if they are Muslim they can go too ni Faith inahitajika) , she needs prayers , its abnormal thing to satisfied her husband only 4 times a year.. Kwa kweli this is my first time to hear this.. Akae chini na mkewe amueleze kinachooendelea na athari zake . Na pia what to do to save their marriage.. There are some people are sick katika hii hali kama ya mkewe .. Ila ya kwake is too much.. I have seen it before . Some women who has this condition hupata hisia to do once in a month or twice in three months but not 4× a year .. Huyu mume ana uvumilivu sana if He didnt cheat on her .. Dear do you know that katika ulimwengu wa Roho kuna mapepo ya kila aina hurushwa just to destroy us .. By saying this simmkatazi asiende kumuona Specialist Doctor, no.. Akamuone Doctor but also afikirie pia kwenda kupata huduma ya Kiroho maana huwezi jua ndani ya huyo mmke asije akawa anahudumiwa na mapepo bila kujijua andthen when it comes to her husband , she does not want it at all ( yapo pia Demons na majini ya kuwafanya wanandoa wawe hivi ).... Thanks..
I only concentrated on world's stuffs na nikasahau upande wa pili...faith!! what you spoke is the truth!! its something challenging and it might be a reason especially to what is going on to our friend..mleta mada!! thanks for your contribution and i believe bulabo atakua kaipitia hii post!!
 
I only concentrated on world's stuffs na nikasahau upande wa pili...faith!! what you spoke is the truth!! its something challenging and it might be a reason especially to what is going on to our friend..mleta mada!! thanks for your contribution and i believe bulabo atakua kaipitia hii post!!
It is well dear .. Be blessed.. Thanks..
 
Kachepuke au piga punyeto tu mkuu..Alafu unachapiwa hapo mtaa embu mfatilie
 
sasa mkuu we kweli unakula ukashiba sawa sawa nyege zako unazipeleka wapi maana kama kwa mwaka mara nne unapewa papuchi kila baada ya miezi mitatu mkeo sio tatizo ila wewe ndio tatizo unaekaa miezi mitatu kwaiyo ukipewa si unajaza kikombe cha chai shahawa ?
 
Mkuu nahisi kuna sehem ya story hujatuambia. Mwanzo mlikua mnaishi vp na ulikua unapewa mara ngap kwa wiki..
Siku akikupa jifunze umpige katerero mkuu kesho atataka mwnyw
 
Unakua unaivizia akilala unaishikashika ikisimama unasimamia[emoji3]
Hahahhaha hamna kitu inachosha km kumuomba mwanaume hio kitu,kijamii imezoeleka wanaume ndo frontliners hapo
 
Peleka malamiko yako kwenye uongozi wa kanisa maana km hupati haki ya ndoa basi hiyo ndoa inaweza kuvunjwa ili kuruhusu ww kuoa mke mwingine,ila km dini yako inaruhusu kuoa mwingine basi fanya hivyo
 
Back
Top Bottom