Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

hivi ulikuwa wapi na hizi akili? tukae chini tuyarekenishe, siyo nawe ujitie kimbele mbele kukitembeza huko.

kuna watoto huku wanapotea njia, embu baelezee
Baada ya kujua kilichopo huko alafu tunarudi tunaendelea kujenga. Kumbe leo hadi watoto mmewakumbuka!! Safi sana
 
Ngoja akutegee mtego akunase ndio utajua huku Afrika mwanaume kucgepuka ni legal lakini mwanamke kuchepuka ni illegal
Mtego haunasi, anakwenda akiwa kishajikamilisha.
 
Na mpaka apate hiyo akili ya kwenda huko .. mbaya zaiditunatembea na wanaowafanania

Hapo sasa!! Yaani kila akiangalia anajiona, kumbe wa pacha wake.
Sijui kwanini lkn mara nyingi huwa ndio hivyo, hatuchezi mbali.
 
Mchepuko haujakutia mimba? Kama hujapata mimba je, ikitokea mchepuko ukikupa mimba utamwambia mumeo au utambambikizia watoto wa mchepuko wako?
Eti mi naona kama umemtungia mwanafunzi mtihani ukampa na majibu!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom