Kuchunguzana kwenye ndoa ni udhaifu

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,304
Kwenye pitapita zangu JF nikakukata na mshikaji analalamika kukuta emoj za kikubwa kwenye simu ya mkewe ambazo hajawahi kutumiwa na mke wake.

Kama unavyojua emoj unazozitumia sana ndio huwa zinakaa juu kuliko zisizotumiwa, sasa Jamaa anahisi kuwa kuna mtu huwa anatumiana emoj za na mkewe.

Sababu iliyofanya nifungue huu uzi ni jibu la mdau mmoja kuhusu inshu ya huyo jamaa kulalamika. Jibu lenyewe ni hili hapa,

Nanukuu "Wewe unashika simu ya mkeo ya kazi gani? Kwanini unaonesha udhaifu kama huo, by the way mtu mzima hachungwi hata siku moja zaidi wajitafutia maradhi ya moyo! Achana na habari za kushika simu ya mwenzio". Mwisho wa kunukuu

Swali kwenu wanajamii forum ambao mpo kwenye ndoa, na ambao mshawahi kuwa kwenye ndoa.

Je ni udhaifu kuchunguza simu ya mwenza wako, au kuchunguza tabia za mwenza mkiwa kwenye ndoa?


TUNAOMBA MTUJIBU.

Asante


Mjanja M1
 
Kwenye pitapita zangu JF nikakukata na mshikaji analalamika kukuta emoj za kikubwa kwenye simu ya mkewe ambazo hajawahi kutumiwa na mke wake.

Kama unavyojua emoj unazozitumia sana ndio huwa zinakaa juu kuliko zisizotumiwa, sasa Jamaa anahisi kuwa kuna mtu huwa anatumiana emoj za na mkewe.

Sababu iliyofanya nifungue huu uzi ni jibu la mdau mmoja kuhusu inshu ya huyo jamaa kulalamika. Jibu lenyewe ni hili hapa,

Nanukuu "Wewe unashika simu ya mkeo ya kazi gani? Kwanini unaonesha udhaifu kama huo, by the way mtu mzima hachungwi hata siku moja zaidi wajitafutia maradhi ya moyo! Achana na habari za kushika simu ya mwenzio". Mwisho wa kunukuu

Swali kwenu wanajamii forum ambao mpo kwenye ndoa, na ambao mshawahi kuwa kwenye ndoa.

Je ni udhaifu kuchunguza simu ya mwenza wako, au kuchunguza tabia za mwenza mkiwa kwenye ndoa?


TUNAOMBA MTUJIBU.

Asante


Mjanja M1
Unachunguza kugundua nini na majibu yake utayapokeaje?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye pitapita zangu JF nikakukata na mshikaji analalamika kukuta emoj za kikubwa kwenye simu ya mkewe ambazo hajawahi kutumiwa na mke wake.

Kama unavyojua emoj unazozitumia sana ndio huwa zinakaa juu kuliko zisizotumiwa, sasa Jamaa anahisi kuwa kuna mtu huwa anatumiana emoj za na mkewe.

Sababu iliyofanya nifungue huu uzi ni jibu la mdau mmoja kuhusu inshu ya huyo jamaa kulalamika. Jibu lenyewe ni hili hapa,

Nanukuu "Wewe unashika simu ya mkeo ya kazi gani? Kwanini unaonesha udhaifu kama huo, by the way mtu mzima hachungwi hata siku moja zaidi wajitafutia maradhi ya moyo! Achana na habari za kushika simu ya mwenzio". Mwisho wa kunukuu

Swali kwenu wanajamii forum ambao mpo kwenye ndoa, na ambao mshawahi kuwa kwenye ndoa.

Je ni udhaifu kuchunguza simu ya mwenza wako, au kuchunguza tabia za mwenza mkiwa kwenye ndoa?


TUNAOMBA MTUJIBU.

Asante


Mjanja M1
Kama hutaki kuchunguza utagongewa Sana

Mchunguze Hawa wapuuzi wajanja wajanja sana

Kila siku wanabuni mbinu mpya
 
Kama unavyojua emoj unazozitumia sana ndio huwa zinakaa juu kuliko zisizotumiwa, sasa Jamaa anahisi kuwa kuna mtu huwa anatumiana emoj za
emoji533.png
na mkewe
Heri sie tunaoshinda tukicheka
😂😂😂😂 ni emoj za vicheko mbalimbali ndo vimejaa
 
Back
Top Bottom