- Thread starter
- #141
Afrika ya chatoAfrica ipi?
Afrika ya chatoAfrica ipi?
Nani kapigwa leo?Amekucha siku mbaya ya mechi
Africafe coffeeAfrica ipi?
Hahahahahah kwa sababu imehutubiwa na chief wa kike 😅Yaani watu nao kwa kutaka kukuza mambo!!sasa kuna kitu gani cha ajabu kwenye ile hotuba hadi mtu anasema ni ya ki historia?na anatakiwa kupongezwa!!!na kupokelewa
Alihutubia Covid tupu. Wapi aliwakilisha mawazo ya watz kimataifa??Hahahahahah kwa sababu imehutubiwa na chief wa kike 😅
Kumbe alikuwa anazungumzia CovidAlihutubia Covid tupu. Wapi aliwakilisha mawazo ya watz kimataifa??
Hata kwenye msiba wake watu walisombwa na matela kama unavyodai?!!Kuna matela yalionekana yakibeba watu kutoka Kigamboni, tmk, Chamanzi , kisalawe na hadi Kibaha
Ndivyo ilivyokuwa zile promo zilikuwa forced. Maiti ilitembezwa nchi nzima sijui walitaka kuprove nini. Wajinga wangine walienda kujazana huku wamekokota watoto wakafia kwenye msongamanoHata kwenye msiba wake watu walisombwa na matela kama unavyodai?!!
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Mjinga ni wewe usiyetaka kuamini kuwa Jpm alikuwa kipenzi Cha watanzania, ule msiba ulikuwa ni ushahidi tosha.Ndivyo ilivyokuwa zile promo zilikuwa forced. Maiti ilitembezwa nchi nzima sijui walitaka kuprove nini. Wajinga wangine walienda kujazana huku wamekokota watoto wakafia kwenye msongamano
Je kama angekuwa na mkutano wa faraga na Biden, si tungeambiwa tukalale uwanja wa ndege!!sasa JINSI, ndio imekuwa inshu kila kitu mama !!utadhania ndio wa kwanza duniani, na ndio amekuja kumaliza matatizo yetu ya zaidi ya nusu karne!!Hahahahahah kwa sababu imehutubiwa na chief wa kike 😅
Hahaa mbona unakasirikaMjinga ni wewe usiyetaka kuamini kuwa Jpm alikuwa kipenzi Cha watanzania, ule msiba ulikuwa ni ushahidi tosha.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Wewe kumekuongezea ubora wa maishaKumchukia kwenu raisi Samia,hakusaidii kupunguza shida zenu za maisha.
Lengo ni nini mchambuzi wa nyuziukisoma vizuri huu uzi kati kati utajua lengo lilikua ni nini...
Mabeberu walimtuma akazungumzie Corona tuTokea yalipo elezwa ya kua anakwenda kuandika historia kwa kuhutubia baraza la umoja wa matiafa nikajaribu kurudia ya mkoa Kikwete na mwalimu nyerere walipokua wakifanya kitu kama hicho kwa kweli sijaona jipya au cha muhimu kuzidi walio mtangulia, na pengine walio mtangulia walikua Bora, mathalani hotuba ya Kikwete wakati fulani baraza la 66 ile hotuba ilikua bora kuliko, nadhani ilikua ya 2011, huko alielezea kuhusu Tanzania na nchi jirani na Tanzania na hata Afrika kwa ujumla.mengi aliyaongelea yaliokuwa yanavuta attention kuendelea kusikiliza tena.
Huyu wa kwetu zaidi ya promo kwa kweli na ujinga wangu kwenye mambo hayo sijaona la mno!
Kwanza hebu eleza unaposema watu was Mikoani hatukumwona Chifu Hangai au kumsikiliza akiwa UN unamaanishaa Nini!Sote ni mashahidi tangu juzi kuna kakikundi ambako sidhani kama ni watanzania kweli au wachumia tumbo tu wanaolipwa kushibisha nafsi zao au la!
Tangu juzi tumeshuhudua kukurukakara za hapa na pale za kutaka kuaminisha watanzania wachache kuwa Rais Samia Suluhu alitoa hotuba ya kihistoria. Ile ni hotuba ya kawaida sana.
Kwanza niwajulishe tu walioona na kusoma hotuba ya Rais ni watanzania wachache tena wanasiasa ambao wana access ya Mitandao ya kijamii. Huko vijijini na mikoani wala hawama habari na kinachoendelea. Wengi ktk mikoa ya kanda ya ziwa na magharibi hiki ni kipindi cha kuandaa mashamba ya kilimo ktk msimu wa mvua ujao.
Hata hivyo kumekuwa na jitihada za kutaka kulikuza jambo hili kwa kile kilichoandaliwa kama mapokezi ya Rais kutoka Marekani.
Mbali na vijitangazo vidogo vidogo sijaona tukio lolote mahali popote likishangiliwa na watanzania. Sijaona Tv wala mtandao wa social media hata ule wa vijigazeti la chama.
Watanzania wamesusa. Wamesusa kwa sababu hawafurahishwi na kinachoendelea nchini
Matukio ya kubambikiza watu kesi za ugaidi yamewachukiza sana watanzania wapenda amani, haki na maendeleo. Watanzania wamekatishwa tamaa na namna nchi inavyoendeshwa kupitia Tozo na kodi lufufu.
Watanzania hawawezi kufurahia tukio la Mtu na kikundi cha watu wachache kwenda marekani huku wakiacha uvunjifu mkubwa wa haki za kikatiba kama uhuru wa vyombo vya habari, haki za kukusanyika na kufanya shughuli za kisiasa na uchumi.
Nimuombe Mama Rais Samia Suluhu hajachelewa. Arekebishe mienendo yake ya utawala. Ajikite kulinda haki za wananchi makundi yote wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, watumishi wa umma na wanasiasa.
Akifanya hivyo hatahitaji nguvu kubwa kusherehesha watanzania. Wakiwa na Furaha watampokea mgeni bila kutumwa.
Si Whatsapp, twitter, facebook, youtube wala instagram huoni shamra shamra. Wikendi imepoa sana kama hakuna kitu.
😅😅😅Kwan
Kwanza hebu eleza unaposema watu was Mikoani hatukumwona Chifu Hangai au kumsikiliza akiwa UN unamaanishaa Nini!
Yaani hotuba muione na muisikilize nyie Waswahili wa Tandale,Manzese ,Mburahaati,Kigogo, ..kwa Kopa,Mnyamani, nk afu itushinde was Mikoani acha dharau bro mnacotuzidi Dar n Mwendokasi,ulaji wa Miguu ya kuku ...Kiel3imu tumewazidi.mbali sanaaana!
Hii u- turn uliyopiga sio ya karne hii! Hata wewe mwanamke mwenzako unamsagia kunguni? Naamini Sasa kuwa sisiemu kwisha habari yake!Apokelewe kwani ni Mgeni au hajui anapoenda?. Wazee wetu walimchangia Nyerere alipoenda kuhutubia huko mambele na Dunia ikatisika SASA huyu kubwa aliyofanya ni kupiga picha na Mange.