#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

HUKO MAREKANI
Six members of un vaccinate family die of covid 19

In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.
 
HUKO MAREKANI
Six members of un vaccinate family die of covid 19

In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.
Hii sasa ni hatari kuliko danger.
 
Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.

Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.

Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
  • wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
  • Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
Kitaeleweka tu!
 
Sasa wasomi, na madaktari wameamua kueleza ukweli.
Watu wachanje, hasa walioko serikalini na wanatoa huduma kwa wananchi wengi.
Ambaye hataki hawezi kuwa na uhuru wa kuambukiza wengne.
Chanja or take thae walk!!
 
Kama umechanjwa,unaogopa nini mpaka unalazimisha na mwingine achanjwe?!Mbona mmechanja na bado hamjiamini?
Tukiwa na vidonda tukakosa hela ya kuwalipeni mnatufumua hadi mishono kwa hasira,hii huruma ya kipekee ya kutuletea chanjo za bure na kutulazimisha kuchanja imetokea wapi?!
 
Sasa wasomi, na madaktari wameamua kueleza ukweli.
Watu wachanje, hasa walioko serikalini na wanatoa huduma kwa wananchi wengi.
Ambaye hataki hawezi kuwa na uhuru wa kuambukiza wengne.
Chanja or take thae walk!!
Nyie mna madaktari nchi hii?.....ukweli walishindwa kuueleza kipindi cha jabali JPM itakuwa Leo.....
Hao ni mabogus fulani tu....hela za wazungu zitawaua....tafuteni zenu
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.
Marekani na kuchanja kote ina wagonjwa wangapi? ? ? Tena ukae kimya na upumbavu wako umbwa wewe
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.
NANI ALIKUAMBIA UKICHANJA HUVAI BARAKOA? HATA UKICHANJA LAZIMA UENDELEE KUVAA BARAKOA MAANA UTAMBUKIZWA NA WEWE UNAWEZA KUAMBUKIZA.
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.
Habari za kizushi. Kuna uzi waliopata madhara ya chanjo inatisha
 
Back
Top Bottom