Kuelekea D9 kampuni za mabasi haziuzi tiketi za tarehe 09/12

Kuelekea D9 kampuni za mabasi haziuzi tiketi za tarehe 09/12

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Tanzania ya Sasa hivi ni ya moto sana, zamani yalipoitishwa maandamano watu walichukulia poa tu, Kwa kujua hakuna atakayetoka.

Kilichotokea MO29, kimetoa blueprint ya maandamano nchini.

Sasa Toka maandamano ya D9 yatangazwe, serikali imenywea kabsa inaogopa kutoa vitisho,na kufanya mazoezi ya pamoja Kwa vyombo vya usalama.

Sasa Kampuni nyingi za mabasi haziuzi tiketi za tarehe 09/12, nyingne kuanzia tarehe 08-10/12 hawauzi, hii imetokana na kuogopa maandamano na gari zao kutiwa kiberiti.

Yaani yakiitishwa maandamano Tanzania, shughuri nyingi katika nchi zitasimama.

Aione
Samuya

Mto wa mbu
Manhattan-USA
 
Tanzania ya Sasa hivi ni ya moto sana, zamani yalipoitishwa maandamano watu walichukulia poa tu, Kwa kujua hakuna atakayetoka.

Kilichotokea MO29, kimetoa blueprint ya maandamano nchini.

Sasa Toka maandamano ya D9 yatangazwe, serikali imenywea kabsa inaogopa kutoa vitisho,na kufanya mazoezi ya pamoja Kwa vyombo vya usalama.

Sasa Kampuni nyingi za mabasi haziuzi tiketi za tarehe 09/12, nyingne kuanzia tarehe 08-10/12 hawauzi, hii imetokana na kuogopa maandamano na gari zao kutiwa kiberiti.

Yaani yakiitishwa maandamano Tanzania, shughuri nyingi katika nchi zitasimama.

Aione
Samuya

Mto wa mbu
Manhattan-USA
Aione mke wangu Lucha anipaye nyuma kila siku usiku.

Hii ndo kusema kuwa sasa watanganyika wanaitaka nchi yao kwa hamu na gamu kama ambavyo secretarybird amtamanivyo mkewe tajwa hapo juu kiasi cha kukesha naye kama CNN wakingonoka.

Mbaga Jr BICHWA KOMWE - Busu la Kenge Mjusi Sharobalo what's up!
 
Samia katangaza kuwa tarehe 9/12/2025 kutakuwa na zoezi la usafi nchi mzima.Usafi utafanywa na polisi pamoja na jeshi la watawala wa CCM ambalo linajiita la wananchi.
Ni sawa, lakini ubaya ni kwamba hakutakua na shughuli za kiuchumi, je unadhani hapo mshindi nani,

Yaani mwaka una miezi 12, kiutani utani kama taifa tunapoteza mwezi mzima bila uzalishaji, bila mzunguko, unadhani tunakwenda mbele ama tunarudi nyuma
Karne za kutumia nguvu kutawala wananchi zilishapitwa na wakati, nadhani serikali ibadilishe namna ya kutawala, la sivyo asiyesikia la mkuu......
 
Wanapisha uwanja wa nyumbu wezi na waharibifu wa mali wapigwe risasi hadi wachanganyikiwe, safari hii lazima niwasaidie polisi kuwatanguliza nyumbu akhera nimeanza kunoa panga tangu wiki iliyopita lazima nichinje angalau nyumbu wawili kwa mkono wangu.

Hakuna huruma kwa wahalifu
 
Wanapisha uwanja wa nyumbu wezi na waharibifu wa mali wapigwe risasi hadi wachanganyikiwe, safari hii lazima niwasaidie polisi kuwatanguliza nyumbu akhera nimeanza kunoa panga tangu wiki iliyopita lazima nichinje angalau nyumbu wawili kwa mkono wangu.

Hakuna huruma kwa wahalifu
Ukitaka nakusubiri nikupige pipe
 
Ni sawa, lakini ubaya ni kwamba hakutakua na shughuli za kiuchumi, je unadhani hapo mshindi nani,

Yaani mwaka una miezi 12, kiutani utani kama taifa tunapoteza mwezi mzima bila uzalishaji, bila mzunguko, unadhani tunakwenda mbele ama tunarudi nyuma
Karne za kutumia nguvu kutawala wananchi zilishapitwa na wakati, nadhani serikali ibadilishe namna ya kutawala, la sivyo asiyesikia la mkuu......
Acha kiwake
 
Wanapisha uwanja wa nyumbu wezi na waharibifu wa mali wapigwe risasi hadi wachanganyikiwe, safari hii lazima niwasaidie polisi kuwatanguliza nyumbu akhera nimeanza kunoa panga tangu wiki iliyopita lazima nichinje angalau nyumbu wawili kwa mkono wangu.

Hakuna huruma kwa wahalifu
Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga.....noa vizuri panga lako ili siku likikufikia wewe lisiwe butu!!
 
Samia katangaza kuwa tarehe 9/12/2025 kutakuwa na zoezi la usafi nchi mzima.Usafi utafanywa na polisi pamoja na jeshi la watawala wa CCM ambalo linajiita la wananchi.
Who cares
 
Samia katangaza kuwa tarehe 9/12/2025 kutakuwa na zoezi la usafi nchi mzima.Usafi utafanywa na polisi pamoja na jeshi la watawala wa CCM ambalo linajiita la wananchi.
Kwa hio unamaanisha nini huo usafi unahusu nini maandamano? Uzuri satellite zipo zinaona wakianza kuua tena wakatafuta kwa kwenda kuzichoma maiti na kuzifukia na kwenda kuzirundika kwenye mahospitali, muda sio rafiki
 
Back
Top Bottom