Kudesa tatizo sugu vyuo vikuu vyote!!!

SIO kweli hakuna msamiati hata mmoja unaofanana na huo niliokutana nao chuoni kwangu. Nachojua kibuti ni msichana kukukataa, tuliutumia shule moja ya kanisa pale Morogoro kwa hiyo bwana udhaifu wa walio wengi haimaanishi wote wamepita njia hiyo, tatizo la mavyuo yenu sio la vyote. Mlisoma the so called big/famous universities basi ndio hayo mnayofanya, lecture watu mko 200 mitihani mnawekwa Nkrumah kwanini watu wasiingie na madesa, lakini kozi mitu zipo 15 wapi na wapi, utachomolea wapi hilo desa lako???

mbogela kweli umesoma nje

"KIBUTI" DESA" NK HIVI NI MOTO WA MA PROF BONGO....
ukikutwa na kibuti kwenye mtihani noma,..
 
Desa kama hii huh!!

examsn.jpg
 
sio kweli hakuna msamiati hata mmoja unaofanana na huo niliokutana nao chuoni kwangu. Nachojua kibuti ni msichana kukukataa, tuliutumia shule moja ya kanisa pale morogoro kwa hiyo bwana udhaifu wa walio wengi haimaanishi wote wamepita njia hiyo, tatizo la mavyuo yenu sio la vyote. Mlisoma the so called big/famous universities basi ndio hayo mnayofanya, lecture watu mko 200 mitihani mnawekwa nkrumah kwanini watu wasiingie na madesa, lakini kozi mitu zipo 15 wapi na wapi, utachomolea wapi hilo desa lako???

mbogela

nimrfanya mtihani sina wiki 2 tcaa na wazungu 10 pilots wabongo 2,..kati yetu mmoja anajuana na mzungu akaombwa akae na mzungu nikaaka alone ilikuwa kituko..wazungu wanaulizaana kama awana akili nzuri ,mbongo akaanza kusumbuliwa ,..awasaidie....walikzoe maswali 100 wakakutaana na 200 we!!! Na tulikuwa 12,sasa unavyoniambia wakiwa wachache wata desa wapi...ngumu kukuelewa!!!ngozi nyeusi hatari tena mi uko nje masomo yake na uhakika mbongo anaefeli aanatakiwa kurudi kabisa@!!!!mitihani ya udsm/na vyuo vingine uwezi linganisha na wakina makerere,na vinginevyo uko nje lengo la tanzania mtu aelewe akajue nini anachoenda kufanya mbele ya safari lakini nje wanakusaidia umalize haraka lini wainginze wengine!!!awataki biashara ya kurudia,ama wamekufelisha wafikirie jinsi ya kumpata mwanafunzi mweingine hiyo awataki....ukifeli nje kauze matope tope kabisa
 
mfumo wa elimu hauko sawa lengo la walimu kuwakamata wanafunzi sasa lazima wapambane wafaulu
 
mfumo wa elimu hauko sawa lengo la walimu kuwakamata wanafunzi sasa lazima wapambane wafaulu

sasa watambana na wanafunzi mpaka lini jamani???
majuzi katoto kamekimbilia tbc,..sasa na huko juu waanze kuwakimbia kisa kukamatwa???
mmmh
Elloi elloi nama sabakitani
 
Afadhali mmezungumzia kuwa kwa sasa ni tatizo la kidunia si nyumbani tu. Nimeona nje watu wanadesa na sijasimuliwa, weupe na rangi zao. Kudesa kunategemea kozi na instructor na mara nyingi KUDESA NI TATIZO LA MWALIMU SIO MWANAFUNZI!

How to make sure you student will not desa

1. Epuka repeatation ya maswali(past papers), na kama unaona hutaweza kutunga maswali mapya basi hakikisha kila mtihani unaoutoa mwanafunzi hatoki na mswali, hii inaepuka kurithishana maswali

2. Broad their mind, usina- narrow kwenye notes zako pekee au kufanya materia yako ndiyo final, this will make student not to guee where question are coming from, then hataweza kuingia na madesa.

