Afadhali mmezungumzia kuwa kwa sasa ni tatizo la kidunia si nyumbani tu. Nimeona nje watu wanadesa na sijasimuliwa, weupe na rangi zao. Kudesa kunategemea kozi na instructor na mara nyingi KUDESA NI TATIZO LA MWALIMU SIO MWANAFUNZI!
How to make sure you student will not desa
1. Epuka repeatation ya maswali(past papers), na kama unaona hutaweza kutunga maswali mapya basi hakikisha kila mtihani unaoutoa mwanafunzi hatoki na mswali, hii inaepuka kurithishana maswali
2. Broad their mind, usina- narrow kwenye notes zako pekee au kufanya materia yako ndiyo final, this will make student not to guee where question are coming from, then hataweza kuingia na madesa.
This is my view how to remedy the problem:
3. Tunga mswali ya kufikiria zaidi na siyo direct question-direct answer!
4. Make student to like your subject, most of the time there is a poor relations btn instructor and student, threats, na hofu ya kufeli, teaching student to fail results into defence
5. Assignments are the major means ya kumfanya mwanafunzi aelewe kozi, make sure you put you are effort kwenye assignments na hii itakwepesha wanafunzi kuzima moto, make sure unawabana kwenye assignemt hata kurudia warudie, let them present by writing, oral, gropu work, projects of different title etc.
6. Kwepa concept ya 'impart' rather than encourage discussion, through discussion you may know their wekness, viewe and is another way of evaluating them whether they understand what you teach.
I believe most of the time ni matatizo ya walimu ,kuwa wanafunzi kudesa kozi zao.
The students have their part, lakini kwa level za chuo instructor ana uwezo wa kwadhibiti, wawe wamezoea hivyo au issue za employment na nature ya ajira zetu ina encourage watu wawe na vyeti vizuri!