2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,360
- 6,060
nina hakikamumezaliwa pembeni yako kuna fesibuku, twiter, instagram na hujui hata kondoo ana sura gani. I can't real can't say how anapambana lakini i have seen it by my naked eyes kondoo anapambana sana na radi. Utamuona anaanza kurudi kinyumenyume kama anapigana na mwenzake na baadae utaona bonge la radi.mijini hamna radi na ndiko kwenye jf lakini kijijini kuna mambo ya ajabu na kushangaza.
mkuu maisha yangu, nimeishi nusu mjini nusu kijiji. pia nimewahi chunga ng'ombe japo haikuwa kazi bali mifugo ya wazazi, nimekata majani ya ngo'mbe, kitaaluma mimi ni daktari wa mifugo, hivyo ng'ombe, nguruwe, kuku, gees, turkey, mbuzi, si mgeni kabisa. nikiwa chuo kitengo nilichofanyia project zangu ni cha mbuzi na kondoo. naelewa aina ya funza anayedaiwa kukaa kwenye pua anayedaiwa kumpelekea mbuzi hasira.
pia nimesoma pia physics vizuri, kuhusiana na radi inawezaje kudhuru, nina uwelewa pia.kuwa radi inakuwa attracted na +ve charge na iikiwa eneo lipo juu zaidi ya pengine inakuwa rahisi ku-attract Radi. Radi ni umeme mkuu sio lazima inaposhuka uione kwa macho.
fahamu katika jamii kuna kitu wanaita myth na reality.
inahitaji imani zaidi kuamini kuwa umeme mkubwa wa radi unaweza kumwacha kondoo akiwa hai. am not sure..though i respect the notion from ITK* point of view kwani hata mimi niliwahi kusikia hizo stori japo sijaona. Hivyo siwezi kukubishia.
i'm not gonna lie, i found it really hard to masticate to this.
ITK*=indigenous technical knowledge