Sinani Ally
Member
- Mar 18, 2017
- 33
- 7
Ndio maana nimewaambia wasubiri siku wakikua ndio waoe.Ha haaa eti mwanaume ni mtoto! Mtoto utawezaje kuwa kichwa cha familia? Mwanamke mtu mzima sio! Na utoto wenu kwanini mnakimbilia ndoa? Bakini kuwa watoto muuendelee kufanya matusi. Ndoa ni kwaajili ya watu wazima wenye akili timamu!
Kwasababu wanaume wrngi wa sasa hawajitambui. Wao si ndio vichwa na viongozi?Ujinga tu, wanawake wengi wa sasa hawajitambui kwakweli
Sasa wewe mwanaume gani unanyanyua mkono kumpiga keleb mwanamke ambae hata kukufinya hawezi? Huko ni kutojiamini.Siku izi mkipewa keleb mnakimbilia social media, mara dawati la jinsia au mahakamani. Tumeamua tutafute mbadala, mkizingua zaidi tunachoma moto ili tukakutane dawati la jinsia huko Mbinguni![]()
Ndio maana nimewaambia wasubiri siku wakikua ndio waoe.
Siku hizi hawanyooki sababu keleb zimepungua, penye keleb hapakai aliepinda either atanyooka au atakimbia.Sasa wewe mwanaume gani unanyanyua kumpiga keleb mwanamke ambae hata kukufinya hawezi? Huko ni kutojiamini.
Ingekuwa vipigo vinasaidia wake zenu wangekuwa wamenyooka. Kipigo hakisaidii ni ushamba tu.
.
.
Tafuteni tu mbadala. Sisi mbadala wetu akilini mwetu.
Tumia hiyo njia kama itakusaidia!Siku hizi hawanyooki sababu keleb zimepungua, penye keleb hapakai aliepinda either atanyooka au atakimbia.
Naitumiaga pale inapobidi, tena wakati mwingine akifanya ujinga nisipo mpa keleb anasema simpendi. Sema siwezagi kutoa keleb zaid ya moja kwa mwanamke.Tumia hiyo njia kama itakusaidia!
Vichwa vya familia vikiwa vijinga visipojitabua husababisha hata viwiliwili visijitambue.Ujinga tu, wanawake wengi wa sasa hawajitambui kwakweli
Amekufa dada pekee yake? Au namwaume? Hiyo inaitwa ajari kazini![]()
![]()
![]()
![]()
Madhara ya kuchepuka....
Nasikia huyu Dada kamsaliti jamaa aliemueka mjini akawa yupo na hawara yake.
Jamaa akaamua kuchoma nyumba kabisa pumbavu...
Imetokea jana sakina white rose Arusha
Daah Dada wa watu apumzike kwa amaniWakati tunaendelea kupongezana kuhusu cheating, wale wanaoamini katika kuombea marehemu apunguziwe adhabu wasimsahau huyu mrembo, pretty lady daaah!!![]()
Sawa ndugu...mpe mpe keleb za kutosha!!Naitumiaga pale inapobidi, tena wakati mwingine akifanya ujinga nisipo mpa keleb anasema simpendi. Sema siwezagi kutoa keleb zaid ya moja kwa mwanamke.