Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
Huu ni ushauri WA shetan wala sio wako wewe unatumika tu
 
ujinga ni pale unapomwona mmeo ana kibamia akati wew size yako ni number 4., hapo chini.
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    78.5 KB · Views: 26
Culture is dynamic mpendwa. Hata wao wangekuwa zama hizi wasingekuwa kama vile walivyokuwa zama zile. If you want our moms then be our dads.
Mkuu mimi babu yangu na baba zangu wakubwa walimwachaga bibi zetu kijijini na wao wakawa wanatembea kusaka maisha mijini.. Mara Nairobi, mara Mbeya, mara Dodoma kama mnavyojua maisha ya wazee wa zamani wa kichagga yalivyokuwa. Tena akienda huko anakaa muda mrefu na mawasiliano ni barua tu tena mara moja kwa mwezi..

Sasa kweli mnataka na sie tuishi hivyo? Wewe utavumilia mumeo kukaa nje ya nyumbani nusu mwaka mpaka mwaka bila ya kuonana? Yaani mnavyosema utafikiri vile baba zetu walikuwaga wazuri sana..
 
Mkuu mimi babu yangu na baba zangu wakubwa walimwachaga bibi zetu kijijini na wao wakawa wanatembea kusaka maisha mijini.. Mara Nairobi, mara Mbeya, mara Dodoma kama mnavyojua maisha ya wazee wa zamani wa kichagga yalivyokuwa. Tena akienda huko anakaa muda mrefu na mawasiliano ni barua tu tena mara moja kwa mwezi..

Sasa kweli mnataka na sie tuishi hivyo? Wewe utavumilia mumeo kukaa nje ya nyumbani nusu mwaka mpaka mwaka bila ya kuonana? Yaani mnavyosema utafikiri vile baba zetu walikuwaga wazuri sana..
Sasa kwa taarifa yako wale wazee waliokuwa wanabaki kule walikuwa wanapiga kwa kisingizio wanatafuta mtoto wa chungu
 
Back
Top Bottom