Kuelekea 2015, tuna kundi jipya la urais CCM - Kigwangalla

kila mwenye hoja hafifu kuhusu cdm anataja 'demokrasia ya ndani ya chama'.kwani nini maana ya demokrasia?ni change political figure au ni achievement of common goal through any of the group members presiding? Nadhani malengo,kazi za kichama na mengine mengi yanafanikiwa vizur chini ya hao waliopo,ni kweli ni vzuri kubadili uongozi baada ya muda fulani lakini si swala la lazima kiasi hiki. Au kuna mamluki?

Ni kweli mkuu kuna filosofia inasema usibadilishe kipuri wakati hakijaleta shida(kinafanya kazi vizuri).kwa sababu hata vipya vinaweza visifanye kazi vizuri kama cha zamani.
 
hakuna msafi anaweza kutokea ccm kwa mfumo wa chama chenyewe na mfumo mbovuwa serikali legelege.afadhari hata kipindi cha mkapa rais alikuwa na mvuto hata na madudu aliyoyafanya mwishoni.Lakini kwa sasa rais hana heshima inaonekana hana mcheza show anaweza kuongoza nchi hii inatokana na rais aliye madarakani kuwa anafanya mizaha mingi kwenye mambo ya msingi kwa kifupi ni rais goigoi anayeongoza serikali dhaifu anyesindikiza chama cha walarushwa na mafisadi urais sasa ni kama kuwa celebrity tu na hili tz tutalijutia kwa karne yote ijayo.
 
Hivi nini kimetokea hadi watu wengi kudhani wanaweza kuwa a RAIS WA NCHI YETU?
Hiyo ni dalili ya watu wengi kuwa tayari kutoa mchango wao kwenye uongozi wa Taifa, na mimi nadhani ni kitu kizuri sana tu! Ilimradi kiende kwa uwazi na udemokrasia ya hali ya juu
 
Watu wanaopitishwa kugombea Urais uwa ni bidhaa ya makundi yenye maslahi yao (yoyote yale) Hapa najiuliza demokrasia inafanyaje kazi hapa ikiwa Wananchi tunasukumiwa watakacho kikundi cha watu halafu tunawekwa as if we have any choice....Mfumo wa vyama katika kuwapata wagombea Urais umejaa ukiritimba, ni wakati tudai mabadiliko katika vyama vyetu ili Mgombea apatikane kwa matakwa ya wanachama kwa ujumla na sio kikundi cha watu......Tanzania hatuchagui Rais, tunachaguliwa tena kwa viini macho
 
hakuna msafi anaweza kutokea ccm kwa mfumo wa chama chenyewe na mfumo mbovuwa serikali legelege.afadhari hata kipindi cha mkapa rais alikuwa na mvuto hata na madudu aliyoyafanya mwishoni.Lakini kwa sasa rais hana heshima inaonekana hana mcheza show anaweza kuongoza nchi hii inatokana na rais aliye madarakani kuwa anafanya mizaha mingi kwenye mambo ya msingi kwa kifupi ni rais goigoi anayeongoza serikali dhaifu anyesindikiza chama cha walarushwa na mafisadi urais sasa ni kama kuwa celebrity tu na hili tz tutalijutia kwa karne yote ijayo.

Viongozi wetu wakiamua kuwa serious na kuacha "market forces" ziamue, na pia wawe serious katika kushughulikia matatizo ya viongozi wetu ambayo hata Mwalimu aliwahi yaongelea, nadhani tunaweza kabisa kupata mgombea mzuri kutoka CCM. Matatizo aliyoyataja mwalimu ni UNAFSI, FITINA, WOGA na UNAFIKI katika kufanya maamuzi muhimu, ikiwa ni pamoja na wakati wa kuchagua viongozi.
 
