Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
- Thread starter
- #21
SIO kweli hakuna msamiati hata mmoja unaofanana na huo niliokutana nao chuoni kwangu. Nachojua kibuti ni msichana kukukataa, tuliutumia shule moja ya kanisa pale Morogoro kwa hiyo bwana udhaifu wa walio wengi haimaanishi wote wamepita njia hiyo, tatizo la mavyuo yenu sio la vyote. Mlisoma the so called big/famous universities basi ndio hayo mnayofanya, lecture watu mko 200 mitihani mnawekwa Nkrumah kwanini watu wasiingie na madesa, lakini kozi mitu zipo 15 wapi na wapi, utachomolea wapi hilo desa lako???
mbogela kweli umesoma nje
"KIBUTI" DESA" NK HIVI NI MOTO WA MA PROF BONGO....
ukikutwa na kibuti kwenye mtihani noma,..