This is my view how to remedy the problem:

3. Tunga mswali ya kufikiria zaidi na siyo direct question-direct answer!

4. Make student to like your subject, most of the time there is a poor relations btn instructor and student, threats, na hofu ya kufeli, teaching student to fail results into defence

5. Assignments are the major means ya kumfanya mwanafunzi aelewe kozi, make sure you put you are effort kwenye assignments na hii itakwepesha wanafunzi kuzima moto, make sure unawabana kwenye assignemt hata kurudia warudie, let them present by writing, oral, gropu work, projects of different title etc.

6. Kwepa concept ya 'impart' rather than encourage discussion, through discussion you may know their wekness, viewe and is another way of evaluating them whether they understand what you teach.



I believe most of the time ni matatizo ya walimu ,kuwa wanafunzi kudesa kozi zao.

The students have their part, lakini kwa level za chuo instructor ana uwezo wa kwadhibiti, wawe wamezoea hivyo au issue za employment na nature ya ajira zetu ina encourage watu wawe na vyeti vizuri!

Mkuu nakubaliana na wewe kwenye hizo solns, vipi kuhusu oral exams haswa kwenye masomo yanayohitaji kujielezea zaidi? Mi nadhani hiyo pia ingesaidia sana.
 
Kwa wote waliosoma Tz swala la kudesa ni jambo ambalo si msamiati asilani..hata hawa maDr na Pro wengine walikuwa wadesaji wazuri kuna mazingira yanayochangia kumfanya mtu kudesa nakumbuka kuna hizi paper za Open Book Exams au Kwenye Exam mtu unaruhusiwa kuwa na formula sheet hapo ndo panakuwa balaa version za formula sheet zinakuwa zakutosha tu, Kuna mengi yakuzungumzwa kwa waliosoma UDSM..Kuitwa kipanga au kilaza ni matokeo tu ya kutumia desa vyema/vibaya.....
 
Duh wapi huko wanapoiita kila baada ya mwezi..sie mpaka Ijumaa kuu ndo tunaisikia kauli hiyo nakupiga magoti kusujudu kwa kumbukumbu ya Kifo cha Mkombozi wa kizazi hiki cha Nyoka
 
Tatizo linaweza likawa ni hao wahadhiri wenyewe. Unakuta mwalimu anataka amtihani wake ujibiwe kwa maneno aliyotumia kwenye pamphlets/ handout yake. Ukieleza issue kwa maneno yako umeliwa. Hivyo wanafunzi wanalazimika kukariri badala ya kuelewa, kwa wale wanaoshindwa kukariri inabidi wajikoki na hizo mnazoziita desa
 
iko nje ya Tz

no comments!!!!

Vyuo vikuu vya Japan na korea kusini navyo viko ndani ya Tanzania? Mbona wanadesa!!!

Well, hili ni tatizo lakini si tatizo kubwa kwa maana kuwa mitihani isiwe na lengo la kuwafanya wanafunzi kumemorize ila iwe na lengo la kuwafanya wanafunzi waelewe matatizo na namna ya kuyatatua. innovation ndo inatakiwa hivyo kudesa ni muhimu ili ujue wenzako wamefanya nini na wapi wamekwama ili nawe uweke mchango wako. Desa.. desa vijana msiogope..... Ninamaliza Ph.D yangu sasa hivi ya Geotechnical Engineering ----- wanafunzi wangu ni ruksa kudesa ila uwe na wazo mbadala la kuondoa tatizo ndani ya mchango wa desa lako. Karibuni wanafunzi mnaotaka kudesa niwafunishe chuoni kwangu!!
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwenye hizo solns, vipi kuhusu oral exams haswa kwenye masomo yanayohitaji kujielezea zaidi? Mi nadhani hiyo pia ingesaidia sana.

Kweli, oral exams is one of the nice solutions ya kuzuia kudesa, inategemea na kozi.
 
Duh wapi huko wanapoiita kila baada ya mwezi..sie mpaka Ijumaa kuu ndo tunaisikia kauli hiyo nakupiga magoti kusujudu kwa kumbukumbu ya Kifo cha Mkombozi wa kizazi hiki cha Nyoka



vyuoni!!!wanalia kila siku wakati wa mtihani
 
Afadhali mmezungumzia kuwa kwa sasa ni tatizo la kidunia si nyumbani tu. Nimeona nje watu wanadesa na sijasimuliwa, weupe na rangi zao. Kudesa kunategemea kozi na instructor na mara nyingi KUDESA NI TATIZO LA MWALIMU SIO MWANAFUNZI!

How to make sure you student will not desa

1. Epuka repeatation ya maswali(past papers), na kama unaona hutaweza kutunga maswali mapya basi hakikisha kila mtihani unaoutoa mwanafunzi hatoki na mswali, hii inaepuka kurithishana maswali

2. Broad their mind, usina- narrow kwenye notes zako pekee au kufanya materia yako ndiyo final, this will make student not to guee where question are coming from, then hataweza kuingia na madesa.

This is my view how to remedy the problem:

3. Tunga mswali ya kufikiria zaidi na siyo direct question-direct answer!

4. Make student to like your subject, most of the time there is a poor relations btn instructor and student, threats, na hofu ya kufeli, teaching student to fail results into defence

5. Assignments are the major means ya kumfanya mwanafunzi aelewe kozi, make sure you put you are effort kwenye assignments na hii itakwepesha wanafunzi kuzima moto, make sure unawabana kwenye assignemt hata kurudia warudie, let them present by writing, oral, gropu work, projects of different title etc.

6. Kwepa concept ya 'impart' rather than encourage discussion, through discussion you may know their wekness, viewe and is another way of evaluating them whether they understand what you teach.



I believe most of the time ni matatizo ya walimu ,kuwa wanafunzi kudesa kozi zao.

The students have their part, lakini kwa level za chuo instructor ana uwezo wa kwadhibiti, wawe wamezoea hivyo au issue za employment na nature ya ajira zetu ina encourage watu wawe na vyeti vizuri!

- Nakubaliana na Waberoya. Vile vile kuna wakati mwingine waalimu/wahadhiri hutoa muda mrefu wa kufanya maswali machache ya mtihani bila sababu. Kuna mitihani mingine utauona hauhitaji zaidi ya saa mbili kuufanya lakini utakuta unatakiwa kufanywa kwa saa tatu au zaidi. Pia hii hutoa mwanya kwa wadesaji.
 
Well said "Good organisation will employ smart people" Not every employer will look into how many degrees unazo ili akupe kazi wengi wanaenda na work experience,skills, smartness,language(English) etc.
Sio vyuo vya bongo tu hata vya Europa watu wanadesa sijui kudesi ukiambiwa mtu ana masters unajiuliza mbona ni mjinga mjinga tu ameipataje hiyo masters kwani mtu mwenyewe si smart kwa lolote. Thinking capacity ndogo, low common sense,Lugha za wenyewe tatizo hahahhaha elimu ya siku hizi kazi kweli kweli.

Hilo ndo moja kati ya matatizo makubwa yanayopelekea kudesa desa, mtu anachowaza ni kumaliza shule ili akaajiriwe, walio wengi at Masters level wana ajira zao anachojua ni kwamba akionyesha cheti tu basi ametoka, hilo ni tatizo kubwa sana ndo maana wanafunzi wengi ufanya kila mbinu kuhakikisha kuwa wanapata vyeti kwa njia yoyote ili wapate kazi, Na hasa wale wenye wajomba ndo kabisaaaa.
Walimu wengi ni wavivu, wanapenda kutumia material hayo hayo kila mwaka,maswali hayohayo, Kwenye Assignments, Tests mara nyingine hata kwenye UE.Matokeo yake Hakuna Jipya, Ukiingia MBA yako pale UDBS, Unatafuta mtu aliyekutangulia anakupa madesa yake basi mambo yameisha, hivyo hivyo hata pale Mzumbe Dsm Business school the same Applies.
 
Wanao desa siku zote ni wale wanaopenda kujirusha wakiwa chuoni, ikifika wakati wa exams, they want to show they r smart too.
 
Back
Top Bottom