Hiyo ni dalili ya watu wengi kuwa tayari kutoa mchango wao kwenye uongozi wa Taifa, na mimi nadhani ni kitu kizuri sana tu! Ilimradi kiende kwa uwazi na udemokrasia ya hali ya juu

Dr naona nawewe unaweza km alivyotamka Zitto kuwa Amirijeshi Mkuu, ninachowaomba mbona muda bado sana tungesubiri Mkutano Mkuu wa CCM huo ndio ungeonyesha watu wamejipangaje, Vijana mpo wengi hao wazee bado sio tishio, kwani tunaingia kwenye mapambano na vijana wengi wa leo wenye miaka 15 watapiga kura 2015, huwezi kuwaambia watu wa 47 wakakuelewa
 
Dr naona nawewe unaweza km alivyotamka Zitto kuwa Amirijeshi Mkuu, ninachowaomba mbona muda bado sana tungesubiri Mkutano Mkuu wa CCM huo ndio ungeonyesha watu wamejipangaje, Vijana mpo wengi hao wazee bado sio tishio, kwani tunaingia kwenye mapambano na vijana wengi wa leo wenye miaka 15 watapiga kura 2015, huwezi kuwaambia watu wa 47 wakakuelewa

nakushukuru...hata mimi binafsi nina uwezo, uadilifu na utayari wa kuwa amiri jeshi mkuu LAKINI BADO KWANZA, nasoma kwanza mchezo na kujifunza zaidi. Nahitaji uzoefu kwenye medani hizi za siasa za kitaifa na wakati ukifika kwa uwezo wa MUNGU nitatangaza nia! Hili linanisukuma kwa sasa kutokuwa mtazamaji, kuwa mshiriki wa harakati za kuhakikisha nchi inapata Rais makini na mahiri ambaye ataiongoza nchi yetu kufikia ahadi...
 
Viongozi wetu wakiamua kuwa serious na kuacha "market forces" ziamue, na pia wawe serious katika kushughulikia matatizo ya viongozi wetu ambayo hata Mwalimu aliwahi yaongelea, nadhani tunaweza kabisa kupata mgombea mzuri kutoka CCM. Matatizo aliyoyataja mwalimu ni UNAFSI, FITINA, WOGA na UNAFIKI katika kufanya maamuzi muhimu, ikiwa ni pamoja na wakati wa kuchagua viongozi.
Mchambuzi, ni kitu kigumu kusema viongozi wetu wasiamue mustakabali wa Taifa, nani sasa ataamua? Ni lazima katika hatua za kumpata mgombea wetu tufike mahali viongozi wapendekeze a number of people eligible for the high office na hapo wataruhusu sasa demokrasia ya ndani ya chama ichague na baadaye demokrasia ya ndani ya nchi iamue ...
 
Hiyo ni dalili ya watu wengi kuwa tayari kutoa mchango wao kwenye uongozi wa Taifa, na mimi nadhani ni kitu kizuri sana tu! Ilimradi kiende kwa uwazi na udemokrasia ya hali ya juu

heshima kwako mkuu!
Ni vyema tukawa wakweli na wawazi kwamba taasisi ya Urais imeshushwa sana hadhi na Jk mrisho, na watu sasa wameona kuwa kila mtu anaweza kuwa Rais kumbe ni uongo tunajidanganya wenyewe na tuombe Mungu aje atupe Rais mzuri ambaye hatorudia madudu kama ya Rais wa awamu hii.

FEAR NOT
 
Hebu watanzania tuwe tu wakweli, msema ukweli mpenzi wa Mungu. Mchangiaji kasema 'atakayeendeleza na kudumisha amani', hivi kweli kuna amani tanzania?!

Au tuseme kuogopa kupelekwa mabwe pande au kufukuzwa kazi na kuzushiwa skendo/kubambikwa kesi, kufungwa bila hatia kupokonywa haki, mali yakiwepo mashamba na viwanja n.k n.k ndio amani?

Kwa hiyo sasa tunalazimishwa kwamba amani inadumishwa?. Tunawaombea kwa Mungu wote wanaofikiri kwamba kuwatesa wenza wasio na njia ya kujitetea kupata haki ndio amani.
 
