#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

Umesema kweli,tuwalinde wazee na wenye magonjwa mengine majumbani kwetu,kwa kujilinda sisi Kwanza, hivyo wanajamii chonde chonde tuchanje tuwalinde..
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.

UPDATE
Sasa kuchanja ni lazima kwa wafanya kazi serikalini.
Mimi ni Mtumishi wa Serikali na nipo Jiji la Mwanza. SITACHANJA NA NIPO TAYARI KUACHA KAZI!
 
We Chidu La acha unafiki asee, unataka kuaminisha hans amepigwa na Covid tuwe na hisia za hofu basi, hii tabia ya watu maarufu wakifariki mnasingizia corona, mbaya zaidi hampingi hiyo mikusanyiko kwa hao waliofariki kwa Covid.

UNAFIKI!
Korona mbona ipo wazi
 
K
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.

UPDATE
Sasa kuchanja ni lazima kwa wafanya kazi serikali
 
K
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.

UPDATE
Sasa kuchanja ni lazima kwa wafanya kazi serikalini.
Kalazimishe ukoo wenu ukachanje.
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.

UPDATE
Sasa kuchanja ni lazima kwa wafanya kazi serikalini.
Nguvu ya watu ni kubwa kuliko wahuni wachache wenye nguvu acha utoto chanja wew wengine hatuchaji hatuchaji!!!!!
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.

UPDATE
Sasa kuchanja ni lazima kwa wafanya kazi serikalini.
Nguvu ya watu ni kubwa kuliko wahuni wachache wenye nguvu acha utoto chanja wew
Uko njiani kuelekea kuzimu.
Nakutakia covid njema.
Wew uko njiani kuwa zombi
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.

UPDATE
Sasa kuchanja ni lazima kwa wafanya kazi serikalini.
Wafanyakazi wa serikali ni asilimia ngapi ya watanzania wote?
 
Wafanyakazi wa serikali ni asilimia ngapi ya watanzania wote?
Hawazidi hata milioni katika watu milioni 60.
Lakini ndio wanaweza kuwa a vehicle of transmission ya covid19.
Daktari anaona wagonjw wangapi kwa siku, nesi je?
Hakimu kizimbai anakuwa na wananchi wangapi kila siku.
Askari mmoja anhudumia mahabusi wangapi kwa wiki!
Natumaini unaelewa ninako elekea.
 
Zakaria Hans Poppe hakuchanjwa na siku zake za mwisho alihimiza watu wachanjwe
Siku gani za mwisho ? Kama alihimiza watu wachanjwe ilikuwaje yeye awahimize wengine kuchanjwa wakati yeye ajachanjwa tumia akili,kama serikali iliamua kwenda kinyume na magufuli kwanini hawa tangazi wagonjwa wa covidi siku kwa siku tena watuambie na walio ugua wakiwa wamechanjwa na walio kufa licha ya kuchanjwa ,unadhani kwanini serikali haiwezi kusema wanao kufa licha ya kuchanja
 
Back
Top Bottom