Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Heri ya pasaka kwenu wanajamii forum mkumbuke kunawa mikono na kununua bia kunyea ndani. leo sitaki kabisa stress za siasa.
Mie nishachefukwa na kina Kimiti..heri nawe pia mkuu
Heri ya pasaka kwenu wanajamii forum mkumbuke kunawa mikono na kununua bia kunyea ndani. leo sitaki kabisa stress za siasa.
Kangi Lugola atapandishwa kizimbani soon!
Kwani sasa kuna anayengojea?Sokoine angengojea muda wote huo?
Sokoine hakujilimbikizia mali. Mali zake karibia zote zilikuwa za urithi. Aliamini sana usawa!
Alipewa zawadi!Kimiti kwny soo la Rugemarila yupo alipokea mpunga wa Escrow kiroho safi,acha aendelee kujipendekeza kwa sana tu ili wasifukue kaburi lake.
Kwani sasa kuna anayengojea?
Taratibu za kisheria lazima zifuatwe!
Haya maswali yanawahusu zaidi watu wa mahakama!Taratibu gani hizo? Mbona wapinzani na wale anaowachukia huwa hawangoji hizo taratibu? Akina Rugemalira, Kitilya nk wako ndani mpaka leo, mara uchunguzi haujakamilika sijui na uhuni gani, kwanini wasisubiri hizo taratibu za kisheria?
Kama aliyopewa Ngeleja lkn mwishowe Ngeleja akairudisha zawadi hio.Alipewa zawadi!
Milion 70 za ESCROW alirudisha?Mzee Paul Kimiti ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali nchini ikiwemo ubunge, ukuu wa mkoa na uwaziri kuanzia enzi za mwalimu Nyerere amemmwagia sifa za kutosha Rais Magufuli.
Mzee Kimiti anasema katika kupambana na wahujumu wa uchumi wa taifa letu Dr Magufuli anafanana sana na aliyekuwa Waziri mkuu awamu ya kwanza Edward Sokoine.
Sokoine hakumuogopa yoyote wala kumuonea aibu au kumpendelea yoyote na ndivyo alivyo Rais wetu mpendwa Dr Magufuli, amesisitiza.
Chanzo: Magazetini.
Maendeleo hayana vyama!
Mzee Paul Kimiti ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali nchini ikiwemo ubunge, ukuu wa mkoa na uwaziri kuanzia enzi za mwalimu Nyerere amemmwagia sifa za kutosha Rais Magufuli.
Mzee Kimiti anasema katika kupambana na wahujumu wa uchumi wa taifa letu Dr Magufuli anafanana sana na aliyekuwa Waziri mkuu awamu ya kwanza Edward Sokoine.
Sokoine hakumuogopa yoyote wala kumuonea aibu au kumpendelea yoyote na ndivyo alivyo Rais wetu mpendwa Dr Magufuli, amesisitiza.
Chanzo: Magazetini.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona gari anaendesha na pale Kanisani ndiye mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi?!Kwa umri alionao Kimiti sasa ni senile. Siamini kuwa ana legal capacity ya kuingia mkataba na mtu yeyote halafu ukawa halali.
In short: hajui alisemalo sasa hivi.
Haya maswali yanawahusu zaidi watu wa mahakama!
Kwani Kibatala ni kada wa CCM?Mahakama au Makada wa ccm wanaofanya kazi mahakamani?
Nccr siyo chama cha wanasiasa bali ni kikundi cha wanaharakati!Nccr Mageuzi ndiyo mbadala wa CCM
Tofautisha utajiri halali ambao mtu ameupata bila ya kuhujumu uchumi. Hata enzi za Marehemu sokoine palikuwepo matajiri wengi tu. Hoja ya msingi ni kudhibiti wahujumu uchumi,kama wakwepa kodi,watengeneza bidhaa za magendo n.k.Labda awafananishe kwa kutopenda watu wafanikiwe, maana wote Wana chuki na matajiri uwatamani kuwashusha chini, maana hata sokoine aliwachukia matajiri
Ishu ya akina Kangi Lugola ishu ipo kwa Dpp nafikiri ni vyema sasa ukasubiri achambue nani anahusika au nani hausiki alafu afungue kesi. Usihukikumu mtu kabla suala halijaenda mahakamani.Muulize Mzee Kimiti atuambie Kange Lugola amefungwa jela gani kwa kuhujumu uchumi. Mzee Kimiti ajitahidi kutenganisha wapambanaji na wahujumu uchumi, na watu wenye madaraka wenye chuki binafsi na wanaokomoa watu wasiowapenda kwa kisingizio cha kupambans na wahujumu uchumi. Kisha mwambie mzee Kimiti CAG haruhusiwi kukagua ujenzi wa SGR, SG na ununuzi wa ndege, ili asimchanganye Sokoine na walevu wa madaraka.