Hebu watanzania tuwe tu wakweli, msema ukweli mpenzi wa Mungu. Mchangiaji kasema 'atakayeendeleza na kudumisha amani', hivi kweli kuna amani tanzania?!

Au tuseme kuogopa kupelekwa mabwe pande au kufukuzwa kazi na kuzushiwa skendo/kubambikwa kesi, kufungwa bila hatia kupokonywa haki, mali yakiwepo mashamba na viwanja n.k n.k ndio amani?

Kwa hiyo sasa tunalazimishwa kwamba amani inadumishwa?. Tunawaombea kwa Mungu wote wanaofikiri kwamba kuwatesa wenza wasio na njia ya kujitetea kupata haki ndio amani.
kwa nini unataka kusema nchi hii haina amani? Umeishawahi kuonja vurugu? Mimi mara kadhaa nimeshuhudia hasira ya wananchi na mara zote nimenusurika kufa na hata siku moja sintokuwa tayari kuona amani, upendo na mshikamano wa kitaifa tulionao unaingia majaribuni! Mara ya mwisho nilishuhudia polisi wakikimbizwa kwa mawe na wachimabji wadogo wadogo kule jimboni kwangu Nzega na wao wakalazimika ili kujitetea wafyatue risasi za moto angani (japokuwa hazikuweza kuwazuia wananchi wale!) na haikuwa scene nzuri hata kidogo! Ukiona hatuna amani kwa sasa basi ujue haujawahi kuona vurugu!
 
Unayejiita mchambuzi hueleweki, unaonekana ni mtu wa mguu ndani-mguu nje. You are full of rhetoric stories ambazo unataka uwafurahishe ccm na wakati huo huo uwafurahishe cdm. Kifupi umejichanganya tu.
 
Unayejiita mchambuzi hueleweki, unaonekana ni mtu wa mguu ndani-mguu nje. You are full of rhetoric stories ambazo unataka uwafurahishe ccm na wakati huo huo uwafurahishe cdm. Kifupi umejichanganya tu.

Ili tuwe na mjadala mzuri zaidi, ningependa kujua: Je wewe ni CCM (kama ndio, nimekufurahisha na lipi?) au wewe ni CDM (kama ndio, nimekufurahisha na lipi?); avoid to speak for other people, speak for yourself in regards to my views about the issue at hand. Nadhani pia you don't believe in constructive criticisms, lakini muhimu zaidi ni kwamba katika debates za siasa za nchi yetu, kuna dalili kwamba umezoea maoni ambayo yapo distorted by emotion or personal bias (ushabiki badala ya mantiki). Otherwise my analysis is solely based on observation of the phenomenon i.e. uwepo wa makundi ya CCM tukielekea 2015. Ningependa kusikia majibu yako kwa maswali yangu hapo juu ili tujadili mada husika kwa mapana zaidi. Vinginevyo wewe kusema my views are full of rhetoric stories, it implies - loud, confused and empty talk. Remember: everyone is entitled to his/her own opinion, but not his/her own facts.
 
kwa nini unataka kusema nchi hii haina amani? Umeishawahi kuonja vurugu? Mimi mara kadhaa nimeshuhudia hasira ya wananchi na mara zote nimenusurika kufa na hata siku moja sintokuwa tayari kuona amani, upendo na mshikamano wa kitaifa tulionao unaingia majaribuni! Mara ya mwisho nilishuhudia polisi wakikimbizwa kwa mawe na wachimabji wadogo wadogo kule jimboni kwangu Nzega na wao wakalazimika ili kujitetea wafyatue risasi za moto angani (japokuwa hazikuweza kuwazuia wananchi wale!) na haikuwa scene nzuri hata kidogo! Ukiona hatuna amani kwa sasa basi ujue haujawahi kuona vurugu!

