Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,258
Habari zenu wanajamii forum.Leo nataka niwachane wale wanaume ambao dada zetu wanawapa SHIKAMOO halafu wanazingua kujibu mara utaona wanajibu POA,ASANTE,MAMBO SAFI hii tabia tabia jamani hapana unakuta anayesalimiwa naye mwingine kama mjukuu wake lakini babo mbaba anakomaa na kujibu POA JAMANI KAMA KUNA WANAUME WA NAMNA HII HUMU JAMII FORUMS ACHENI kubalini umri umeenda yaani kila mtu anataka aambiwe mambo wengine mmekuwa watu wazima kubalini SHIKAMOO jamani kwani iko nn
NB-Ni mtazamo tu jamani msijenge chuki
NB-Ni mtazamo tu jamani msijenge chuki