Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,162
- 11,565
Ndugu zangu,
Hivi kwanini ukihisi au kubaini kuchapiwa mke au mwenzi wako huwa inaumiza sana mutima na kuvuruga akili, maisha, uelekeo na mipango ya wababa wengi na hata kufikia hatua kusababisha kujeruhiana na hata maafa na vifo?
Kuna mwenye uzoefu alieweza kupitia sahibu kama hili na kutoka salama kwenye timbwili hili linalotesa na kusambaratisha familia nyingi kwasasa?
Tafadhali tushirikishe mbinu ulizotumia basi ili kuwanusuru wababa wengi sana wanaopitia changamoto hii katika Jamii.
Asantree..
Hivi kwanini ukihisi au kubaini kuchapiwa mke au mwenzi wako huwa inaumiza sana mutima na kuvuruga akili, maisha, uelekeo na mipango ya wababa wengi na hata kufikia hatua kusababisha kujeruhiana na hata maafa na vifo?
Kuna mwenye uzoefu alieweza kupitia sahibu kama hili na kutoka salama kwenye timbwili hili linalotesa na kusambaratisha familia nyingi kwasasa?
Tafadhali tushirikishe mbinu ulizotumia basi ili kuwanusuru wababa wengi sana wanaopitia changamoto hii katika Jamii.
Asantree..