bryanrt01
Senior Member
- Jan 31, 2017
- 168
- 79
Ilitakiwa nicheke ila inasikitisha sana, sasa kama ni hivo basi ungezalia nyumbani tu ili kujiondolea stress na uwe huru zaidi, kwanini uliolewa sasa kama unajua kwamba kulea mtoto ukiwa kwenye hali kama hiyo ni sahihi??Kwani kuchepuka ni unaamishia majeshi huko au ni masaa kadha ushajirudia? Au unaita watoto unawaambia naenda kuchepuka? Watoto nalea kama kawaida na sitaonesha tofauti hata ... Tena huyo mdada mvumilivu .. Ni hivii naondoka nabeba mwanangu naenda mlea nina pa kushika mwanangu atavaa na kula vizuri tena kuzidi hata zamani ....

