Kuchunguzana kwenye ndoa ni udhaifu

Mkuu uchunguzi sio kumfuatilia mtu kiasi hicho, ila kama una muda sio mbaya kufanya uchunguzi kwa kiasi hicho.

Swali.
Ni nini haswa kinakufanya uogope kumfuatilia mwenza wako?

Unahisi mwenza wako ni mchafu, kwahyo unaogopa utamuacha?


Unajijua we ni mchafu kwahyo ukimchunguza mkeo ni sawa na kupoteza muda?
Kwanini hukumchunguza kwenye uchumba?

Pia kuishi na Ke kwa akili ni kuwa na tahadhari "kupenda kwa kiasi" maana huyo Ke si Malaika lakini si kuishi kwa kumchunguza, utajipunguzia uhai wako mapema sana nakati dona na nguluka ni tamu balaa

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye pitapita zangu JF nikakukata na mshikaji analalamika kukuta emoj za kikubwa kwenye simu ya mkewe ambazo hajawahi kutumiwa na mke wake.

Kama unavyojua emoj unazozitumia sana ndio huwa zinakaa juu kuliko zisizotumiwa, sasa Jamaa anahisi kuwa kuna mtu huwa anatumiana emoj za na mkewe.

Sababu iliyofanya nifungue huu uzi ni jibu la mdau mmoja kuhusu inshu ya huyo jamaa kulalamika. Jibu lenyewe ni hili hapa,

Nanukuu "Wewe unashika simu ya mkeo ya kazi gani? Kwanini unaonesha udhaifu kama huo, by the way mtu mzima hachungwi hata siku moja zaidi wajitafutia maradhi ya moyo! Achana na habari za kushika simu ya mwenzio". Mwisho wa kunukuu

Swali kwenu wanajamii forum ambao mpo kwenye ndoa, na ambao mshawahi kuwa kwenye ndoa.

Je ni udhaifu kuchunguza simu ya mwenza wako, au kuchunguza tabia za mwenza mkiwa kwenye ndoa?


TUNAOMBA MTUJIBU.

Asante


Mjanja M1
Yes unachunguza ya nini? Kuoa mke hakusabibishi huyo mwanamke aache kutongozwa, mwanamke ilimradi ameumbwa kuwa mwanamke atatongozwa mpaka anaingia kaburini, na lazima ujue Kuna aina mbalimbali za mitongozo ambayo kwa bahati mbaya ukikutana nayo kwenye simu ya mkeo lazima moyo ukuume, cha msingi muamini tu mkeo sema tu hata Kama anatongozwa lakini anawakatalia jipige kifuani katafute mahitaji ya familia
 
Kwanini hukumchunguza kwenye uchumba?

Pia kuishi na Ke kwa akili ni kuwa na tahadhari "kupenda kwa kiasi" maana huyo Ke si Malaika lakini si kuishi kwa kumchunguza, utajipunguzia uhai wako mapema sana nakati dona na nguluka ni tamu balaa

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hahaha!

Umenichekesha sana ulivyosema kupenda kwa kiasi Mkuu.

Kwenye mapenzi hakuna kupenda kwa kiasi, ni either umependa au haujapenda.

HAKUNA KUPENDA KWA KIASI HATA SIKU MOJA.

Suala la kuaminiani ni Nyeti na sio suala la siku moja, maana watu huwa wanabadilika.
 
Mkuu uchunguzi sio kumfuatilia mtu kiasi hicho, ila kama una muda sio mbaya kufanya uchunguzi kwa kiasi hicho.

Swali.
Ni nini haswa kinakufanya uogope kumfuatilia mwenza wako?

Unahisi mwenza wako ni mchafu, kwahyo unaogopa utamuacha?


Unajijua we ni mchafu kwahyo ukimchunguza mkeo ni sawa na kupoteza muda?
Kwanini umfuatilie? Haumuamini? Na unalalaje na mtu usiyemuamini?

Kumchunguza ni dalili za kutomuamini labda Kama una mashaka na nyendo zake, halafu unafikir unaweza kufanikisha kumchunguza Kama ana nyendo chafu?? Unafikiri simu ndio itakusaidia kuyajua matendo yake??, Ukitaka kumchunguza umfuatilie anapoenda saluni, anaenda kanisani, anaenda sijui sokoni Kama je ni mfanyakaz maana yake umchunguze kazini kwake wakati huo wewe hufanyi kazi??? Unahisi unaweza?? Akiamua kufanya ufuska?
 
Mkuu uchunguzi sio kumfuatilia mtu kiasi hicho, ila kama una muda sio mbaya kufanya uchunguzi kwa kiasi hicho.

Swali.
Ni nini haswa kinakufanya uogope kumfuatilia mwenza wako?

Unahisi mwenza wako ni mchafu, kwahyo unaogopa utamuacha?


