Kuchepuka raha

Furaha ya mwanamme utoka mbavun kwake
Kama mbavu za pili azikusimama imara kuimarisha upendo michepuko lazima.
Me nina mchepuko lakin naona sehem kubwa amesababisha mke wangu.
Kwani mnakosaga sababu sasa!! Ni hivi mtambue tu hamuoi malaika, kwahiyo dont expect yo partner to be perfect. Na haimaanishi kuwa kila siku mtakuwa na furaha, mtakwaruzana lakini utashi mlopewa ndio mtakaotumia ktk kutatua matatizo yenu. Ndio maana mlitofautishwa na wanyama FCS.
 
Asanteee....
 
Pole kwa kuchelewa kujua hilo. Babu yangu alikuwa na wake wawili, baba ngu alikuwa na wake wawili. Na Mimi (inshaallah) nategemea kurasimisha mchepuko wangu.
Nyumba kubwa akikuzingua unaenda kupata raha kwa Bi Mdogo. Vs is also turuuuu
 
Wewe naye sijui vipi mbona hamtoi mifano ya Isaka wala mzee mwenye busara nyingi mkamilifu na mwelekevu Ayubu, mfalme Suleiman sawa lakini hao wanawake walimpeka kuabudu miungu badala ya Mungu , sasa na nyie kizazi cha wavivu majeuri wasio dhamini wake zao na kuheshimu michepuko, mtachomwa kila siku.,!,
 
Soma vizuri comments za wanawake wanacholalamikia ili nawe ukioa usirudie makosa ya wenzio yasije yakakukuta yakuchapiwa chapiwa hovyo
 
Halafu ni rahisi kweli kufika muafaka na nyie viumbe. Hata umkosee vipi mwanamke, muombe msamaha hata kwa chozi la kukiri, loh!! Mama mwenyewe anakuja kukukumbatia na kukusamehe kwa kukubembeleza mkosaji, usichelewe mkosaji, mpige waifu na outing ya nguvu hakuna kulala nyumbani. Kuoa raha sana
 
Kumbe mnaujua udhaifu wetu eeeh!! Basi dont take us for granted.
 
Nayeye akishajua madhaifu yako naye hapohapo afanyi kosa jamani si kuna kipindi mkemia mkuu alitoa data zake 60% ya watoto si wa hao wanaojiita baba zao bali wanalea tu nakuvimbisha vifua mbele wanangu mke lake moyoni
 
Have fun as its last, siku akija jua mumeo unaliwa nje haiya weee...utakua mdogo kama pilitoni..enjoy as u can but be ready to count ua losses akija jua na hio supa mtaribo yako itakua hukoooooo
 
Nayeye akishajua madhaifu yako naye hapohapo afanyi kosa jamani si kuna kipindi mkemia mkuu alitoa data zake 60% ya watoto si wa hao wanaojiita baba zao bali wanalea tu nakuvimbisha vifua mbele wanangu mke lake moyoni
lengo lako kutuvunja moyo siyo? Hiyo 60% atabaki nayo mkemia sina muda wa kukagua sura wala vidole vya watoto kama tuna fanana au la
 
lengo lako kutuvunja moyo siyo? Hiyo 60% atabaki nayo mkemia sina muda wa kukagua sura wala vidole vya watoto kama tuna fanana au la

tunzeni tu akipita hapo kwako jamaa ukiona mwanao kama wanafanana kuongea aibu unakufa nalo unajuliza nikiongea nitasmbiwa wakati unasaidiwa wewe ulikuwa wapi?
 
Si una bwawa, dagaa wanaonekana wadogo ila ujue nao wanavuliwa kwa nyavu,!!!! Hata ulie nae atakukimbia
hilo bwawa lako, na mwingine hivyo hivyo, mwisho utaitwa Malaya. Rudi kagongwe na kibamia Mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…