Kuchapwa kwa Maggid Mjengwa ni fundisho kwa waandishi KANJANJA?

Pole sana Majjid lakini umefanya kosa kwa kuli undermine hilo tukio, inawezekana siyo yeye bali anatumiwa na mtandao. Nakushauri uwe makini sana na watu dizaini hiyo, halafu unatakiwa uwe na hisia endapo mtu anakufuafilia ushituke na ujue nini cha kufanya mapema.
 
Kiranga you are right, newsmen are not supposed to be part of a news stories unless they are the victims and in this case it ought to be reported by a third part to avoid biased reportage!.

Namheshimu sana Maggid esp his frankness ila kwa story hii sijapata the motive behind wala the subject matter!. Pole Maggid kwa fungua mwaka ya maswahib hayo, utaufunga mwaka vizuri!.
 
Traffic regulation Act inasemaje kwa huyu mtu kutandikwa hivyo? What was the reason behind the scene of incident?
 

Watangazaji wa clous wakoje tena? Au ndo hawa wanasema hawana tofauti na wapiga debe
 
Siku nyingine utafia kwenye usukani. Jamaa anaku-Tyson wewe unajiinamia utakufa nyambaf.. Mjomba hata kama hujui kusumbwilise inabidi ujikakamue! Ila mleta habari hajatutendea haki kwa hicho kichwa cha habari!
 
Angekuwa amemsamehe jamaa wala asingekuja kupoteza muda wote kuandika haya.
 

Unawaza ufisadi tu...sasa hapa ukanjanja unakujaje?!!! yani nyie maccm mnawaza wizi tu..ovyooo...
 
Hiii inaweza sababisha ajali kama tena kwa watu wengi ..kama dereva wa basi alikuwa anahitaji ku cut you off na wewe una speed up ati kwa lengo la kwamba asifanye hivyo ni hatari.Kama alivyo fanya kuwasha indicator na kumpisha ndio akngefanya kumtaadhalisha asipite kwa kuwasha indicator ya upande mwingine ndio usilikiano barabarani .Ingawa na huyo dereva basi naye hakutakiwa kupeleka ngumi...
 
Madereva kama hao wapo wengi sana. Huyo alikuwa hafai kusamehewa angekwenda ndani akajifunze heshima na adabu.
 
too trivial a stuff to get this publicity.

kwa bahati mbaya na jf inajikuta inakuwa trivial kwa kuruhusu mediocrities za jinsi hii ku-feature humu.
trivial stuff like this should stay where they belong.......the likes of mjengwa's blogs!

this is my last contribution on this thread. i expect many volunteers - a lasting measure to stamp out triviliaties hapa jf.
 
Title na habari vinaonyesha mleta mada umeileta kiunafiki na kimbea kutulazimisha tumuone Maggid mbaya na tumshambulie
May be i miss something here, hebu unganisha dot hilo la fundisho kwa waandishi kanjanja na matukio ya ugonvi wa barabarani

Hangover!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…