We have peace but not stability. Peace simply means absence of war - hatuna hilo, wala dalili za kwenda huko (especially civil war) hakuna. Lakini mheshimiwa, our situation is very fragile sasa hivi, we as a society we are not stable - economically, politically and socially, na dalili zake ndizo hizo ulizo experience kwenye migodi Nzega. Naungana na wewe kupinga uvunjifu wa amani, lakini such effort is fruitless iwapo viongozi wetu hawafanyi hivyo kwa vitendo, hasa to address the root cause of political, economic and social instability that prevails katika nchi yetu sasahivi.
 
Huyu Kigwangwallah kula za maoni za Ubunge tu zimemshinda, halafu anazungumzia ushawishi wa nafasi ya Urais!

Kushindwa kura za maoni au kushindwa uchaguzi mkuu kiti cha ubunge doesn't mean wewe sio kiongozi mzuri. Sote tunajua variables that determine mafanikio ya mtu kushinda kiti cha ubunge hasa kupitia CCM - some are endogenous but more are exogenous. Vinginevyo ni dhahiri kwamba mtu kama Dr. Kigwangallah, Dr. Ndugulile, kutokuwa angalau kwenye nafasi za unaibu waziri kwenye wizara zinazohitaji mawazo mapya, damu mpya na zenye mashiko ya moja kwa moja na 70% of the population (youth) au pale CCM lumumba kutoa mchango wao kwa chama is a total disgrace. Chiligati, Msekwa wamepitwa na wakati. Mzee angebakia Katibu Mkuu na Mwenyekiti tu. Naongea kama mwana ccm, kwahiyo mtazamo wa wapinzani wa CCM on this may not be as relevant.
 
We have peace but not stability. Peace simply means absence of war - hatuna hilo, wala dalili za kwenda huko (especially civil war) hakuna. Lakini mheshimiwa, our situation is very fragile sasa hivi, we as a society we are not stable - economically, politically and socially, na dalili zake ndizo hizo ulizo experience kwenye migodi Nzega. Naungana na wewe kupinga uvunjifu wa amani, lakini such effort is fruitless iwapo viongozi wetu hawafanyi hivyo kwa vitendo, hasa to address the root cause of political, economic and social instability that prevails katika nchi yetu sasahivi.
To a large extent nakubaliana na wewe
 
kwa nini unataka kusema nchi hii haina amani? Umeishawahi kuonja vurugu? Mimi mara kadhaa nimeshuhudia hasira ya wananchi na mara zote nimenusurika kufa na hata siku moja sintokuwa tayari kuona amani, upendo na mshikamano wa kitaifa tulionao unaingia majaribuni! Mara ya mwisho nilishuhudia polisi wakikimbizwa kwa mawe na wachimabji wadogo wadogo kule jimboni kwangu Nzega na wao wakalazimika ili kujitetea wafyatue risasi za moto angani (japokuwa hazikuweza kuwazuia wananchi wale!) na haikuwa scene nzuri hata kidogo! Ukiona hatuna amani kwa sasa basi ujue haujawahi kuona vurugu!

Ndugu mbunge,
Nasikitika sana unaposema TZ tuna amani wakati ndani ya moyo wako unajua kabisa amani ILISHATOWEKA!
Kweli kabisa pamoja na hayo matukio yote uliyoyaorodhesha na mengine mengi ambayo hujayaorodhesha ila
yalishatokea,bado unasema tuna amani na utulivu??? Kweli?!

Naomba nikueleze kuwa kwa staili hii ya CCM,na kwa staili hii ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kwa
kwa maslahi ya wachache ndani ya CCM yenu...hakika ni suala la muda tu machafuko mabaya kuliko yote ktk
East Africa yatatokea ktk nchi yetu. Najua unajua,ila kwa kuwa wewe ni mbunge huwezi kuusema UKWELI
huu mchungu!

