Kuchepuka raha

Kuchepuka raha



Wakati mpaka watoto wao hujua kama babazao wanachepuka nakuweka chuki kwababa zao wao hawapati mahitaji mazuri kumbe baba ana mchepuko hapo watoto hawajahadhirika ndiyo huja mke anafundisha watoto wamchukie baba yao wakati si kweli wanaona wenyewe
Eeeh na wao huwa wana tabia tu ya kulaumu wamama kuwa wanawalisha sumu watoto dhidi ya baba zao, lakini wanasahau kuwa watoto wana ufahamu na wanaona yanayotendeka
 
Sana. Halafu hao waume za watu wanatongoza wake za watu sijui wanategemea nini.

Teh afu bado wanategemea wake zao wawe waaminifu
Ndiyo ujiulize hapo unatongoza mke wa mtu halafu mke wake yy awe salama sijui hizo akili zao huzitumia vipi unajiuliza hawa watu walirogwa na nani? Au mchawi kafa na kaburi halijulikani kuna watu waligongana guest kila mtu na wake
 
Ndiyo ujiulize hapo unatongoza mke wa mtu halafu mke wake yy awe salama sijui hizo akili zao huzitumia vipi unajiuliza hawa watu walirogwa na nani? Au mchawi kafa na kaburi halijulikani kuna watu waligongana guest kila mtu na wake
Hahaa ila hapo utakuta mwanaume ndo kaanza kumdunda mkewe tena while wamefumaniana. Afu si wanasemaga mwanaume hafumaniwi teh
 
Kweli? Mie nilikuwa sijui kama mke akichepuka anachafua familia, kwahiyo mwanaume akichepuka analembesha familia?
Simaanishi wanaume wachepuke.... Lakini wajilinde zaidi.. ..wasije wakarithisha watu mali si zao.
 
Nyie mnachepuka na kina nani km sio sisi wanawake?
Jamani mie nimetoa maoni yangu juu ya madhara ya kuchepuka.... Bahati nzuri dini yangu imeniruhusu kuoa zaidi ya mke mmoja.... Kwa hio nikizidiwa nitaoa wa pili..... Lakini sina mpango wa kuchepuka.
Hahaha mbona wanarembesha

Kweli? Mie nilikuwa sijui kama mke akichepuka anachafua familia, kwahiyo mwanaume akichepuka analembesha familia?
 
Ndiyo ujiulize hapo unatongoza mke wa mtu halafu mke wake yy awe salama sijui hizo akili zao huzitumia vipi unajiuliza hawa watu walirogwa na nani? Au mchawi kafa na kaburi halijulikani kuna watu waligongana guest kila mtu na wake
Hawa wanaotongoza wake za watu ndo wabaya zaidi
 
Sio wote demi.... Ni watu wasioelewa madhara ya uchafu wa zinaa. Awe mke awe mume.
Ni kweli mkuu zinaa haikubaliki kote kote. Nilitaka tu kufahamu kutoka kwa wanaume wachepukaji ambao hawataki wake zao wachepuke..je huwa wanachepuka na wanawake wa aina gani? Maana wengi tunaona mume wa flani anachepuka na mke wa flani. kwanini wasiache kutongoza wake za watu? Watongoze wasichana wasioolewa kidogo nitaelewa.
Tunatongozwa na hao hao waume za watu. Halafu mtu huyo huyo anayetoka na mke wa mwenzie anakuja hapa kusema mke hapaswi kuchepuka. Inanipa shida kidogo.
 
Back
Top Bottom