Kudanganya......

uongo mtamu ....
uongo unapunguza uchungu .....

....unapodanganywa kwa maneno ya "Uongo" pia unaupunguza uchungu?:what:

Naamini wengi wetu twavumilia kudanganywa kwa maneno yanayofanana na "ukweli" pekee..
 
Na ukiwa muongo lazima uwe na kumbukumbu la sivyo utajuuta kudanganya..
Nakumbuka kuna kasheshe moja ilitokea ..Katika kujitetea nikadanganya...
Siku kadhaa zikawa zimepita nikiwa naongea na mhusika nikajikuta nimetamka ile issue niliyokataa
Nilipobanwa eeh mama ikawaje wakati wewe ulisema hivi mbona maneno yanapingana?
Nilikomaje kutafuta uongo mwingine wa kujazilizia ...

.....hahaha, .....ati uongo wa kujazilia.....:D
 
I'd rather u keep quite than kudanganya (siku hizi nazeeka nakuwa msahaulifu ntakamatwa tu!). Mbona kuna njia rahisi tu ya kukwepa kusema ukweli bila kudanganya? Ukiulizwa uko wapi, unajichekelesha na kusema 'umeshanimisi eeh? Unafanya nini darling', mbona anasahau swali lake la msingi anajibu la nyongeza! Lying is bad, nikoishadanganywa nakuweka kwenye kundi hilo tu! Ukisema uko kwenye mataa ya morocco I don't expect u to be! So najipimia muda wa kufanya nnachotaka na nnachojisikia kufanya.
Kama madhara ya kusema ukweli ni makubwa kuliko kusema uongo, we danganya tu! Ila usikamatwe.
 
Katika mapenzi usipo danganya humegi kaka....
uzuri na wao wanapenda kudanganywa ukimwambia ukweli basi umekosa tunda.
anapenda umwambie nitakununulia ndege au nitakujengea gorofa wakati anajua fika hata hela huna una hela za kubadilishia matembele na vibua au utumbo leo wa ng'ombe kesho wa kuku.

.....kamanda, je unapodanganywa nawe wajua unadanganywa----Unajiskiaje?
 
mtu anajua kabisa ye labda ni wa 30 kwenye list ya waliopita hapo, lakini ukimwambia hivyo ananuna! sasa mtu kama huyo umfanyaje, ni kumwambia tu we ni wa 3 tangu kuzaliwa! pathetic! especialy watoto wa kike, hatuwezi kuacha kudanganya, smtimes its a must!
 
Katika mapenzi usipo danganya humegi kaka....
uzuri na wao wanapenda kudanganywa ukimwambia ukweli basi umekosa tunda.
anapenda umwambie nitakununulia ndege au nitakujengea gorofa wakati anajua fika hata hela huna una hela za kubadilishia matembele na vibua au utumbo leo wa ng'ombe kesho wa kuku.
hahahaha hommie bana!
 
Big boy, don't u ever trust the judge! Unadhani akikiri kuwa kaua ndo ata-walk free? Hapana aisee!

Mie sichukulii kama ni madharau kwangu, najijua ligi nnayocheza ni UEFA, ukileta ligi za kombe la jogoo nakuangalia nacheka tu. Tena dawa ya muongo akikudanganya mpe that killer smile tu afu usiulize tena, manake anataka ubishe ili akishawishi na 'uongo wa kujazilizia' originated from First Lady,lol! Next time usiulize, u know the answer. Unamuacha ajiulize yeye
......low self-esteem :cool: .....mmn, umekwenda deep...kwenye psychoanalysis!

......phewww.....thx King'asti. Nakubaliana nawe, ila je? Iwapo utajitahidi kwa kila hali kumhakikishia "Only the truth will set you free!" ...kuna haja gani yeye kuendelea 'telling white lies?'....

Sio madharau hayo? :D
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Big boy, don't u ever trust the judge! Unadhani akikiri kuwa kaua ndo ata-walk free? Hapana aisee!

