Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,931
- 31,173
Wachagga wapo wengi sana zomba ngoja ni kumwagie list.
[1] Anthony G Mbassa huyu ni mchagga wa Biharamulo magharibi
[2] Prof Kulikoyela Kahigi huyu ni mchagga wa Bukombe Shinyanga
[3] Simon Peter Msigwa huyu ni mchagga wa Iringa Mjini
[4] Yohana Natse huyu ni mchagga wa Karatu
[5] Halima Mdee huyu ni mchagga wa Kawe Dar
[6] Zitto Z kabwe huyu ni mchagga wa Kigoma kaskazini
[7] John Shibuda huyu ni mchagga wa Maswa mashariki
[8] Joseph Mbilinyi huyu ni mchagga wa Mbeya mjini
[9] David Silinde huyu ni mchagga wa Mbozi magharibi Mbeya
[10] Mustafa Akonnay huyu ni mchagga wa Mbulu
[11] Meshack Opulukwa huyu ni mchagga wa Meatu Shinyanga
[12] Said Arf Amour huyu ni mchagga wa Mpanda Rukwa
[13] Vicent Kiboko Nyerere huyu ni mchagga wa Musoma mjini
[14] Ezekia Wenje huyu ni mchagga wa Nyamagana Mwanza
[15] Tundu Lissu huyu ni mchagga wa Singida Mashariki
[16] John Mnyika huyu ni mchagga wa Ubungo Dar
[17] Salvatory Machemuli huyu ni mchagga wa Ukerewe........
Mkuu zomba kama wachagga wameenea kila pembe ya Tanganyika ni kwanini wasishike dola haa ha ha ha wanchekesha!!!!!!.
[1] Anthony G Mbassa huyu ni mchagga wa Biharamulo magharibi
[2] Prof Kulikoyela Kahigi huyu ni mchagga wa Bukombe Shinyanga
[3] Simon Peter Msigwa huyu ni mchagga wa Iringa Mjini
[4] Yohana Natse huyu ni mchagga wa Karatu
[5] Halima Mdee huyu ni mchagga wa Kawe Dar
[6] Zitto Z kabwe huyu ni mchagga wa Kigoma kaskazini
[7] John Shibuda huyu ni mchagga wa Maswa mashariki
[8] Joseph Mbilinyi huyu ni mchagga wa Mbeya mjini
[9] David Silinde huyu ni mchagga wa Mbozi magharibi Mbeya
[10] Mustafa Akonnay huyu ni mchagga wa Mbulu
[11] Meshack Opulukwa huyu ni mchagga wa Meatu Shinyanga
[12] Said Arf Amour huyu ni mchagga wa Mpanda Rukwa
[13] Vicent Kiboko Nyerere huyu ni mchagga wa Musoma mjini
[14] Ezekia Wenje huyu ni mchagga wa Nyamagana Mwanza
[15] Tundu Lissu huyu ni mchagga wa Singida Mashariki
[16] John Mnyika huyu ni mchagga wa Ubungo Dar
[17] Salvatory Machemuli huyu ni mchagga wa Ukerewe........
Mkuu zomba kama wachagga wameenea kila pembe ya Tanganyika ni kwanini wasishike dola haa ha ha ha wanchekesha!!!!!!.
Hivi chadema itashinda kwa kura za kina nani? wachagga? wako wangapi nchi hii?