Unajijua we ni mchafu kwahyo ukimchunguza mkeo ni sawa na kupoteza muda?
Kwanini umfuatilie? Haumuamini? Na unalalaje na mtu usiyemuamini?

Kumchunguza ni dalili za kutomuamini labda Kama una mashaka na nyendo zake, halafu unafikir unaweza kufanikisha kumchunguza Kama ana nyendo chafu?? Unafikiri simu ndio itakusaidia kuyajua matendo yake??, Ukitaka kumchunguza umfuatilie anapoenda saluni, anaenda kanisani, anaenda sijui sokoni Kama je ni mfanyakaz maana yake umchunguze kazini kwake wakati huo wewe hufanyi kazi??? Unahisi unaweza?? Akiamua kufanya ufuska?
 
Yes unachunguza ya nini? Kuoa mke hakusabibishi huyo mwanamke aache kutongozwa, mwanamke ilimradi ameumbwa kuwa mwanamke atatongozwa mpaka anaingia kaburini, na lazima ujue Kuna aina mbalimbali za mitongozo ambayo kwa bahati mbaya ukikutana nayo kwenye simu ya mkeo lazima moyo ukuume, cha msingi muamini tu mkeo sema tu hata Kama anatongozwa lakini anawakatalia jipige kifuani katafute mahitaji ya familia
Acha kujipa moyo kwenye mambo ambayo unao uwezo nayo.
 
Nadhani sio sahihi kwa kukaa kwa kuchunguzana siku zote isipokuwa kama umeanza kuona dalili au viashiria fulani hapo unaruhusiwa kuchunguza ila kabla ya kuanza kuchunguza lazima uwe majibu yote mawili kwamba uchunguzi wako ukija negative utafanyaje na ukija positive utafanyaje na sio unamchunguza mpaka unamfumania halafu unaishia kuomba msamaha hapo utakuwa unajizamisha mwenyewe!!!!
 
Kumchunguza ni lazima, Hata yeye huwa ananichunguza

Uzuri wa mimi kumchunguza siyo lazima nishike simu yake, naweza kumchunguza remotely

Nikigundua siyo mwaminifu namuacha wakati wowote

Siwezi kuishi nyumba moja na mwanamke mchepukaji
 
Hahaha!

Umenichekesha sana ulivyosema kupenda kwa kiasi Mkuu.

Kwenye mapenzi hakuna kupenda kwa kiasi, ni either umependa au haujapenda.

HAKUNA KUPENDA KWA KIASI HATA SIKU MOJA.

Suala la kuaminiani ni Nyeti na sio suala la siku moja, maana watu huwa wanabadilika.
Kupenda kwa kiasi kupo sana tu, kama uliwapenda Wazazi wako lakini ulifikia hatima ya kuwaacha kwenu na kuanza familia nyingine na Ke ambaye hujui malezi wala mazingira yake kabla hukukutana naye kimahusiano ndiyo ushindwe kuwa na kiasi kumpenda?

Kupenda kwa kiasi = Mapenzi "Ubongo/Akili".

Kupenda kupita kiasi = Mahaba "Moyo/Hisia".

Jambo lolote katika maisha lazima ulifanye kwa kiasi la sivyo litakufanya uwe mtumwa sana kimateso.

Ukipata misheni ya bingo la maaana nnje ya nchi hata kwa miezi 6 au mwaka mmoja tu ukajinyakulie ubilionea hakika hutakubali sababu unampenda sana Mkeo kwa wivu uendeshwao na mahaba (UPUMBAVU), huoni jinsi unavyogharamika hapa duniani?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye pitapita zangu JF nikakukata na mshikaji analalamika kukuta emoj za kikubwa kwenye simu ya mkewe ambazo hajawahi kutumiwa na mke wake.

Kama unavyojua emoj unazozitumia sana ndio huwa zinakaa juu kuliko zisizotumiwa, sasa Jamaa anahisi kuwa kuna mtu huwa anatumiana emoj za na mkewe.

Sababu iliyofanya nifungue huu uzi ni jibu la mdau mmoja kuhusu inshu ya huyo jamaa kulalamika. Jibu lenyewe ni hili hapa,

Nanukuu "Wewe unashika simu ya mkeo ya kazi gani? Kwanini unaonesha udhaifu kama huo, by the way mtu mzima hachungwi hata siku moja zaidi wajitafutia maradhi ya moyo! Achana na habari za kushika simu ya mwenzio". Mwisho wa kunukuu

Swali kwenu wanajamii forum ambao mpo kwenye ndoa, na ambao mshawahi kuwa kwenye ndoa.

Je ni udhaifu kuchunguza simu ya mwenza wako, au kuchunguza tabia za mwenza mkiwa kwenye ndoa?


TUNAOMBA MTUJIBU.

Asante


Mjanja M1
😹😹😹Ilaaa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom