Aisee..... kumbe ukipiga fix afu wakatabasamu wanakuwa wanajua umewafix ila wanakuwa hawana jinsi... ngastuka!!
AU kwa kuwa wanajua hata wakijua unawafix hawana jeuri ya kukuzuia lol
Sasa hivi mwendo ni kusema kuna mechi ya John Cena vs Rafael Nadal