Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,126
Ndio.Ushawahi chepusha???
Ndio.Ushawahi chepusha???
Imenitafakarisha, sitaki hii hali inikumbe. Kuradhauliwa ni kudhalilishwa ujuwe.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Eli kumbe bado unaitafakari mada!! Hizi ndio shida za kuchepuka,ukikutana na kitu matata zaidi dharau zinaanza.
Wanajitoaga ufahamu wanadhani raha burudaniii!! Wajitafakari sana.Nakwambia leo yamekumbukwa mengi,maandiko na mistari ya bibilia,ukimwi, hadi watoto hahaha hiii balaaaa.
Giv me a break, kizazi hiki nani anaweza kuoa/kuolewa kabla ya kuchungulia utupu???Hakuruhusiwa kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa!
Eti mi naona kama umemtungia mwanafunzi mtihani ukampa na majibu!
Hiyo ndio shida ya kuchepuka, ongea na walio kwenye ndoa then wakachepuka na wakakutana na vitu amazing nje, dharau lazimaa.Imenitafakarisha, sitaki hii hali inikumbe. Kuradhauliwa ni kudhalilishwa ujuwe.
Wengi tumekengeuka, ila trust "wapo".Giv me a break, kizazi hiki nani anaweza kuoa/kuolewa kabla ya kuchungulia utupu???
Moto wa milele unakuhusuKumbe ukijichunga usipokuwa exposed kuchepuka hakuna shida sio?
hehehehehe aiseee.. basi sina nenoNdio.
Aaaah wapi, 99.99% lazima wachunguliane. I wouldn't marry a woman before seeing her punani asee, hiki ni kizazi kingine kabisa.Wengi tumekengeuka, ila trust "wapo".
Huo moto hata ukisema uongo utakuhusu tu..Moto wa milele unakuhusu
Kwa upande wako huu mjadala uko in favour of you na itakuwa ngumu kukubadilisha mtizamo wako sababu ni lazima utatafuta tu kasoro chache zilizoko kwenye ndoa yako kujitafutia sababu ya kuchepuka..
Labda nikuulize tu, ni nini hasa kilikufanya wewe uchepuke? mchepuko wako ni main mchepuko au unachagua anayekuja vizuri basi mnafanya yenu? Sorry maswali yangu yanaweza yakawa magumu kidogo..






Ushauri murua!jamani mkitoka mkumbuke kutumia condom, au pimaneni kabisa , na hakikisheni hamkamatwi.
mi nimemaliza na hii mada.
Hahaa demi you nuts, eti vita ya madawa ya kulevyaHizi story za mimi kuchepuka nashindwa kuzielewa!!! Vita dhidi ya madawa ya kulevya ni ngumu sana
.
.
Siwezi kujibu hayo maswali mkuu Subiri siku nilete mada inayohusu uchepukaji wangu!
#MchepukoSioDealBakiNjiaKuu#
Huu ni unyanyasaji sasa,haiwezekan kuchepuka iwe sawa kwake tuu,bora saivi ngoma droo .Angalia msije mkauana sasa ivi maradhi ni mengi mno.... Ila mwanaume hata kama ni mchepukaji huwa hataki Mali yake iliwe na wengine kuwa makini
Wamekumbukwa mpaka bibi na babu.Nakwambia leo yamekumbukwa mengi,maandiko na mistari ya bibilia,ukimwi, hadi watoto hahaha hiii balaaaa.
Wasilikimbie mchezoNaona wazee wa MMU mmelikimbia jukwaa... Hiyo inaitwa mtendwa akitendwa... hehehehehe
Safi sana, nilijua tu.hehehehehe aiseee.. basi sina neno
Kabla ya kuchepuka hakujua kuna mandingo huko nje...........tena eti jamaa na kibamia chake, huyu dada kwani hakujua kuwa jamaa ana mbilimbi kabla ya kuolewa..Dah, huyu jamaa kadhalilishwa live online aisee.
Aaaah wapi, 99.99% lazima wachunguliane. I wouldn't marry a woman before seeing her punani asee, hiki ni kizazi kingine kabisa.