Kuepuka Radi kwa kufuga Kondoo

Status
Not open for further replies.
Naam niliiona hiyo kitu Shinyanga vijijini. Kwamba radi huja kama jogoo, na inapokutana na kondoo hupigana sana na mara nyingi radi hushindwa.

Cc H1N1 mgen na mbulula & co ltd.

Hebu njooni muone mfuasi wa yesu alichokiona shinyanga!
Manake HATA YESU HAJAWAHI KUONA!

teh teh teh teh! Kwi kwi kwi!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu RADI ni umeme unaotokana/generated na msuguano wa mawingu, sasa jogoo anatoka wapi! Adithi kama hizo niliwahi kuzisikia kijijini kwetu nilipo kuwa mdogo - mimi nafikiri radi kabla haija strike aridhi kuna mini-branches zinazo tokana na main lightnig bolt ambazo umeme wake ni mdogo i.e hauwezi kuua binadamu, sasa umeme huo ukipitia kichwani/ubongo kwenda aridhini basi unaweza kumfanya binadamu aone illusion ya mfano wa JOGOO i.e light current ya umeme wa radi kupitia kwenye ubongo unamfanya apate hallucination ya muda na kudhani alimuona Jogoo kweli. Mimi nina mfano hai lakini sio wa kuona Jogoo, Mkoa wa Kagera una incidents nyingi za kupigwa radi hasa hasa vitongoji vilivyo karibu na ziwa Victoria, siku moja nikiwa darasa la kwanza tukiwa darasani radi ilipiga karibu sana na shule, baadhi ya wanafunzi akiwemo mimi mwenyewe tulihisi kitu kama chumvi mdomoni!! Nafikiri kitu kilicho tuhokoa ni a lightnig arrestor iliyo kuwa imewekwa kwenye paa la shule kwa miaka mingi, bila ya kizuhizi hicho cha radi sina shaka siku hiyo tungepigwa radi - kwa nini nina hakika kuwa taste ya chumvi ilitokana na umeme mdogo wa radi, siku moja chukua betri mpya ya tochi weka kidole kwenye base (-ve) yake alafu tumia ncha ya ulimi wako iguse +ve side ya betri - kama betri ni mpya basi taste yake inakuwa ni ya chumvi chumvi, kama betri hiko completely discharged hutahisi chochote. Siku ya tukio la radi shuleni nilipata taste ya chumvi kinywani mwangu, kwa hiyo tusione ajabu sana watu wengine wanapo pata illusion tofauti mfano - kuona Jogoo sijui mweupe au mwekundu!

Usipate taabu kuandika makala ndefu. Nilisikia kuhusu imani hiyo huko Shinyanga vijijini, imetawala sana. Habari ya asili ya radi wala si issue kwangu, I was just sharing my experience, ilakuna mp.mbavu mmoja anayedhani kila thread anaweza kuigeuza kuwa ya chuki za kidini. Huyo narudia tena ni mp.mbavu na jina lake humu ni kahtaan.

Hivyo ulichokisoma hapo ni IMANI ILIYOENEA SHINYANGA VIJIJINI. That is all.
 
Last edited by a moderator:
Usipate taabu kuandika makala ndefu. Nilisikia kuhusu imani hiyo huko Shinyanga vijijini, imetawala sana. Habari ya asili ya radi wala si issue kwangu, I was just sharing my experience, ilakuna mp.mbavu mmoja anayedhani kila thread anaweza kuigeuza kuwa ya chuki za kidini. Huyo narudia tena ni mp.mbavu na jina lake humu ni kahtaan. Hivyo ulichokisoma hapo ni IMANI ILIYOENEA SHINYANGA VIJIJINI. That is all.
Mkuu imani hiyo hipo karibu ukanda wote wa Ziwa, nilikuwa najaribu kueleza kisayansi kwa nini baadhi ya watu wanapata illusion ya kuona JOGOO - ni hilo tu mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Usipate taabu kuandika makala ndefu. NILISIKIA KUHUSU IMANI HIO HUKO SHINYANGA vijijini, imetawala sana. Habari ya asili ya radi wala si issue kwangu, I was just sharing my experience, ilakuna mp.mbavu mmoja anayedhani kila thread anaweza kuigeuza kuwa ya chuki za kidini. Huyo narudia tena ni mp.mbavu na jina lake humu ni kahtaan.

Hivyo ulichokisoma hapo ni IMANI ILIYOENEA SHINYANGA VIJIJINI. That is all.

Wacha UNAFIKI WEWE! Jitu zima halina hata haya KUBADILI MANENO NA KUSEMA UONGO HADHARANI!


Mwanza ulisema UMEONA MWENYEWE RADI IMEKAA KAMA JOGOO! inapigana
Na KONDOO!

Leo unasema "ULISIKIA IMANI HIZO HUKO SHINYANGA bla..bla..bla..bla.!

Hebu JISOME HAPA.

Naam NILIIONA HIO KITU Shinyanga vijijini. Kwamba radi huja kama JOGOO, na inapokutana na kondoo hupigana sana na mara nyingi radi hushindwa.[/QUOTE

Ndio nikasema MNAFIKI HAWEZI KUJIFICHA HATA SIKU MOJA!

Sasa kama mnaomuwakilisha yesu NDIO SURA MBILI KAMA HIVI? Ugalatia wa kweli KABAKIZA NANI!?

I told you sweetheart! Oneday This is going to bite your backside!

Naona hapo ulipo huna hata pa kuficha sura yako!

Teh teh teh teh.

Cc mkupule
 
Last edited by a moderator:
Kuna vitu vingine kwa kweli havina logic kabisa lakini wazee wetu wa zamani wanavifahamu sana. Mimi niliwahi kumshuhudia bibi yangu kashika ziwa la kushoto tulipumuona nyoka na kumuua kirahisi sana kama vile anaua sisimizi. Nilimuuliza kwanini alishika ziwa la kushoto muda wote alipokuwa anamuua nyoka yule kwa kutumia jiwe kwa kumsigina kichwa chake. Alinijibu kwamba mwanamke mwenye maziwa akiona nyoka na kushika ziwa la kushoto yule nyoka atasimama pale pale. Nilikuwa mdogo nikaanza kumdodosa kwanini siyo ziwa la kulia, kwanini ni wanawake wenye maziwa tu, je akiona mbwa mkali pia akishika ziwa mbwa hatakwenda kokote? Bibi aliniona msumbufu na maswali yangu mengi na kuamua kunipotezea. RIP Bibi. Katika dunia yetu kuna mambo mengi hayana logic ya kisayansi lakini ukweli ni kwamba yapo.
 
Kondoo hana uwezo wa kuzuia radi ila amepewa kipawa cha ku sense uelekeo/ujio wa radi na coverage area ya eneo litakaloathiriwa! hivyo anachofanya ni ku hedge/kujkianga na madhara ya radi yasimdhuru.
ndio maana kwa sisi wafugaji wazee wetu walitushauri kuwa wepesi wa kuangalia uelekeo wa kondoo pindi vua inaponyesha i.e unashauliwa kulala chini nyuma ya kondoo ktk tukio la radi.
 
A fool at his best.


(Matthew 5:22) - "But I say to you that everyone who is angry with his brother shall be guilty before the court; and whoever says to his brother, 'You good-for-nothing,' shall be guilty before the supreme court; and whoever says, 'You fool,' shall be guilty enough to go into the fiery hell.
 
Kondoo hana uwezo wa kuzuia radi ila amepewa kipawa cha ku sense uelekeo/ujio wa radi na coverage area ya eneo litakaloathiriwa! hivyo anachofanya ni ku hedge/kujkianga na madhara ya radi yasimdhuru.
ndio maana kwa sisi wafugaji wazee wetu walitushauri kuwa wepesi wa kuangalia uelekeo wa kondoo pindi vua inaponyesha i.e unashauliwa kulala chini nyuma ya kondoo ktk tukio la radi.

Teh teh teh teh! Hapo mkuu umenichekesha sana tu!
Hivi nikuulize wewe mfugaji!
Lini ulishawahi kuona kondoo akapigana na radi??
Acheni hizo mila potofu msije mkafa kabla ya siku zenu!
Kuna baadhi ya maeneo north America ni guarantee kupiga radi chungu mzima!
Tena hilo sio la kujiuliza!
Na sehemu hizo wanyama wengi wanafugwa wakiwemo kondoo.
Na radi zinauwa kondoo na wanyama wengine kila siku!
Halafu unasema wazee wako wamekwambia zikianza radi ulale chini nyuma ya kondoo!
Sasa kondoo akiamua kuondoka je!?
Kwa imani yako si ndio kifo tena!!

Achana na yule mnafiki Nyenyere!

Huyu ni mparoko muongo sana!

Na ni mwenye madhambi mengi sana ya udanganyifu!!
 
Last edited by a moderator:
Halafu mtu kama wewe unajisifu umeenda shule!?
Teh teh teh teh!

Afadhali nimedaka hapa unaandika utumbo! Ntauhifadhi huu utumbo siku nyingine ukileta yale majigambo yako ya kusema wewe msomi!

Radi ya jogoo my foot!

We jamaa nawe..uwe unascan maneno yako kabla hujaandika. Hivi unajua kuna elimu ambayo ipo ila haifundishwi? Am sure hata wewe huijui, just have a look on metaphysics which in phylosophy is a bit explained.

Usiwe kama sisimizi anaejua dunia ni kama tembo, vitu unavyosoma class is <10% of knowledge on Earth bro, nimetoa mf wa metaphys ila ziko nyingi sana sana, usilimit mawazo yako kiasi hicho u are wrong
 
Una Elimu gani mkuu?

Insane..Socrates alipotembea na chimney light mchana watu walindhihaki sana lakini aliwajibu:

Hamuwezi elewa kwa nini natembea na taa ya chemli mchana kwa vile limit "horizon" of your thinking is far from where you can understand
At the end he comitted suicide with hermlock tree poison.

Point yangu ni kuwa, huwezi kuwa expert wa elimu zote duniani kwa kuwa una PhD or whatsoever, Nah you become wrong! Thats why research will still be there even yr 2500
 
Mimi siamini hilo la kondoo, sijafuatilia na kujua nini kipo btn them huenda ni imani tu au kweli kuna chemical relation na kondoo..is good start to do research project kuona je ni kweli au ilitokea kiimani zaidi
 
Halafu mtu kama wewe unajisifu umeenda shule!?
Teh teh teh teh!

Afadhali nimedaka hapa unaandika utumbo! Ntauhifadhi huu utumbo siku nyingine ukileta yale majigambo yako ya kusema wewe msomi!

Radi ya jogoo my foot!
kahtaan huyu Nyenyere si yule fundi mwashi au sio yeye?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom