Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,839
- Thread starter
- #21
You are damn smart... wengine tulishakurupuka na kujiaminisha huyu moskwito anaposema kudanganya alimaanisha cheating a.k.a infidelity.
Waweza kuta anamaanisha ule uongo wa "uko wapi" weye wajibu uko Shamba Mapinga kumbe uko Mbagala unakata kiu Dar Live.
.....kamanda, uongo si ndio kudanganya? ...hapa sizungumzii cheating,......nazungumzia uongo wa kudanganywa kama LD alivyogusia wimbo wa "nidanganye danganye tu!"...
.....mfano kama huo wa "upo wapi wewe" anakujibu yupo Mapinga wakati yupo Bar....kumbe nawe umekaa 'a few feet away' unamuangalia.