Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Uzee unaanzia umri gani? Hivi mimi na miaka yangu 76 nshazeeka??hahaaaa zeee zima unaliamkia, linajifanya kama halijasikia, utasikia mambo?
Uzee unaanzia umri gani? Hivi mimi na miaka yangu 76 nshazeeka??hahaaaa zeee zima unaliamkia, linajifanya kama halijasikia, utasikia mambo?
Uzee unaanzia umri gani? Hivi mimi na miaka yangu 76 nshazeeka??
Uzee unaanzia umri gani? Hivi mimi na miaka yangu 76 nshazeeka??
Mambo mchumba?Shikamoo
Poa, hujambo mrembo?sana tu! shikamoo babu!
Mambo mchumba?
Poa, hujambo mrembo?
Mama hajambo?sijambo shikamoo
Mama hajambo?
Mara ya pili ikawa vipi? Ikayeyuka?
Hivi unajua kama si mdingi wako kuniwahi mama yako angekuwa mke wangu? Na angekuwa mke wangu we ungekuwa nani yangu?mmmh we mbabu hunyimikiiii????
napita kama sijaona vileeee.:angry:
duh umloge kisa nini tena?:flame:
Hivi unajua kama si mdingi wako kuniwahi mama yako angekuwa mke wangu? Na angekuwa mke wangu we ungekuwa nani yangu?
Kukumenshen bila ruhusa yangu.duh umloge kisa nini tena?:flame:
baba angu
kwani umeweka warningKukumenshen bila ruhusa yangu.
😛eep:😛eep::cool2::cool2:sijaona kitu.Good! Sasa basi, maadam mimi si baba yako, waeza kuwa mchepuko wangu. Sasa shkamoo ya nini??
Good! Sasa basi, maadam mimi si baba yako, waeza kuwa mchepuko wangu. Sasa shkamoo ya nini??
Kulinda mali zangu zisiliwe na mafisi yenye tamaa...kwani umeweka warning
We tutaongea chumbani😛eep:😛eep::cool2::cool2:sijaona kitu.
Nani alikudanganya Daslam kuna wazee??akuuuu babu! modo uvae na nani, msuli uje kuvaa na mie???