Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Wakati mpaka watoto wao hujua kama babazao wanachepuka nakuweka chuki kwababa zao wao hawapati mahitaji mazuri kumbe baba ana mchepuko hapo watoto hawajahadhirika ndiyo huja mke anafundisha watoto wamchukie baba yao wakati si kweli wanaona wenyeweHahaha mbona wanarembesha
