ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 685
- 1,612
Je, ukitumia kisima kama hiki na source ya maji ikawepo, je? kuna ufanisi gani katika kusambaza maji ndani yakawa yanatomika chooni bafuni na jikon, na huku bafuni bomba la mvua linatumika,je!
Yatapanda kwa kasi zaidi au kutakuwa na shida tofauti na ukanunua simtank?
Natanguliza shukrani.
Yatapanda kwa kasi zaidi au kutakuwa na shida tofauti na ukanunua simtank?
Natanguliza shukrani.