Mbona wa kwetu hawapo mochuary? Unavyomjua mke wako sio hivyo alivyo. Akiwa nyuma ya keyboard kama hivi utashangaa na roho yakokwa comments za Evelyn Salt, demi, Heaven Sent, espy, nao, Nalendwa, mmoja wapo angekuwa ndio mke wangu saa hizi ningekuwa mochuari nakula kiyoyozi. Nimemchungulia Id yake hausiki
Haki ya Mungu hii sehemu mnajiachia kinyama. Siku wanawake mkijitambua ndio, ndio utakuwa mwisho wa kiumbe cha kiumeMbona wa kwetu hawapo mochuary? Unavyomjua mke wako sio hivyo alivyo. Akiwa nyuma ya keyboard kama hivi utashangaa na roho yako
Ha ha haaaMsitafute visingizio, tutafukunyua tu.
Fikilia kwanza kabla ya kufanya maauzi hayo maana baada ya starehe nikilio na wanaoteseka ni watoto, pia kama habadiliki tabia kwa ushauli wangu bora muachane tuToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Unakiri kua ndoa ikivunjika mwanamke ndiye anayeangaliwa,umewahijiuliza mke na mume wakichepuka yupi huleta aibu sana kwenye familia na jamii kwa ujumla.. acheni kuchepuka sio vuzuri,ukiona vipi achana na mwanaume uende ukaishi peke yako ufanye unavyotaka,kama mume anachepuka jaribu kumrekebisha vile unavyoweza nasio wewe kuanza kuchepuka kwasababu unakua unajishalilisha nakuleta fedheha kwa watoto na ndugu zako pamoja na jamaa unaoheshimiana nao,usijione wewe tu angalia na jamii itakuonaje,fanya kitu ambacho unaweza kuongea mbele ya watu ukaeleweka.Ha ha haa. Wanawake walivyo sasa ni matokeo ya manyanyaso ya wanaume wa kipindi hicho.
.
.
"mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake mwenyewe"
.
.
Kaka yangu..ipo hivi: Hakuna mwanamke anayependa ndoa yake ivunjike, ni aibu kubwa kwake, unajua kwanini? Ni kwasababu ndoa ikivunjika ni mwanamke ndio anaangaliwa, kosa la mwanaume lkn mke atalaumiwa.
.
.
Hiyo quote yako imetungwa na wanaume ili tu kudidimiza wanawake. Ni kama vile ndoa ni ya mke peke yake, wewe mume unafanya jitihada gani kuhakikisha ndoa yako imesimama? Uvumilivu unamuhusu mke...maombi ni mke akuombee na aombee ndoa yenu na familia kwa ujumla.
Wewe umerelax unaenjoy maisha na michepuko uliyoihalalisha, ukirudi home mapenzi hakuna, command za kijeshijeshi ukitegemea huyu mwanamke atanivumilia tu ni wajibu wake kunivumilia. You are so wrong my brother!
Angalau wa kwako alistuka na kurudi mstarini...Kweli kabisa ,ukiona mwanamke amechepuka ujue yamemfika,Mimi nilikuwa mwaminifu sana na ninampenda mno Mme Wang ila kila akitoka masomo yuko mkoa mwingne anaweza kaa miezi 3 hata 4 namvulia cku akirudi hana mda anakwambia nmechoka ilifikia hatua akirud nalilia mapenz kutokana na ile hamu ya kumvumilia lkn hakujali hisia zangu ,yan Mimi ndo nashida ya mapenz yeye wala nilivulia sana sababu nilikuwa na hofu na mungu na upendo nilionao kwa Mume ilifikia mda nikachoka,nikaamua kuwa na mchepuko kiukwel hata simu zake niliona kero akipiga,akisema kakata ticket anarud nikamjibu hata usiporud in shot nilikuwa najikuta namjibu ovyo siku alipoingia ndan ndo kwanza sins hata habar nae na mgongo nikampa kitu ambacho alikiona kigen kazoea akirud nalilia dudu ndo nipewe kwa kutoa machoz nilimjibu nko vizr hivyo apumzike, kiukwel nilinogewa nje na aliniambia nmebadilika nikamjibu kwa jeuri umenibadilisha wewe,alikir makosa sababu alijua mkewe hayuko ivo na toka hapo hakuweza nisumbua aliongeza mapenz na upendo na ndo alizid nipagawisha zaid, kwa kuwa ckupenda kuchepuka na amejutia kosa nikaongea na mchepuko narud kwa ndoa yng na mpaka Leo nko vzr na ndoa yang,niseme tu wanaume sio wote mnajisahau sasa ukiona make nae haelewek ndo unastuka jaribun kurud kwa mstar ,hii inafanya weng wenu kulea watoto wasio WA kwenu kwa mambo km hayo
Katika vita ya namna hii uwe na uhakika kabisa mmoja kati ya hawa wawili ataumia tu, maana itakuwa ni kama vichaa wawili wamekutana na kila mmoja anamcheka mwenzieSie uzuri hatununiiiiii!! Ukirudi unanikuta freshhhhh, mwepesiiii nakupokea kwa bashasha tele, ukiamua kujinunisha we nuna tu at yo own risk.
Mnalishwa mkiwa wapi? Wanawafuata makwenu?Hapana, mmesema wenyewe mnavyotulisha sijui vinyama vya wapi tutaacha kuchanganyikiwa kweli.
Ameeeeeen!!Ahsante kwa mleta mada hii(kisia) maana nimejifunza mengi sana juu ya mke. Mwanzo wa mada kisia amesemwa sana kama ametenda kosa kubwa sana (ni kweli) lakini ujio wa hawa wadada Ms. Lincoln, demi, Heaven Sent, miss chagga, Nalendwa, Evelyn Salt, ringson, espy, LadyRed, Msweet, Go mi num, firstLady 1,nao,...hakika,wanaume tuna la kujifunza na lazima tukubali kuwa sisi ni wajinga kiasi fulani. Hakuna haja ya kuombewa maana hicho ndio kilio cha wanawake wengi walio kwenye ndoa, tubadilike kwa hiari. Naona aibu hata kumuangalia wife tangu jana (kaa nami Bwana Yesu peke yangu siwezi). Mkuu Ngoda 95 na wengine tubadilike, tuwajali hawa viumbe. AMEN
Ujinga akifanya mwingine, wakifanya wao ujanja.Oooh leo upande huu imekua ujinga eeeeh!!!!!
kwa comments za Evelyn Salt, demi, Heaven Sent, espy, nao, Nalendwa, mmoja wapo angekuwa ndio mke wangu saa hizi ningekuwa mochuari nakula kiyoyozi. Nimemchungulia Id yake hausiki
Hapo ndo wanaume wenzangu wanatakiwa wajue umuhimu wakuangalia historia ya mpenzi,ukioa ambaye alishafanya sana napo utalinganishwa,ukioa ambaye hajawahi,ukiteleza kwenye kumlea basi ataonja nje nakuona kua una kibamia.Kidudu kwasababu kapata cha kukilinganisha nacho teh
Huu ni ujinga tena ni dhambi ni dhambi ikikomaa uzaa mauti, geuka ndungu gairi maovu tenda wema.
Sasa ndio katika kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ndio mwanume mwenzenu akajikuta anakuwa na mleta mada. Kwahiyo mvumiliane tu maana hamana namna.Hatupendi hii tabia,mwanaume ndio anaruhusiwa kua na wanawake zaidi ya mmoja
Mbona wa kwetu hawapo mochuary? Unavyomjua mke wako sio hivyo alivyo. Akiwa nyuma ya keyboard kama hivi utashangaa na roho yako