ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,743
Jamaa baada ya kupigwa chini kwenye uchaguzi ameamua kuwaadhibu Wananchi kwa kufunga kisima chake na kung'oa tanki la maji aliyokuwa anawa supply watu.
Ikumbukwe huu ulikuwa mradi binafsi wa huyu mbunge kwa Wananchi wake, sasa baada ya kupigwa chini ndio hivyo waende wakachote kwa waliomchagua. 😆😆😆😆😆
My Take
Afrika raha sana, CHADEMA wekeni pesa mezani porojo za sera hazileti ugali.
Yaani mimi nijichafue ukaneemeke na watoto wako halafu mimi unipe sera? Sina ujinga kama huo.
====
Zimbabwean Lawmaker, Chinhoyi Chidzomba locks his borehole to punish his constituents, after he lost a Parliamentary election.
He also dismantled a water storage drum meant for the borehole.
View: https://twitter.com/HarryGodfirst/status/1696050691607790011?t=3RkhZypbG28P0ubKUpPJvg&s=19
Africa Fact Zone
Ikumbukwe huu ulikuwa mradi binafsi wa huyu mbunge kwa Wananchi wake, sasa baada ya kupigwa chini ndio hivyo waende wakachote kwa waliomchagua. 😆😆😆😆😆
My Take
Afrika raha sana, CHADEMA wekeni pesa mezani porojo za sera hazileti ugali.
Yaani mimi nijichafue ukaneemeke na watoto wako halafu mimi unipe sera? Sina ujinga kama huo.
====
Zimbabwean Lawmaker, Chinhoyi Chidzomba locks his borehole to punish his constituents, after he lost a Parliamentary election.
He also dismantled a water storage drum meant for the borehole.
View: https://twitter.com/HarryGodfirst/status/1696050691607790011?t=3RkhZypbG28P0ubKUpPJvg&s=19
Africa Fact Zone