Sikiliza rafiki, hizi ni tunu za taifa, kwa nini kuna sheria ya Mambo ya Kale ya mwaka 1964, na marekebisho yake ya 1979 na na kuna kanuni zake kibao. Uamuzi huo wa chama chenu ni wa kiupuuzi na wakishetani, mmejaa mafisadadi, mmechanganyikiwa hamjuai hata lipi sahihi na lisilo sahihi kufanya. Na hii naomba kwa kuvunga jengo la hilo CCM ife kabisa, na iwe laana kabisa. Hiyo ilipaswa ndilo liwe hekalu la CCM. Ktaaalamu, hata katika business, kunakutu kinaitwa collections, hizi zinahistorical value na historical value haiozi wala kupungua. Kama heshma ya ukombozi nchini imepungua basi CCM imeshachanganyikiwa.CCM ina vichwa makini hayo yote yamejadiliwa kwa muda mrefu katika vikao husika, hivyo uamuzi ulifikiwa ni huo! Nyie msiotakia mema CCM kwa nini kila uamuzi unaofikiwa na chama chetu unatilia mashaka? Umefika wakati wa kutumia raslimali kuingiza pesa na si vinginevyo. WEWE MBONA nyumbani kwenu hukuzuia kubomolewa kwa nyumba ya aliyezaliwa babu mzaa babu yako!!!!!