miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Mmh not realTalking from experience, deep down kuchepuka kuna regrets zake regardless umefanya kwa raha au kwa hasira...
Mmh not realTalking from experience, deep down kuchepuka kuna regrets zake regardless umefanya kwa raha au kwa hasira...
Ndiyo mnavibamia tunawafichia siri hata kutiana hamjui mnatutia aibu huko nje muache
umeuaaaa! Ila jamani mpaka unaolewa na mtu mwenye kibamia unakuwa umependa mwenyewe.Wanataka wao wachepuke waje na visiran vyao watuletee na genye tu baki nazo pyeeeUkiona Mke kachepuka jua mume ndiyo chanzo.
Baba ni kichwa cha familia mjali na uonyeshe upendo kwa mkeo na watoto, timiza majukumu yako vizuri na usiendekeze michepuko. Hicho ndiyo kikubwa tunachotaka.
UMENENAYawezekana ikawa labda hao wanaume wanakutana na mabwawa, hivyo wanaelea. Hapa tatizo laweza kuwa 50% kwa 50% .


punguzeni basi.![]()
![]()
![]()
![]()
umeuaaaa! Ila jamani mpaka unaolewa na mtu mwenye kibamia unakuwa umependa mwenyewe.
.
.
Always Shake Before Use!

Unampenda ndiyo maana unabeba madhaifu yake sasa kwa kuwa me mkewe na mfekia yupo good anaamua kukitembeza![]()
![]()
![]()
![]()
umeuaaaa! Ila jamani mpaka unaolewa na mtu mwenye kibamia unakuwa umependa mwenyewe.
.
.
Always Shake Before Use!
halafu mbaya watu wa mtaani kutiana aibu tuNaona wazee wa MMU mmelikimbia jukwaa... Hiyo inaitwa mtendwa akitendwa... heheheheheNawaona tu wanawake walivyoweka kambi huku wakipeana pongezi za dhati.
Bado haijawaingia vizuri. RelaxEvelyn Salt,demi,Heaven Sent,Nalendwa,miss chagga,ringson. Aseee sio kwa colabo Hiyopunguzeni basi.
Hamna ni vidudu vyenu vidogoYawezekana ikawa labda hao wanaume wanakutana na mabwawa, hivyo wanaelea. Hapa tatizo laweza kuwa 50% kwa 50% .
Mark me unless uwe uko kwenye couple ya kuzugia tu.Mmh not real
Zikija mada za wanaume kuchepuka wanafurahi kweli kweli hadi kupeana mbinu za kuchepuka bila kukamatwa! Ndiyo wajue hizo mbinu wake zao majumbani nao wanazitumiaWanataka wao wachepuke waje na visiran vyao watuletee na genye tu baki nazo pyeee
Mwanamke mpaka analucheat amechokaMark me unless uwe uko kwenye couple ya kuzugia tu.
Tena tunatumia with intensive careful hawajuiZikija mada za wanaume kuchepuka wanafurahi kweli kweli hadi kupeana mbinu za kuchepuka bila kukamatwa! Ndiyo wajue hizo mbinu wake zao majumbani nao wanazitumia
K cio yake weye, ishalipiwa iyo kama anabisha afanye mwenyewe akiwepo aone kama ni ya kwakeTeh teh wanaume wa jf wanafiki sana. Hapa ingekuwa ni mwanaume kapost basi angepongezwa vya kutosha. Angesifiwa kwa kuvuta kitu, wengine wangesema safi sana ndio dawa yao.
.
.
Chepuka tu bidada. K ni yako, ndoa ni yako! Life is too short!
Just be careful!
Suprises sio nzuri. Kumbuka unafunga pingu za maisha, hutakiwi kutamani mwanaume mwingine. Usipotest ukakutana na kibamia na wewe unapendelea mtarimbo imekula kwako.Hahaha!, eti you don't want a suprise.![]()
Nakubaliana na wewe though not 100%. Wewe senior bachelor najua unajua kuwa zipo push factors nyingi tuu kwenu na kwetu zinazopelekea hayo kutokea. Kuchoka ni just sababu mojawapo ingawa zipo na nyingine nyingi.Mwanamke mpaka analucheat amechoka