Na ukiwa muongo lazima uwe na kumbukumbu la sivyo utajuuta kudanganya..
Nakumbuka kuna kasheshe moja ilitokea ..Katika kujitetea nikadanganya...
Siku kadhaa zikawa zimepita nikiwa naongea na mhusika nikajikuta nimetamka ile issue niliyokataa
Nilipobanwa eeh mama ikawaje wakati wewe ulisema hivi mbona maneno yanapingana?
Nilikomaje kutafuta uongo mwingine wa kujazilizia ...
Kama madhara ya kusema ukweli ni makubwa kuliko kusema uongo, we danganya tu! Ila usikamatwe.
Katika mapenzi usipo danganya humegi kaka....
uzuri na wao wanapenda kudanganywa ukimwambia ukweli basi umekosa tunda.
anapenda umwambie nitakununulia ndege au nitakujengea gorofa wakati anajua fika hata hela huna una hela za kubadilishia matembele na vibua au utumbo leo wa ng'ombe kesho wa kuku.
najua ni uongo ndo maana najua naganganyika...kwani wanapata faida gani
.....kamanda, je unapodanganywa nawe wajua unadanganywa----Unajiskiaje?
hahahaha hommie bana!Katika mapenzi usipo danganya humegi kaka....
uzuri na wao wanapenda kudanganywa ukimwambia ukweli basi umekosa tunda.
anapenda umwambie nitakununulia ndege au nitakujengea gorofa wakati anajua fika hata hela huna una hela za kubadilishia matembele na vibua au utumbo leo wa ng'ombe kesho wa kuku.
......low self-esteem .....mmn, umekwenda deep...kwenye psychoanalysis!
......phewww.....thx King'asti. Nakubaliana nawe, ila je? Iwapo utajitahidi kwa kila hali kumhakikishia "Only the truth will set you free!" ...kuna haja gani yeye kuendelea 'telling white lies?'....
Sio madharau hayo?
Big boy, don't u ever trust the judge! Unadhani akikiri kuwa kaua ndo ata-walk free? Hapana aisee!
Mie sichukulii kama ni madharau kwangu, najijua ligi nnayocheza ni UEFA, ukileta ligi za kombe la jogoo nakuangalia nacheka tu. Tena dawa ya muongo akikudanganya mpe that killer smile tu afu usiulize tena, manake anataka ubishe ili akishawishi na 'uongo wa kujazilizia' originated from First Lady,lol! Next time usiulize, u know the answer. Unamuacha ajiulize yeye
ohooo kumbe ...kuna mtu kaniambia ameninunulia prado ipo bandarini japan ..kumbe ananidanganya eeh?Katika mapenzi usipo danganya humegi kaka....
uzuri na wao wanapenda kudanganywa ukimwambia ukweli basi umekosa tunda.
anapenda umwambie nitakununulia ndege au nitakujengea gorofa wakati anajua fika hata hela huna una hela za kubadilishia matembele na vibua au utumbo leo wa ng'ombe kesho wa kuku.
Hahaha, Got you well and Clear.....
Hapo tupo ukurasa mmoja.
Mbu najikubalisha kudanganywa pale tu 'ninapotaka'...
mtu anajua kabisa ye labda ni wa 30 kwenye list ya waliopita hapo, lakini ukimwambia hivyo ananuna! sasa mtu kama huyo umfanyaje, ni kumwambia tu we ni wa 3 tangu kuzaliwa! pathetic! especialy watoto wa kike, hatuwezi kuacha kudanganya, smtimes its a must!
ohooo kumbe ...kuna mtu kaniambia ameninunulia prado ipo bandarini japan ..kumbe ananidanganya eeh?
I'd rather u keep quite than kudanganya (siku hizi nazeeka nakuwa msahaulifu ntakamatwa tu!). Mbona kuna njia rahisi tu ya kukwepa kusema ukweli bila kudanganya? Ukiulizwa uko wapi, unajichekelesha na kusema 'umeshanimisi eeh? Unafanya nini darling', mbona anasahau swali lake la msingi anajibu la nyongeza! Lying is bad, nikoishadanganywa nakuweka kwenye kundi hilo tu! Ukisema uko kwenye mataa ya morocco I don't expect u to be! So najipimia muda wa kufanya nnachotaka na nnachojisikia kufanya.