Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,240
- 90,298
Usafiri wa umma wa daladala katika Jiji la Dar es Salaam ni mbovu sana na haujawahi kuwa wa kistaarabu, sehemu ya kwenda kwa dakika 45 yanatumika hadi masaa mawili tena huku abiria wamebambiana kama ndizi pamoja na kuvujiana jasho.
Sasa tusiwafanyie hivyo wageni wa AFCON ikiwa hatutanya'ng'anywa haya mashindano. Kuanzia sasa tuanze kuwa na dalaladala za madaraja tofauti kama mabasi, ziwepo dalaladala VIP ambazo hazisimamishi abiria nauli iwe kuanzia 2,000.
Sasa tusiwafanyie hivyo wageni wa AFCON ikiwa hatutanya'ng'anywa haya mashindano. Kuanzia sasa tuanze kuwa na dalaladala za madaraja tofauti kama mabasi, ziwepo dalaladala VIP ambazo hazisimamishi abiria nauli iwe kuanzia 2,000.