ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Waongea kama msaliti moja aitwa Shibudya
Jaribuni kumuondoa muone cha moto
Jaribuni kumuondoa muone cha moto
Sanduku linaongea vipi! Kuwa mkweli
Mmemfanyia hujuma Mzee sumaye, now it seems you will pay it
Vijana wa Mbowe wametoka kinondoni wameweka kambi kibaha for the aim kummaliza sumaye kisiasa
Wamefanya uhuni hotelin Mzee hajui kinachoendelea! Is this fair?
Mafiosoo Mbowe his time is over, Cecilia mwamba is our best candidate
Tutamtoa tu ofisni hatutaogopa wale vijana wake wa kinondoni,
Trust me huu Uchaguzi tutazipiga for the sake of democracy and end up dictatorship in Chadema
Cecilia mwamba is going to make upset down
This time your finished
Na David Maphone
Kubenea ndie mwanachadema pekee aliyeweka wazi kutokubaliana na Mbowe, amefika mbali na kuunda kundi ndani ya Chama ila bado hashughulikiwi. Zitto alipounda kundi lake na kina Kitila walifukuzwa huku wakitazamwa usoni.
Huyu alishapanga kumdhuru Mayor wa Ubungo kisa yupo karibu na Mbowe na maongezi yakavuja ila bado mamlaka ndani ya Chadema yanaogopa kumshughulikia. Kubenea kupitia gazeti lake aliujulisha Umma Ben Saanane yupo hai na anaonekana akiwa na maana Mbowe kamficha ili kufanyia propaganda, bado chadema hawakumshughulikia.
Leo Kubenea anahusishwa na kila rafu ndani ya chama lakini ni ngumu sana kushughulikiwa. Sababu ni Moja tuu, Kubenea anafahamu uchafu wote wa Mbowe na njia zote za hadharani na gizani wanazotumia kuwanyamazisha wasiokubaliana nao. Maana yake kajilinda sawasawa na akifanyiwa rafu anao uwezo wa kuivunja Chadema ndani ya masaa mawili tuu.
Huyu ndie Kubenea asiyependwa ila wanaogopa kumgusa.
View attachment 1282541
Nakumbuka kubenea alitumika sana na Mbowe wakati wa kumchafua Lowasa na viongozi wengine kupitia gazeti lake la mwana halisi.
Kwa hiyo kusema kubenea anajua in and out za Mbowe ni sahihi kabisa.
kwani akiguswa atafanya nini? say akifukuzwa chama atafanya nini? sana sana kwenda mahakamani!uyu ndie Kubenea asiyependwa ila wanaogopa kumgusa.
HahahahaMbowe hana haja ya kumfanya chochote!
Atakutana na sanduku kama lilivyomkuta Mzee Sumaye!
Mbowe a relax tu!
Uzuri wa Chadema sanduku linaongea mamaeeeeee!
Yanini kumfukuza wakati sanduku litamtoa hapo alipo na atakua nobody with no cheo anywhere?
Wait and see!
Huyu jamaa yuko mbioni kuunga mkono juhudi.Na David Maphone
Kubenea ndie mwanachadema pekee aliyeweka wazi kutokubaliana na Mbowe, amefika mbali na kuunda kundi ndani ya Chama ila bado hashughulikiwi. Zitto alipounda kundi lake na kina Kitila walifukuzwa huku wakitazamwa usoni.
Huyu alishapanga kumdhuru Mayor wa Ubungo kisa yupo karibu na Mbowe na maongezi yakavuja ila bado mamlaka ndani ya Chadema yanaogopa kumshughulikia. Kubenea kupitia gazeti lake aliujulisha Umma Ben Saanane yupo hai na anaonekana akiwa na maana Mbowe kamficha ili kufanyia propaganda, bado chadema hawakumshughulikia.
Leo Kubenea anahusishwa na kila rafu ndani ya chama lakini ni ngumu sana kushughulikiwa. Sababu ni Moja tuu, Kubenea anafahamu uchafu wote wa Mbowe na njia zote za hadharani na gizani wanazotumia kuwanyamazisha wasiokubaliana nao. Maana yake kajilinda sawasawa na akifanyiwa rafu anao uwezo wa kuivunja Chadema ndani ya masaa mawili tuu.
Huyu ndie Kubenea asiyependwa ila wanaogopa kumgusa.
View attachment 1282541
Muondoeni muoneAnashindwa nini kuwataja sasa basi yeye ni wakala na ataondoka tu.
Sanduku linaongea vipi! Kuwa mkweli
Mmemfanyia hujuma Mzee sumaye, now it seems you will pay it
Vijana wa Mbowe wametoka kinondoni wameweka kambi kibaha for the aim kummaliza sumaye kisiasa
Wamefanya uhuni hotelin Mzee hajui kinachoendelea! Is this fair?
Mafiosoo Mbowe his time is over, Cecilia mwamba is our best candidate
Tutamtoa tu ofisni hatutaogopa wale vijana wake wa kinondoni,
Trust me huu Uchaguzi tutazipiga for the sake of democracy and end up dictatorship in Chadema
Cecilia mwamba is going to make upset down
This time your finished
Na David Maphone
Kubenea ndie mwanachadema pekee aliyeweka wazi kutokubaliana na Mbowe, amefika mbali na kuunda kundi ndani ya Chama ila bado hashughulikiwi. Zitto alipounda kundi lake na kina Kitila walifukuzwa huku wakitazamwa usoni.
Huyu alishapanga kumdhuru Mayor wa Ubungo kisa yupo karibu na Mbowe na maongezi yakavuja ila bado mamlaka ndani ya Chadema yanaogopa kumshughulikia. Kubenea kupitia gazeti lake aliujulisha Umma Ben Saanane yupo hai na anaonekana akiwa na maana Mbowe kamficha ili kufanyia propaganda, bado chadema hawakumshughulikia.
Leo Kubenea anahusishwa na kila rafu ndani ya chama lakini ni ngumu sana kushughulikiwa. Sababu ni Moja tuu, Kubenea anafahamu uchafu wote wa Mbowe na njia zote za hadharani na gizani wanazotumia kuwanyamazisha wasiokubaliana nao. Maana yake kajilinda sawasawa na akifanyiwa rafu anao uwezo wa kuivunja Chadema ndani ya masaa mawili tuu.
Huyu ndie Kubenea asiyependwa ila wanaogopa kumgusa.
View attachment 1282541
Kama unaona nihujuma basi zilianzia huko ccm ndiko mlikomfanyia na kukimbia na kukimbia huku ati apewe cheo chá uanachama WA juu.Sanduku linaongea vipi! Kuwa mkweli
Mmemfanyia hujuma Mzee sumaye, now it seems you will pay it
Vijana wa Mbowe wametoka kinondoni wameweka kambi kibaha for the aim kummaliza sumaye kisiasa
Wamefanya uhuni hotelin Mzee hajui kinachoendelea! Is this fair?
Mafiosoo Mbowe his time is over, Cecilia mwamba is our best candidate
Tutamtoa tu ofisni hatutaogopa wale vijana wake wa kinondoni,
Trust me huu Uchaguzi tutazipiga for the sake of democracy and end up dictatorship in Chadema
Cecilia mwamba is going to make upset down
This time your finished