Amani na utulivu pamoja na matukio kama haya;
1.Msafara wa Rais kupigwa mawe
2.Dr Mwakyembe kuundiwa zengwe la ajali na baadaye sumu
3.Wabunge wa Mwanza kupigwa na kuumizwa vibaya mbele ya polisi
4.Vituo kadhaa vya polisi kuchomwa moto baada ya wananchi kukuasirishwa na dhuluma mbalimbali
5.Matatizo ya migodi mikubwa na wachimbaji wadogo (ambayo kivumbi chake ulikishuhudia)
6.Recently matatizo ya madaktari na sakata zima la Dr.Uli na vyombo vya usalama
7.Matatizo ya walimu na madai yao (ambao mara zote ndo waokozi wenu CCM)
8.Dalili zilizoonekana baada ya chaguzi mbalimbali za wabunge 2010 na baadaye kwenye chaguzi ndogo
inaonyesha direct kuwa wananchi wanaweza kusimama kidete "kutetea" kura zao dhidi ya polisi wanao
halalisha wizi wa kura kwa CCM.Rejea Ubungo,Mza,Mby,Arusha nk.
9.Siri kibao zinatoka hovyo hovyo siku hizi,enzi zile utulivu na amani vipo usingesikia siri ikitoka!

Kiujumla viashiria vipo vingi sana ndugu yangu...tena hao polisi wenyewe hawawezi hata kidogo kuhimili,
kumbuka lile sakata la wamachinga wa Mza na polisi ndo utajua hatuna polisi!

Kingine cha ajabu hao hao polisi mnaowategemea hata hamuwajali...kuna mbunge mmoja polisi wa zamani
amejaribu sana kuwatetea wenzake ili ile posho ya lishe ilingane kwa wote ie JWTZ,POLISI na MAGEREZA
lakini cha ajabu Waziri anakataa kwa hoja ya kitoto kabisa! Mbunge alitoa hoja za maana kabisa.

Mambo yapo mengi ndugu yangu yanayoonyesha kuwa sasa HATUNA utulivu wala amani ila tumebaki na
blah blah tu. Na kibaya kuliko vyote ni huyu JK wenu,yaani ni JANGA LA TAIFA!!! Simkashifu ila huo ndio
ukweli pamoja na kuwa unauma. Hata nyie wanasiasa vijana ndani ya CCM mnajua kuwa jamaa ni kilaza
ila mtafanyaje sasa...ndo maana mnaona mjapange ili mtafute mtu makini!

Watu makini kama wewe ndani ya CCM ni wa kuokoteza ndugu yangu na hamthaminiwi kabisa...usishangae
nakuita makini coz nakujua sana toka pale MUCHS enzi zile. Generally TZ kwa sasa tupo pabaya sana!

Hebu angalia hili swala la mifuko ya pensheni,serikali imekopa pesa weee sasa imeona haina jinsi ya kulipa
ndo imeona waje na "sheria" ya ki-PUMBAVU kabisa ktk historia ya dunia. Kweli kabisa hata nyie akina
Hamisi mlishindwa kuing'amua hii kitu mapema kweli mpaka saizi wananchi wamekuja juu ndo mnaanza kuja
na hoja binafsi? Kweli?! Kwa taarifa yenu kwa hili tu wananchi (wafanyakazi) wameshaona kabisa kuwa
CCM na wabunge kwa ujumla hamfai hata kidogo!!!

Ni mengi sana ndugu yangu...ngoja tu niishie hapa.
 
Ndugu mbunge,
Nasikitika sana unaposema TZ tuna amani wakati ndani ya moyo wako unajua kabisa amani ILISHATOWEKA!
Kweli kabisa pamoja na hayo matukio yote uliyoyaorodhesha na mengine mengi ambayo hujayaorodhesha ila
yalishatokea,bado unasema tuna amani na utulivu??? Kweli?!

Naomba nikueleze kuwa kwa staili hii ya CCM,na kwa staili hii ya vyombo vya dola ambavyo vinatumika kwa
kwa maslahi ya wachache ndani ya CCM yenu...hakika ni suala la muda tu machafuko mabaya kuliko yote ktk
East Africa yatatokea ktk nchi yetu. Najua unajua,ila kwa kuwa wewe ni mbunge huwezi kuusema UKWELI
huu mchungu!

