murongo munene
Member
- Oct 25, 2017
- 92
- 80
Hivi unajielewa kweli Kwa ulichoandika?Mbowe akimgusa Kubenea patachimbika, Kubenea atawataja wote waliohusika kumpiga risasi Tundu Lisu na kumpoteza Ben Saanane,.
Hivi unajielewa kweli Kwa ulichoandika?Mbowe akimgusa Kubenea patachimbika, Kubenea atawataja wote waliohusika kumpiga risasi Tundu Lisu na kumpoteza Ben Saanane,.
Kwa sasa ameshanunuliwa na chama chenu cha manunuziNakumbuka kubenea alitumika sana na Mbowe wakati wa kumchafua Lowasa na viongozi wengine kupitia gazeti lake la mwana halisi.
Kwa hiyo kusema kubenea anajua in and out za Mbowe ni sahihi kabisa.
Kama ambavyo Jiwe anaogopa kumgusa prince maana uchafu wooooote DAB atauanikaMbowe akimgusa Kubenea patachimbika, Kubenea atawataja wote waliohusika kumpiga risasi Tundu Lisu na kumpoteza Ben Saanane,.
Propaganda.zingine za kijinga kabisa, Kubenea unamlinganisha na ZZK? Kubenea ni akili ndogo sanaNa David Maphone
Kubenea ndie mwanachadema pekee aliyeweka wazi kutokubaliana na Mbowe, amefika mbali na kuunda kundi ndani ya Chama ila bado hashughulikiwi. Zitto alipounda kundi lake na kina Kitila walifukuzwa huku wakitazamwa usoni.
Huyu alishapanga kumdhuru Mayor wa Ubungo kisa yupo karibu na Mbowe na maongezi yakavuja ila bado mamlaka ndani ya Chadema yanaogopa kumshughulikia. Kubenea kupitia gazeti lake aliujulisha Umma Ben Saanane yupo hai na anaonekana akiwa na maana Mbowe kamficha ili kufanyia propaganda, bado chadema hawakumshughulikia.
Leo Kubenea anahusishwa na kila rafu ndani ya chama lakini ni ngumu sana kushughulikiwa. Sababu ni Moja tuu, Kubenea anafahamu uchafu wote wa Mbowe na njia zote za hadharani na gizani wanazotumia kuwanyamazisha wasiokubaliana nao. Maana yake kajilinda sawasawa na akifanyiwa rafu anao uwezo wa kuivunja Chadema ndani ya masaa mawili tuu.
Huyu ndie Kubenea asiyependwa ila wanaogopa kumgusa.
View attachment 1282541
Huo ndo ukahaba wa kisiasaMaajabu hayatakaa yaishe dunia hii! Mwana CCM yuko interested na mambo ya chadema kuliko hata ya chama chake mwenyewe
Big up mkuu umeongea kwa hisia kuu.Sanduku linaongea vipi! Kuwa mkweli
Mmemfanyia hujuma Mzee sumaye, now it seems you will pay it
Vijana wa Mbowe wametoka kinondoni wameweka kambi kibaha for the aim kummaliza sumaye kisiasa
Wamefanya uhuni hotelin Mzee hajui kinachoendelea! Is this fair?
Mafiosoo Mbowe his time is over, Cecilia mwamba is our best candidate
Tutamtoa tu ofisni hatutaogopa wale vijana wake wa kinondoni,
Trust me huu Uchaguzi tutazipiga for the sake of democracy and end up dictatorship in Chadema
Cecilia mwamba is going to make upset down
This time your finished
Mbowe akimgusa Kubenea patachimbika, Kubenea atawataja wote waliohusika kumpiga risasi Tundu Lisu na kumpoteza Ben Saanane,.
Mbowe akimgusa Kubenea patachimbika, Kubenea atawataja wote waliohusika kumpiga risasi Tundu Lisu na kumpoteza Ben Saanane,.
Huu hana lolote ni mwepesi kama bahashaNa David Maphone
Kubenea ndie mwanachadema pekee aliyeweka wazi kutokubaliana na Mbowe, amefika mbali na kuunda kundi ndani ya Chama ila bado hashughulikiwi. Zitto alipounda kundi lake na kina Kitila walifukuzwa huku wakitazamwa usoni.
Huyu alishapanga kumdhuru Mayor wa Ubungo kisa yupo karibu na Mbowe na maongezi yakavuja ila bado mamlaka ndani ya Chadema yanaogopa kumshughulikia. Kubenea kupitia gazeti lake aliujulisha Umma Ben Saanane yupo hai na anaonekana akiwa na maana Mbowe kamficha ili kufanyia propaganda, bado chadema hawakumshughulikia.
Leo Kubenea anahusishwa na kila rafu ndani ya chama lakini ni ngumu sana kushughulikiwa. Sababu ni Moja tuu, Kubenea anafahamu uchafu wote wa Mbowe na njia zote za hadharani na gizani wanazotumia kuwanyamazisha wasiokubaliana nao. Maana yake kajilinda sawasawa na akifanyiwa rafu anao uwezo wa kuivunja Chadema ndani ya masaa mawili tuu.
Huyu ndie Kubenea asiyependwa ila wanaogopa kumgusa.
View attachment 1282541
Waliompoteza Ben SAA 8 na kumpiga lisu risasi ole wenu siku scripts hiyo itakapoandikiwa na kuchezwa kama movi wengi mtaaibika. Hasa wale waliopanga uovu huu macho ya Mungu yapo na yakiona na yanaona siku zote.Mbowe akimgusa Kubenea patachimbika, Kubenea atawataja wote waliohusika kumpiga risasi Tundu Lisu na kumpoteza Ben Saanane,.
Anataka afukuzwe kama kina Shonza ili awe na soko ccm. Sasa ni ballot box tuu itakuwa inaongea naoMbowe hana haja ya kumfanya chochote!
Atakutana na sanduku kama lilivyomkuta Mzee Sumaye!
Mbowe a relax tu!
Uzuri wa Chadema sanduku linaongea mamaeeeeee!
Yanini kumfukuza wakati sanduku litamtoa hapo alipo na atakua nobody with no cheo anywhere?
Wait and see!
Anataka afukuzwe kama kina Shonza ili awe na soko ccm. Sasa ni ballot box tuu itakuwa inaongea nao