Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,321
hakuna msafi anaweza kutokea ccm kwa mfumo wa chama chenyewe na mfumo mbovuwa serikali legelege.afadhari hata kipindi cha mkapa rais alikuwa na mvuto hata na madudu aliyoyafanya mwishoni.Lakini kwa sasa rais hana heshima inaonekana hana mcheza show anaweza kuongoza nchi hii inatokana na rais aliye madarakani kuwa anafanya mizaha mingi kwenye mambo ya msingi kwa kifupi ni rais goigoi anayeongoza serikali dhaifu anyesindikiza chama cha walarushwa na mafisadi urais sasa ni kama kuwa celebrity tu na hili tz tutalijutia kwa karne yote ijayo.
Ndugu,
You have said it all.
Ila kinachonishangaza ni kuwa hawa jamaa wa "kijana" hawaoni wa hawataki kusikia!!!
Hivi ni wao ndo wana matatizo au sisi wakosoaji ndo tuna matatizo???