Amani na utulivu pamoja na matukio kama haya;
1.Msafara wa Rais kupigwa mawe
2.Dr Mwakyembe kuundiwa zengwe la ajali na baadaye sumu
3.Wabunge wa Mwanza kupigwa na kuumizwa vibaya mbele ya polisi
4.Vituo kadhaa vya polisi kuchomwa moto baada ya wananchi kukuasirishwa na dhuluma mbalimbali
5.Matatizo ya migodi mikubwa na wachimbaji wadogo (ambayo kivumbi chake ulikishuhudia)
6.Recently matatizo ya madaktari na sakata zima la Dr.Uli na vyombo vya usalama
7.Matatizo ya walimu na madai yao (ambao mara zote ndo waokozi wenu CCM)
8.Dalili zilizoonekana baada ya chaguzi mbalimbali za wabunge 2010 na baadaye kwenye chaguzi ndogo
inaonyesha direct kuwa wananchi wanaweza kusimama kidete "kutetea" kura zao dhidi ya polisi wanao
halalisha wizi wa kura kwa CCM.Rejea Ubungo,Mza,Mby,Arusha nk.
9.Siri kibao zinatoka hovyo hovyo siku hizi,enzi zile utulivu na amani vipo usingesikia siri ikitoka!

Kiujumla viashiria vipo vingi sana ndugu yangu...tena hao polisi wenyewe hawawezi hata kidogo kuhimili,
kumbuka lile sakata la wamachinga wa Mza na polisi ndo utajua hatuna polisi!

Kingine cha ajabu hao hao polisi mnaowategemea hata hamuwajali...kuna mbunge mmoja polisi wa zamani
amejaribu sana kuwatetea wenzake ili ile posho ya lishe ilingane kwa wote ie JWTZ,POLISI na MAGEREZA
lakini cha ajabu Waziri anakataa kwa hoja ya kitoto kabisa! Mbunge alitoa hoja za maana kabisa.

Mambo yapo mengi ndugu yangu yanayoonyesha kuwa sasa HATUNA utulivu wala amani ila tumebaki na
blah blah tu. Na kibaya kuliko vyote ni huyu JK wenu,yaani ni JANGA LA TAIFA!!! Simkashifu ila huo ndio
ukweli pamoja na kuwa unauma. Hata nyie wanasiasa vijana ndani ya CCM mnajua kuwa jamaa ni kilaza
ila mtafanyaje sasa...ndo maana mnaona mjapange ili mtafute mtu makini!

Watu makini kama wewe ndani ya CCM ni wa kuokoteza ndugu yangu na hamthaminiwi kabisa...usishangae
nakuita makini coz nakujua sana toka pale MUCHS enzi zile. Generally TZ kwa sasa tupo pabaya sana!

Hebu angalia hili swala la mifuko ya pensheni,serikali imekopa pesa weee sasa imeona haina jinsi ya kulipa
ndo imeona waje na "sheria" ya ki-PUMBAVU kabisa ktk historia ya dunia. Kweli kabisa hata nyie akina
Hamisi mlishindwa kuing'amua hii kitu mapema kweli mpaka saizi wananchi wamekuja juu ndo mnaanza kuja
na hoja binafsi? Kweli?! Kwa taarifa yenu kwa hili tu wananchi (wafanyakazi) wameshaona kabisa kuwa
CCM na wabunge kwa ujumla hamfai hata kidogo!!!

Ni mengi sana ndugu yangu...ngoja tu niishie hapa.