Mie sichukulii kama ni madharau kwangu, najijua ligi nnayocheza ni UEFA, ukileta ligi za kombe la jogoo nakuangalia nacheka tu. Tena dawa ya muongo akikudanganya mpe that killer smile tu afu usiulize tena, manake anataka ubishe ili akishawishi na 'uongo wa kujazilizia' originated from First Lady,lol! Next time usiulize, u know the answer. Unamuacha ajiulize yeye

......hahaha, Mbu nilivyo na asili ya ubishi....nitaendelea kukuuliza nawe uendelee kujiuma uma (kwakuwa naujua ukweli)....mpaka utapokiri ulidanganya.

I dont give up easily aisee,....
 
Katika mapenzi usipo danganya humegi kaka....
uzuri na wao wanapenda kudanganywa ukimwambia ukweli basi umekosa tunda.
anapenda umwambie nitakununulia ndege au nitakujengea gorofa wakati anajua fika hata hela huna una hela za kubadilishia matembele na vibua au utumbo leo wa ng'ombe kesho wa kuku.
ohooo kumbe ...kuna mtu kaniambia ameninunulia prado ipo bandarini japan ..kumbe ananidanganya eeh?
 
...nikiwa bado sijatimiza malengo yangu najifanya mjinga tu ile maneno yatimie.

Hahaha, Got you well and Clear.....
Hapo tupo ukurasa mmoja.

Mbu najikubalisha kudanganywa pale tu 'ninapotaka'...
 
Hahaha, Got you well and Clear.....
Hapo tupo ukurasa mmoja.

Mbu najikubalisha kudanganywa pale tu 'ninapotaka'...

Na wao wenyewe wanakubali kudanganywa ili malengo yao yatimie mfano mtu anadanganya sina mke ili hali kwenye kidole kuna pete ya ndoa na huyu anae danganywa anakubali ili malengo yake aliyo jiwekea kichwani yatimie.
 
mtu anajua kabisa ye labda ni wa 30 kwenye list ya waliopita hapo, lakini ukimwambia hivyo ananuna! sasa mtu kama huyo umfanyaje, ni kumwambia tu we ni wa 3 tangu kuzaliwa! pathetic! especialy watoto wa kike, hatuwezi kuacha kudanganya, smtimes its a must!

....hehehe....

Uongo huu 'nishadanganyiwa' nao sana, sawa na ule '...sijawahi nanihiwa kama unavyoninanihii (matusi) wewe!".... imekuwa kama chorus vile....:D

....uongo huo naukubali bana, "kula n'kule!"..
 
wakati mwingine ili kuleta amani ndani ya nyumba inabidi udanganye...leo hii kila mtu angekua mkweli ungekuta hakuna amani
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
ohooo kumbe ...kuna mtu kaniambia ameninunulia prado ipo bandarini japan ..kumbe ananidanganya eeh?

...na mnavyo penda Prado short cheses wanawake mujini hapo utaishia kumegwa jamaa akisha kukifu/kinai huyoo anahamia kwa Bi Mwavua
 
Huwa pananoga pale unapomdanyanya mtu halafu na yeye anajua kabisa kuwa unamdanganya na yeye anakudanganya!!
 
I'd rather u keep quite than kudanganya (siku hizi nazeeka nakuwa msahaulifu ntakamatwa tu!). Mbona kuna njia rahisi tu ya kukwepa kusema ukweli bila kudanganya? Ukiulizwa uko wapi, unajichekelesha na kusema 'umeshanimisi eeh? Unafanya nini darling', mbona anasahau swali lake la msingi anajibu la nyongeza! Lying is bad, nikoishadanganywa nakuweka kwenye kundi hilo tu! Ukisema uko kwenye mataa ya morocco I don't expect u to be! So najipimia muda wa kufanya nnachotaka na nnachojisikia kufanya.

Sawa....
Kwangu mimi kukaa kimya ni aina ya uongo!
Yaani kwa mfano natoka na mtu halafu simwambii yale mambo ya msingi kuhusu mimi, yale yanayohusu uhusiano!
Kuficha ukweli ni uongo pia!
 
Back
Top Bottom