GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
"Mwijaku asiwaongopee watu kuwa amejenga atuonesha hati kama kuna jina lake mke wake ana msitiri tu kuishi kwake alichokisema @officialbabalevo kina ukweli ndiyo maana alikaa kimya" Alisema Haji Manara.
Chanzo Taarifa: manaratv
Ila Haji Manara muhuni sana Wewe jamaa yaani hata hujaogopa kusema kuwa Mwijaku Kajaaliwa Umbile zuri Mashaalah?
Chanzo Taarifa: manaratv
Ila Haji Manara muhuni sana Wewe jamaa yaani hata hujaogopa kusema kuwa Mwijaku Kajaaliwa Umbile zuri Mashaalah?