Upo sahihi kabisa mkuu, na hayo uliyoainisha ni matokeo ya sera mbovu za CCM. CCM huwa inasahau kwamba sera ikishauzwa to the electorate it almost becomes kitu kama an insurance policy kwa wapiga kura, when it doesnt deliver, disaster looms. Na mambo kama haya ndio the root cause of instability, vinginevyo kama ni peace i.e the absence of war, tunayo. Lakini peace in unstable state is like a hibernating volcano, one day it will eventually erupt and affect not only wananchi bali pia viongozi wabovu ndani ya CCM na familia zao. Binafsi nadhani bado CCM ina nafasi ya kuokoa taifa katika hili iwapo (among other things), pia nafasi ya urais atapewa mtu anayefikiria out of the box, na nina amini kabisa watu hao wapo, vinginevyo further delays ni kuzidi kupalilia mazingira ya upinzani kujaribiwa na umma uliochoka.

Nazungumza kama mtanzania, hivyo taifa kwanza, siasa baaade!!
 
Upo sahihi kabisa mkuu, na hayo uliyoainisha ni matokeo ya sera mbovu za CCM. CCM huwa inasahau kwamba sera ikishauzwa to the electorate it almost becomes kitu kama an insurance policy kwa wapiga kura, when it doesnt deliver, disaster looms. Na mambo kama haya ndio the root cause of instability, vinginevyo kama ni peace i.e the absence of war, tunayo. Lakini peace in unstable state is like a hibernating volcano, one day it will eventually erupt and affect not only wananchi bali pia viongozi wabovu ndani ya CCM na familia zao. Binafsi nadhani bado CCM ina nafasi ya kuokoa taifa katika hili iwapo (among other things), pia nafasi ya urais atapewa mtu anayefikiria out of the box, na nina amini kabisa watu hao wapo, vinginevyo further delays ni kuzidi kupalilia mazingira ya upinzani kujaribiwa na umma uliochoka.

Nazungumza kama mtanzania, hivyo taifa kwanza, siasa baaade!!

Ndugu,
Kwa muono wangu hata hiyo unayoiita PEACE (absence of war) naona it is a matter of time b4 something extremely bad occurs. Na kwa TZ watu (na hasa viongozi wa CCM) wanafikiri kuwa vita ni ya dini au kabila tu,wanasahau kuwa
inaweza kutokea civil war btn "walio nacho" na "wasio nacho" ....and guess what? Wasio nacho ndo watakaoshinda coz ni wengi alafu hawana cha kupoteza ...namaanisha wanaweza kufikia hata hatua ya kujitoa muhanga (which is very bad).

Vilevile zinaweza kutokea aina fulani za hujuma. Mfano hayo majengo ambayo yamejengwa kwa hela za mifuko ya
pensheni yanaweza kulipuliwa tu kwa hasira za wafanyakazi ambao wanahisi kudhulumiwa haki zao kwa kuambiwa
wasubiri mpaka 55yrs. Hivi kweli TZ tuna ulinzi wa kutosha ktk haya majengo? Gari zinazoingia kupaki ktk haya majengo zinakaguliwa ipasavyo? Mipaka yetu ipoje endapo kundi la vijana (au hata wazee) wakiamua kuingiza silaha
hasa milipuko ili wafanye hujuma. Au kama wakiamua kuitengenezea humuhumu ndani?

Kwa jinsi mambo yalivyo kwa sasa,tusiendelee kujidanganya (au kudanganywa) kuwa tuna AMANI hata kidogo!
Msinishangae sana,am just thinking aloud. Huruma yangu na wasi wasi wangu ni kwa hao viongozi coz wapo gizani
kabisa...yaani hata Usalama Wa Taifa walishindwa kweli kufanya simple research kuwa jamii na hasa wafanyakazi na
watu wanaowategemea watalichukuliaje hili la kuwanyima mafao? Do they know the negative impact associated
with it???

Ogopa sana mtu aliyekata tamaa! Tena ukute ameshajihisi sasa maeathirika na VVU ndo kabisaa...plizi mliopo karibu
na hawa viongozi ambao wapo karibu na hao "wakubwa" waambieni wayafikirie haya mambo beyond hizo sababu zao
za ki-PUUZI!!!

My friends,SOMETHING VERY BAD IS KNOCKING AT OUR DOOR AS A NATION...we better take actions now otherwise we are finished!!!
 
Back
Top Bottom